adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,479
- 33,512
Mkuu Mimi ni 25 nimezaliwa mwaka buku mbili
Mkuu Mimi ni 25 nimezaliwa mwaka buku mbili
Niache nachoka mimiHujambo totoo?
Oooh! Sawa, nikajua Mo29 ilipita nae🤣🤣🤣Kaja leo kutusalimia na kuondoka shwaa
Hii nchii Mwandambo tu ndio anaruhusiwa kuchoka🤣🤣Niache nachoka mimi
Na mimiHii nchii Mwandambo tu ndio anaruhusiwa kuchoka🤣🤣
Wewe dipresheni tu zikuandame, na hakuna kuchoka.Na mimi
HAKUNAAAAAWewe dipresheni tu zikuandame, na hakuna kuchoka.
Nikuokotee mawe?HAKUNAAAAA
Niokotee tuNikuokotee mawe?
60+!Pascal Mayalla , bado yanki ana miaka 45. 😊
Duh60+!
acha basi
Pascal Mayalla , bado yanki ana miaka 45.
mkwe toa 6 weka 5 sijaanza kula pensheni bado...