Wewe ulitaka wamseme nani kwa mfano?Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
hata alie sana tunataka vyetiiJaman jaman kuweni na huruma bhasi , eeh wajameni sio vizuri mwenzenu amelia mpaka bhasi duuh mbona mnakuwa hamna ubinadamu jamen kamaliza makanisa yote kuanzia chalinze mpaka daresilama.. Mwanaume mzima katoa michoz oneni huruma jamaan ,,iiiiih sio vizuri kakosa kakubwa hvo ka kuwa na majina mengi ndio mumukalie shingoni eeeh oneni kahuruma..
Iwe tamu vipi, hata ya bure siwezi kunywa!Nauza bashite juice, chupa 1 sh 500 tu karibuni sana
Sahihi mkuu.Bashite ana MARINGO, DHARAU, MUONGO, MNAFIKI.Ndiyo maana anachukiwa.
Acha porojo weka vyeti....Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Huyu jamaa ni hovyo kbs,bado laana ya mzee warioba inamtafunaAliwavunjia heshima kama si kuwatukana wafanyakazi wake 116 kwa matamshi yake ya kijingi. Na si hapo tu, amesikika akisema akitaka mtu aondoke kwenye mkoa wake wa dsm , mtu huyo anaondoka mara moja hata na ndala!.
Alimdhalilisha Mh. Kubenea (mb) pale Urafiki Textile kwa kumnyima nafasi ya kuongea, na kuamrisha polisi wamkate. Na zaidi alimpiga mzee Warioba pale ubungo plaza, Daudi Bashite ni hovyo.
Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Halafu Bashite anazingua ujue mana mbeya sasa hivi watoto wanaozaliwa wanaitwa Mwakabashite MwakavyetiIna maana wewe hujui? Hiyo ni kampeni ya kawaida tu ili aonyeshe vyeti na kama hana basi akubali kushindwa. Pia ni kukumbusha tu sheria ichukue mkondo wake. Mbona hili siyo tatizo mkuu?