Kwani ameonyesha vyeti mpaka tuseme inatosha? ??Wakuu tumejadiri mengi kuhusu mheshimiwa huyo, binafsi naona itoshe sasa.
Tuseme imetosha kwa sababu yale machozi ya jana ni kauli ya kuomba msamaha kwa namna moja au nyingine.
Ukiona mwanaume aliyekuwa jasiri na mwenyewe nyodo na majibu ya fedheha na kudharirisha analia , tena analia mbele za watu ujue amejutia makosa yake.
Naomba tuachane na habari za Makonda kama Makonda. Tuendelee na mengine, jamani ameshajifunza somo kubwa sana ninaamini atabadirika sana.
Nawe Bwana Paulo Makonda Maumivu uliyoyapata kwa tukio hili ndiyo waliopata wale ulikuwa unawatukana na kuwadharirisha mbele ya kamera, Mungu amekuonjesha sehemu ndogo sana, acha kutukana na kudharirisha watu.
Nilikwambia siku moja kama unakumbuka kuwa cheo ni dhamana.
Familia ya marehem Kabwe inakutazama kama wewe ndiyo sababisho la yote yaliyomtokea baba yule.
Acha uongozi wa mihemko, tubu kwa wote uliowadharirisha, akiwemo ,manji, mbowe, Gwajima , wema na wengine.
Narudia kuwasihi tena wanajf wenzangu itoshe kuhusu huyu mtu jamani.
Wanaoniunga mkono kwa hili Mungu awabariki sana.
Msiyoniunga mkono niwaombe mjaribu kuvaa uhusika japo kwa dakika moja. Najua mkisha uvaa uhusika kwa dakika moja mtanielewa na kuniunga mkono.
Asanteni.
Ndoano imemkaba koo hapumui watu wanapiga mawe tu![]()
![]()
![]()
Juzi hapa ametoka likizo,sasa hivi tena ana likizo,ameenda kujifungua?
Mana alivokua analia kwa uchungu usikute ndo miezi 9 ishafika
Angeanzaje kwa mfano,kwanza bora hajaenda mana angechukua tension ya mama zetu
Bashite kazi anayo. Saivi ukiandika Ba simu inamalizia shiteMbona waoga hivi? Makonda anawahenyesha hata akiwa huko?![]()
![]()
![]()
Juzi hapa ametoka likizo,sasa hivi tena ana likizo,ameenda kujifungua?
Mana alivokua analia kwa uchungu usikute ndo miezi 9 ishafika
. Jembe letu, RC wa nguvu, akiwa hapa jijini si ndio mtajiharishia kabisa!?!!?Hivi Mwanza wanapatikana??kwa masafa gani msaada plsHabari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Zile mbwembwe zilikua ni za kujihami tu,ukitaka kujua yule jamaa ni bogasi angalia mkoa wake umefeli sana lkn hakuongea chochote mana yy mwenyewe alizungusha.Mbona waoga hivi? Makonda anawahenyesha hata akiwa huko?![]()
![]()
. Jembe letu, RC wa nguvu, akiwa hapa jijini si ndio mtajiharishia kabisa!?!!?
Makondaaaaa. . Umewashika pabaya hawa!!Ndoano imemkaba koo hapumui watu wanapiga mawe tu
Ametushika au katoroka mjiMakondaaaaa. . Umewashika pabaya hawa!!