Ebu bashiri umri wa members humu JF

Ebu bashiri umri wa members humu JF

Dogo semenya Umepatia asee. Inaonekana unafuatliaga comment zangu za nyuma.

Juzi nilienda interview food chain flani hapa. Wakanikatalia wanataka vijana under 30s yani nikajisemea tu umri unaenda kasi sana. Nikikumbuka nilikujaga ulaya kijana mdogo sana 2008.

adriz de mbusii
Hatari sana ukiingia kumi la pili tu hapo umri unapepea sio kinyonge.

Yani ilee paaap unashangaaa una 30 ujakaa sawa ngoma inasoma 38.

Ukija kustuka una 50 kama ujawekeza na kuzisaka kwa nguvu kwisha habari yako.
 
Dogo semenya Umepatia asee. Inaonekana unafuatliaga comment zangu za nyuma.

Juzi nilienda interview food chain flani hapa. Wakanikatalia wanataka vijana under 30s yani nikajisemea tu umri unaenda kasi sana. Nikikumbuka nilikujaga ulaya kijana mdogo sana 2008.

adriz de mbusii
Wewe ni zee la miaka 38 acha kulisha watu matango pori.

Maarass bora walivyokukatalia Dujeumsaeng wewe uendelee kufanya humiliating , worst and poor paying jobs ikiwezekana wakurudishe bongo ulime Magimbi.
 
Back
Top Bottom