KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Kama ina ring 3, nunua yenye ring 2 and vice versa,.Wadau msaada nimenunua earphone juzi tu kwenye smartphone halafu zinakuwa hazisomi.
Msaada please. Nini tatizo....
Kama ina ring 3, nunua yenye ring 2 and vice versa,.Wadau msaada nimenunua earphone juzi tu kwenye smartphone halafu zinakuwa hazisomi.
Msaada please. Nini tatizo....
Ndio Mkuu headphones zangu za kwanza kuagiza zilikuwa hiziMkuu umewai kutumia hizi? Xiaomi piston fresh edition. Ni hatari sana zina clear sound haziumizi maskio. Mm nilishaacha kununua earphone za hapa bongo maana nyingi ni low quality. Zinaumiza masikio tu.
![]()
![]()
Kama nilivyomueleza Mkuu hapo juu nimeshapitia xiaomi mbili hybrid za kwanza (lakini sio hizi Hybrid Pro so siwezi jua kama wameimprove vipi) lakini kwenye experience yangu hata KZ ATE ziliwa out-perform.sidhani kama hizo earphone ni zaidi ya Hybrid IEM za xiaomi/1more (zamani zilijulikana kama piston), naona reddit na forums mbalimbali watu wanaprefer za xiaomi zaidi. umewahi tumia piston version ya karibuni?
inawezekana upo sahihi, mimi si mtu wa audio sana,Kama nilivyomueleza Mkuu hapo juu nimeshapitia xiaomi mbili hybrid za kwanza (lakini sio hizi Hybrid Pro so siwezi jua kama wameimprove vipi) lakini kwenye experience yangu hata KZ ATE zoliwaout perform.
Ukitaka kuona a review ya Rock zircon vs hybrid pro pitia kidogo hii site ana compare lows, Mids na highs delivery between hizi headphones.
Review: Xiaomi Hybrid (QTER01JY) - AudioBudget
Review: KZ ATE - AudioBudget
Review: Xiaomi Hybrid Pro (QTEJ02JY) - AudioBudget
https:/audiobudget.com/product/ROCK/Zircon
Huto jutia.inawezekana upo sahihi, mimi si mtu wa audio sana,
ngoja nitajaribu kuagizia siku moja hizo zircon.
Leta 35k nikutafutieMkuu naitaji hii kitu
tuma picha zake15000/= , mkuu huu ni mwaka wa pili nazitumia, haziumuzi maskio, zina mdundo hatari, ni imara, zina active noise cancellation kama unaongea na simu.
naweza kuzipataje kwa dar na sh ngapi?Tafuta earphone zinaitwa. MI izo ni balaa mkuu
Ngoja na mm January niagize hizi sh ngapi zinapatikana wapi?![]()
![]()
Mkuu hizi tunaziagiza kwenye masoko ya mtandaoni. Kwa Dar tegemea nyingi ni fake au kama ni original bei yake imechangamka.naweza kuzipataje kwa dar na sh ngapi?
Ni brand tofauti kabisa hata headphones zao quality sio kama ya KZ (Knowledge Zenith) siunajua tena China kitu chako kikiwa juu lazima waki copy hata humo ndani ndani. Lakini nadhani walikuwa sellers wa KZ ATE, Hakikisha unanua kwenye official site yao hii hapa Check out this recommended store on AliExpress. Find great products at low prices!Eti mkuu! KZ ni brand tofauti na QKZ?
![]()
![]()
Okay, nimekupata mkuu... Ngoja niagize hizo KZ.Ni brand tofauti kabisa hata headphones zao quality sio kama ya KZ (Knowledge Zenith) siunajua tena China kitu chako kikiwa juu lazima waki copy hata humo ndani ndani. Hakikisha unanua kwenye official site yao hii hapa Check out this recommended store on AliExpress. Find great products at low prices!
Buy Products Online from China Wholesalers at Aliexpress.com to Clipboard
(from AliExpress Android)
Oya nini kinasababisha earphones zikaa sana huwa hazisomi kwny sim yng Vodafone 200nenda maduka ya sound & Vision ukanunue vitu vya electronic hapo hata mimi baada ya kuuziwa maflash feki nilienda hapo nikanunua flash 8 Gb KWA 12000 NIKASHANGAA FLASH TU NAPEWA Risit ya EFD yenye Warrant Ya 5years, nenda hapo mkuu utapewa airphone orijino
Mkuu JBL unawaonaje?Ni brand tofauti kabisa hata headphones zao quality sio kama ya KZ (Knowledge Zenith) siunajua tena China kitu chako kikiwa juu lazima waki copy hata humo ndani ndani. Lakini nadhani walikuwa sellers wa KZ ATE, Hakikisha unanua kwenye official site yao hii hapa Check out this recommended store on AliExpress. Find great products at low prices!
Buy Products Online from China Wholesalers at Aliexpress.com to Clipboard
(from AliExpress Android)
Yapo sehemu gani mkuu?nenda maduka ya sound & Vision ukanunue vitu vya electronic hapo hata mimi baada ya kuuziwa maflash feki nilienda hapo nikanunua flash 8 Gb KWA 12000 NIKASHANGAA FLASH TU NAPEWA Risit ya EFD yenye Warrant Ya 5years, nenda hapo mkuu utapewa airphone orijino