KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Nguvu ya Lowasa iko kila mahali kuanzia humu JF. Ndio maana hatuishi kumtaja karibu kila siku. Kila TAASISI au KIKAO cha CCM Lowasa ana nguvu ya peke yake. Nilikwenda Bungeni kikao cha bajeti mwaka jana, Wabunge wengi wanamwabudu na kumsujudia Lowasa.
ndio tumebadili katiba ili kuwapa nafasi waheshimiwa wabunge wetu akiwemo yeye wachague kutumikia ubunge ama chama(ujumbe wa nec),bonge la mtego ambalo linawatesa watu huko wanakunywa "wiski" usiku kucha usingizi haupatikani,unajua wabunge wengi walikua wanaamini jamaa atakua rais sasa kila mtu akawa anajipendekeza kumzuga tu ili akifanikiwa asiwasahau kwenye ufalme wake,baada ya mabadiliko ya katiba ya ccm haya juzi uende bungeni tena kama mtu atakua na time nae zaidi ya wapambe wake wa kudumu wa miaka yote kama peter labd na yule mama chilolo anaekaa nae karibu pale kwenye kiti chake bungeni