BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,344
- 6,864
Shauri yako bora uachane na mambo hayo ni hatari yupo na genge la mafwele!Itakuwa vizuri akijileta nitakuwa nimepata sababu ya kupita na kichwa chake angani.
Shauri yako bora uachane na mambo hayo ni hatari yupo na genge la mafwele!Itakuwa vizuri akijileta nitakuwa nimepata sababu ya kupita na kichwa chake angani.
Tatizo una dipresheni kali sana, nimelia sana kwa hayo makadirio yako
Ndugu kama unamuhitaji wewe ni bora ukaniambia nikuachie tu na siyo kunichimba mkwara mbuzi wa kitoto kama huo wakati mapanga ninayo.Shauri yako bora uachane na mambo hayo ni hatari yupo na genge la mafwele!
Nimeumia sana. Kanipa nusu ya umri wangu sahihi.😅unaweza kuwa na mambo ya kitoto ila ni mtu mzima au mambo ya utu uzima ila ni mtoto
Miaka 32 ningeanza utundu sekondari anaweza kuwa mtoto wangu
Hiyo pisi ni mboga ya chawa wa mbogamboga wakina mafweleNdugu kama unamuhitaji wewe ni bora ukaniambia nikuachie tu na siyo kunichimba mkwara mbuzi wa kitoto kama huo wakati mapanga ninayo.
Niwe mdogo hivo nitrambe!
Mdogo kila mahali...Niwe mdogo hivo nitrambe!
Huh!! Kwani unamuongelea nani?Mishangazi itakahusu haka aisee😂😂😂 si kamepost jioni hii..
Maji hufuata mkondo🤣🤣🤣Mbaya zaidi na kuna binti wa mtu ananiita baba mkwe huko😆
Hujambo totoo?Tatizo una dipresheni kali sana, nimelia sana kwa hayo makadirio yako
Unataka kusema utundu hukuanzia msingi wewe?Miaka 32 ningeanza utundu sekondari anaweza kuwa mtoto wangu
Si huyo mzee grahams😂😂Huh!! Kwani unamuongelea nani?
Oooh! Kumbe yupo jukwaani!Si huyo mzee grahams😂😂
Kaja leo kutusalimia na kuondoka shwaaOooh! Kumbe yupo jukwaani!