lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,205
Kumbe nawe ni GAMBA ???
Manosa mpendwa wangu.
Huu Wimbo Mhe. Magufuli amekuwa akiuimba tangu akiwa Mbunge. Rudisha nyuma kidogo kumbukumbu zako, zisianzie kuchukua fomu za urais.
Queen Esther
Nadhani umemsikiliza mama Regina Lowasa alivyotoa hotuba ya changamoto za wanawake, Lowasa kamwachia mkewe ajimwage yeye kawapa kazi moja wanawake ya kumtafutia kura
Yakina mama yanakuhusu nn fatilia ya samia basi
Njoo jangwani jumamosi kiu isipokatika endelea na MUUZA NYUMBA.
mleta uzi labda tukurekebishe kwamba siyo BAVICHA bali ni BAWACHA hivyo kwa hili unaonekana hata haujui unachokiongea.
Kila mtu na maumbile yake.Kuna waongeaji wazuri na kuna wengine si waongeaji.Ni hulka ya.watu kuwa.tofauti.Lowassa aonekanavyo si muongeaji sana.Sijawahi msikia akiongea kama mwanasiasa hata alivhokuwa CCM so siwezi kumuhukumu kwa maumbile yake.
Mgonjwa lowassa analazimisha
Wenye akili timamu wameelewa,isitoshe First Lady mama Regina Lowassa amemaliza kila kitu!
Mama Lowassa ndiyo alikuwa mgeni rasmi
Kila mtu na maumbile yake.Kuna waongeaji wazuri na kuna wengine si waongeaji.Ni hulka ya.watu kuwa.tofauti.Lowassa aonekanavyo si muongeaji sana.Sijawahi msikia akiongea kama mwanasiasa hata alivhokuwa CCM so siwezi kumuhukumu kwa maumbile yake.
Kumbe Magufuli ni moto wa kuotea mbali, huwezi kugombea halafu ushindwe kuwaambia wananchi maono ya chama chako mtayafikiaje!