kilambalambila
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 9,290
- 8,611
Wametimiza wajibu.....utekelezaji sasa
Hufahamiki unalia au unalalamikaUngesema ni ajira!
Hawa wanasiasa kwa ujumla wao: CHADEMA, CCM, CUF, TLP, etc wote ni ajira tu! Ukiondoa ruzuku za vyama na kuweka mshahara wa kistaarabu kwa wabunge, tutaona wanavyoachia ngazi. Sasa CHADEMA unayosifu inawezaje kuwa na ruzuku za mabilioni ishindwe hata kuweka gorofa moja kama makao makuu ya kitaifa? Kila siku ni talalila tu! Oooh Mara michango ya ... bhla! bhla!
Alishaweka andiko humu kwamba baada ya Magufuli ni MakondaWewe hata CCM wakiweka paka utampigia kura paka, na kwa akili za CCM wanaamini hata Sabaya na Makonda ni viongozi wazuri
Nadiriki kusema kwenye hili CHADEMA ndio imeshinda..Mamluki kina Z hawana hadhi ya kujumuishwa hapa
Hizi mahakama sina uhakika kama zina maana yeyote katika sheria za ndani ya nchi,sina uhakika kama zinaweza kubadilisha chochote
Hivi kuteuliwa mwisho umri gani ?Mkuu heshima yako!!
Kwakuwa una malengo ya kuwa kiongozi kwa ngazi yoyote ile hasa hizi za kuteuliwa....naomba uitunze heshima yako usiwagawe watanzania baadhi tunakuombea na kukusuppport.
Maana ukiteuliwa utawahudumia hawa hawa unaowakandia hapa....please ruhusu demokrasia hata kwenye chama chako maana kuna baadhi ya wanaccm haturidhishwi na hali halisi ya sasa.
Asante.
Hayo ni maoni tu ya Mahakama, hayawezi kufuatwa mpaka tena bunge likae na kuridhia marekebisho, so DJ atasubiri sana!!These Smart People May Allah Bless them.
Hakuna cha kumchosha Mama, hayo ni maoni tu ya mahakama, mpaka bunge liridhie na sio rahisiMama atafika 2025 amechoka sana.
Hii mikwaju huku na kule juu na chini.
Shetani baba yako , shwaini we!!CDM ni mpango wa Mungu kuwaokoa watanganyika dhidi ya mashetani wakijani.
Katiba mpya ni hitaji la wananchi.
#MaendeleoHayanaChama
Amka wewe bibi ukamwandalie mmeo maji ya kuoga na umpelekee maliwatoni!Lakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
PWatanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Wanabodi, Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari. Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha...www.jamiiforums.com
Punguza kujipendekeza na kujikomba ndugu njaa Kali! Hivi, ulishawahi kusoma law of unafiki? Haunaga posho zaidi ya lile jicho la "lione hilo linafiki linavyojipendekeza ili lilambe uteuzi"!Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
PWatanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Wanabodi, Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari. Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha...www.jamiiforums.com
Mkuu wangu.....kumbuka hatuachiani maji mezani. So power is entitled to one supreme member where everything is assumed noble never to be questioned.Mkuu Kaka pembe , uzuri wa CCM, usiporidhika na jambo lolote, lilete kwenye vikao.
P
Acha kuwa na roho mbaya ya kimaskini huku ukisingizia nature. Unashindwa hata kuficha unachokiwaza.Punguza kujipendekeza na kujikomba ndugu njaa Kali! Hivi, ulishawahi kusoma law of unafiki? Haunaga posho zaidi ya lile jicho la "lione hilo linafiki linavyojipendekeza ili lilambe uteuzi"!
Aliyekuambia huyo mwanamke ataishi Hadi mwaka huo wa 2025 ni mwananchi Gani? What if nature ikatake place, utaandikaje Tena?
Wachumia tumbo wanapenda vya mkatoWengine wanalilia Tume Huru huku sheria Ni mbovu.
Ushindi mkubwa huuAma kweli ibilisi joka kuu hii nchi alikuwa ameishaifanya mali yake. Sema alisahau yupo mtengeneza njia pasipo na njia. Hongera Chadema kwa ushindi wenu na Mungu wa Isaka na Yakobo na azidi kuwatangulia katika harakati za kuivusha nchi hii
Unakera sana we mtu.Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
PWatanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Wanabodi, Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari. Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha...www.jamiiforums.com
Tatizo lako unamchukulia Kila mtu mweñye mtazamo na hoja kinzani na zako hajasoma au ana elimu duni! Elimu uliyonayo wewe inakusaidia Nini! Nikikuambia kuwa ubora wa elimu uliyo nayo unaonekana kwenye makaratasi unayoyaita vyeti utabweka kuliko mbwakoko!Acha kuwa na roho mbaya ya kimaskini huku ukisingizia nature. Unashindwa hata kuficha unachokiwaza.
Watanzania elimu....elimu....elimu. Ukipata fursa soma.