Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Sidhani kama katiba yao inaruhusu wasio Wakenya washiriki kwenye kampeni za chaguzi zao. Nilikuwa nataka Uhuru ashinde pamoja na mapungufu yake kama binadamu au kiongozi. Hili limeshampa Raila sababu za kupinga matokeo kama hatashinda na sababu chungu nzima za yaliyojiri kwenye hizi kampeni na yatakayojiri siku ya uchaguzi.

Nahisi damu kumwagika tena kwa wingi, na imeshaanza kumwagika. Chaguzi zetu nyingi za Africa ni lazima damu zimwagike. Hongera sana kwa Ghana.

Atakuwa ameenda pale kwa mwaliko. Issue za ukabila Kenya, Uhuru alienda kwenye kampeni maeneo ya wamasai kuomba kura. Si unajuwa Masai ya Kenya na Tanzania ni moja?

Atakuwa amealikwa kwasababu ni Laigwanani wa Masai yote east africa. Kwahiyo ndo anayesikilizwa zaidi since ndo kiongozi wao mkuu. Wamasai wanawasikiliza sana viongozi wao malaigwanan. Kama Kenyatta alitaka kura za hao wamasai, basi mtu sahihi wa kumtumia ni Laigwanani wao.
 
Sidhani kama katiba yao inaruhusu wasio Wakenya washiriki kwenye chaguzi zao. Nilikuwa nataka Uhuru ashinde pamoja na mapungufu yake kama binadamu au kiongozi. Hili limeshampa Raila sababu za kupinga matokeo kama hatashinda na sababu chungu nzima za yaliyojiri kwenye hizi kampeni na siku ya uchaguzi.

Nahisi damu kumwagika tena kwa wingi, na imeshaanza kumwagika. Chaguzi zetu nyingi za Africa ni lazima damu zimwagike. Hongera sana kwa Ghana.
Hakuna kitu kama hicho kipindi cha kampeni zilizopita magufuli alialikwa na odinga na hakukuwa na tatizo.
 
Up to this moment, there is no any presidential candidate in Kenya election who can be able to attain 51% of the total votes, there is a high chance of repeating election. Kenyatta's gambling strategy of inviting EL as his political reinforcement, it might bring a landslide defeat to him. My friends, time will tell.
Why so? Why would it bring a landslide defeat to him?Afterall he was speaking to Maasais and not all Kenyanys.He went to appeal to Maasai votes for Uhuru Kenyatta...We all know kenya's politics which are divided based on tribal blocks.

The guy is a Maasai Laigwanan in east Africa. To get the Maasai votes, he's the one to vouche for you.
 
deac3b67288720b506d68e55cb03e492.jpg
d3276cf32a1d0704444a91f0e9ee1b9b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani sipati picha kama Uhuru akishinda na akamwalika Magu na Lowasa katika sherehe za kuapishwa kwa Uhuru
 
Ila kuna watu nchi hii hawatutakii mema wanyonge, hususani aina ya watu km ya akina Edward ni watu hatari namkumbuka Mwl Nyerere alioona mbali juu ya huyu mtu tungeuzwa asb kweupe!!!
Utauzwa?????

Pole weeee, wewe ni mali ya mtu, ndio maana hutumii akili yako kutafakari hata yaliyo madogo...

KILA KITU NDIYOOOOOOOOOOO...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda nikwambie kitu chadema kuunga mkono Kenyatta Wafadhili WA marekani hawatawaona tena. Urafiki wao na Raila ambaye ni binamu yake Obama ulimfanya Obama awashawishi wamarekani wawasaidie chadema kipindi cha slaa. Ndio maana chadema ilipata misaada mingi ya wazungu kwa ajili ya Obama. Sasa maadamu wamehamia kwa Kenyatta sio kesi wasubiri Kenyatta auze maziwa yake awachangie chadema. Chadema have lost a very important network. Na ieleweke kuwa chadema hakijawahi kaa mkutano mkkuu kupitisha azimio la kubadili sera za nje na kujadili hilo la chadema kuhama kutoka kumuunga mkono raila odinga na kuvunja urafiki naye na kuanzisha urafiki na Kenyatta na chama chake. Wanachama wa chadema wanaburuzwa na lowasa. Maamuzi hayo yalitakiwa yaamuliwe na mkutano mkuu wa chadema. Lowasa anaburuza wanachama ni dikiteta analotaka analazimisha liwe bila hata vikao na baraka za mkutano mkuu. Hilo la kumuunga mkono Kenyatta halina baraka za mkutano mkuu na vibaraka wake akina tundu lisu wanaojitia wanasheria nguli kwa hili wameufyata wakati liko wazi na ni uvunjifu wa katiba Ya chadema
Mbona unaongea uongo hivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha ajabu mbele ya lowassa, kenyatta anawaambia umati kuwa safari hii akichaguliwa ni Magufuli style kwenda mbele.
Lowasa hana ugonvi na magufuli bali hupingana nae kwa hoja tu na Kumbuka Magufuli kwenye nidhamu serikalini ulipaji kodi na kutamani maendeleo Lowasa huwa anamuunga mkono, Lowasa hupingana na magufuli kwenye Uhuru wa kufanya siasa, kuzuia mikutano ya siasa, kuwabambikia kesi Wapinzani, kuwakomoa na visasi tu, kinyume na hayo Lowasa hana tatizo na magufuli.
 
Back
Top Bottom