Jerry santonga
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 647
- 566
Wewe umekula kweli au umetoka usingizini MTMZianzishie chekechekea taratibu zitaanza kusoma
Wewe umekula kweli au umetoka usingizini MTMZianzishie chekechekea taratibu zitaanza kusoma
Tafuta earphone zinaitwa. MI izo ni balaa mkuu
Apana si kubwa kiivyo kaka wee timba kkoo zipo mbona bei ya kawaida tu![]()
Swadakta mkuu, ila hapa bongo bei yake kubwa sana bora niagize mtandaoni.
Haaa ha ha ha ha... wee jamaaa falaa sanaaaaa...!!Zianzishie chekechekea taratibu zitaanza kusoma
Wewe umekula kweli au umetoka usingizini MTM
Haya kijana umepevukaNlkua nacheza kidali Po
Kumbe hadi Xiaomi zipo fake?, ila mm nina uhakika na zile ninazo nunua www.gearbest.com online ni original 100%99% ya earphone za xiaomi bongo ni fake,
kama unataka earphone nzuri original unazipata kwa around 5000, hizi zinakuja na samsung kitochi (Guru), wanazichomoa wanaziuza aggrey. zipo kama hivi
![]()
yah za aggrey earphone, powerbank na acessory nyingi ni fake. labda ununue online.Kumbe hadi Xiaomi zipo fake?, ila mm nina uhakika na zile ninazo nunua www.gearbest.com online ni original 100%
yap hizi hizi, aggrey ni 5000 au 4000 hivi, sema ni za kuchomoa, supply yake si kubwa sana.nimeziona aliexpress zinatengezwa Vietnam 8000/=![]()
Karikoo Aggrey, maeneo gani mkuu?![]()
Swadakta mkuu, ila hapa bongo bei yake kubwa sana bora niagize mtandaoni.
Karikoo Aggrey, maeneo gani mkuu?
We tunazitumia Mkuu?Tafuta earphone zinaitwa. MI izo ni balaa mkuu
Basi tatizo ni simu yako, lakini hizi earphone nyingi ni low quality, jaribu kutafuta za MI
![]()
![]()
![]()
Mkuu hata mimi nilipata tatizo kama hili lako, kununua ma feki haya ya kariakoo na kusikiliza mchele na inakera Sema ukweli.
Kama unaweza kuagiza ningekushauri ununue headphones zinazoitwa Rock Zircon, ni nzuri sana sana sana hadi huwezi amini bei yake. Bass A+, Mids A+, Comfort A+ huwezi kukosea na zinauzwa 21,000 AliExpress. Kuna nyimbo zimo kwenye simu yangu tokea 2009 lakini hivi majuzi ndio nimesikia vikorombwezo amabvyo haya ma earphone hayawezi produce. Hizi headphones ni nzuri to the point mpinzani wake ni headphones za 200,000+ kwa sasa nina headphones za Jaybird lakini huwa nazirudia hizi mara kwa mara.
![]()
Reviews zake hizi hapa utaona hata headphones za xiaomi hazioni ndani, ukiwa unataka kujua ubora wa headphones za kichina uwe unapitia hii website utajifunza mambo mengi sana. Review: ROCK Zircon (RAU0501) - AudioBudget
![]()
Video review hii hapa
Headphones nyingine ambazo nazi kubali na ni bei ndogo ni hizi hapa KZ ATE sema kama unapenda nyimbo zenye bass kama hip hop nunua nilizo kushauri Mwanzo.
![]()
Mkuu naitaji hii kituBasi tatizo ni simu yako, lakini hizi earphone nyingi ni low quality, jaribu kutafuta za MI
![]()
![]()
![]()
Mkuu hata mimi nilipata tatizo kama hili lako, kununua ma feki haya ya kariakoo na kusikiliza mchele na inakera Sema ukweli.
Kama unaweza kuagiza ningekushauri ununue headphones zinazoitwa Rock Zircon, ni nzuri sana sana sana hadi huwezi amini bei yake. Bass A+, Mids A+, Comfort A+ huwezi kukosea na zinauzwa 21,000 AliExpress. Kuna nyimbo zimo kwenye simu yangu tokea 2009 lakini hivi majuzi ndio nimesikia vikorombwezo amabvyo haya ma earphone hayawezi produce. Hizi headphones ni nzuri to the point mpinzani wake ni headphones za 200,000+ kwa sasa nina headphones za Jaybird lakini huwa nazirudia hizi mara kwa mara.
![]()
Reviews zake hizi hapa utaona hata headphones za xiaomi hazioni ndani, ukiwa unataka kujua ubora wa headphones za kichina uwe unapitia hii website utajifunza mambo mengi sana. Review: ROCK Zircon (RAU0501) - AudioBudget
![]()
Video review hii hapa
Headphones nyingine ambazo nazi kubali na ni bei ndogo ni hizi hapa KZ ATE sema kama unapenda nyimbo zenye bass kama hip hop nunua nilizo kushauri Mwanzo.
![]()