E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Akili fupi zinaona mwisho sebleni
Haya bashite
Atatunyamazisha endapo atajitokeza hadharani na kukanusha hii skendo km alivofanya Nchemba kipindi kile.
Kama kwel yeye ni kiongozi anayejali kazi yake atafanya hivo,mana kiongozi yyt duniani inapotokea skendo lazima ajitokeze aidha kujisafisha au kuwajibika
 
Wakuu tumejadiri mengi kuhusu mheshimiwa huyo, binafsi naona itoshe sasa.

Tuseme imetosha kwa sababu yale machozi ya jana ni kauli ya kuomba msamaha kwa namna moja au nyingine.

Ukiona mwanaume aliyekuwa jasiri na mwenyewe nyodo na majibu ya fedheha na kudharirisha analia , tena analia mbele za watu ujue amejutia makosa yake.

Naomba tuachane na habari za Makonda kama Makonda. Tuendelee na mengine, jamani ameshajifunza somo kubwa sana ninaamini atabadirika sana.

Nawe Bwana Paulo Makonda Maumivu uliyoyapata kwa tukio hili ndiyo waliopata wale ulikuwa unawatukana na kuwadharirisha mbele ya kamera, Mungu amekuonjesha sehemu ndogo sana, acha kutukana na kudharirisha watu.

Nilikwambia siku moja kama unakumbuka kuwa cheo ni dhamana.

Familia ya marehem Kabwe inakutazama kama wewe ndiyo sababisho la yote yaliyomtokea baba yule.

Acha uongozi wa mihemko, tubu kwa wote uliowadharirisha, akiwemo ,manji, mbowe, Gwajima , wema na wengine.

Narudia kuwasihi tena wanajf wenzangu itoshe kuhusu huyu mtu jamani.

Wanaoniunga mkono kwa hili Mungu awabariki sana.

Msiyoniunga mkono niwaombe mjaribu kuvaa uhusika japo kwa dakika moja. Najua mkisha uvaa uhusika kwa dakika moja mtanielewa na kuniunga mkono.
Asanteni.
Wanaokuunga mkono Mungu awabariki, ila wasiokuunga wasibarikiwe sio??
 
Wanaokuunga mkono Mungu awabariki, ila wasiokuunga wasibarikiwe sio??
Hapa Mungu abariki au asibariki,kiongozi yyt duniani anapokumbwa na skendo lazima ajitokeza kujisafisha ili kurudsha imani kwa wananchi
 
Wanaokuunga mkono Mungu awabariki, ila wasiokuunga wasibarikiwe sio??
Hapa Mungu abariki au asibariki,kiongozi yyt duniani anapokumbwa na skendo lazima ajitokeza kujisafisha ili kurudsha imani kwa wananchi
 
Makonda sio misifa ila anafanyakazi kwa kusaidia taifa lisiangamie
Taifa la Tz linaangamizwa na vingi; akiwemo adui ujinga(ukigushi vyeti sidhani kama umetoa ujinga au umeuzidisha). ili taifa lisiangamie lazima tupambane na adui ujinga na mzee JPM alishaanza kudili na huyu adui ili tupate wataalam kweli si waliofoji vyeti bali wanaoqualify kwa position watakazopewa.
 
Taifa la Tz linaangamizwa na vingi; akiwemo adui ujinga(ukigushi vyeti sidhani kama umetoa ujinga au umeuzidisha). ili taifa lisiangamie lazima tupambane na adui ujinga na mzee JPM alishaanza kudili na huyu adui ili tupate wataalam kweli si waliofoji vyeti bali wanaoqualify kwa position watakazopewa.
 
Haya bashite
Atatunyamazisha endapo atajitokeza hadharani na kukanusha hii skendo km alivofanya Nchemba kipindi kile.
Kama kwel yeye ni kiongozi anayejali kazi yake atafanya hivo,mana kiongozi yyt duniani inapotokea skendo lazima ajitokeze aidha kujisafisha au kuwajibika
Teh teh teh, huyu jamaa aisee amewashika hatari this time maana mmetumia energies nyingi kufanya demands za vyeti but zote hola, naona mpaka pumzi zimewaishia kabisa, kweli huyu jamaa ni mwamba and now nimemuelewa why alisema majibu yapo humu humu.
Live long one and only, Kamanda Makonda
 
Habari wakuu

Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.

Amewakosea nini?
Ameziba nafasi ya mtanzania aliyesoma vizuri kwa juhudi zake.
Bashite OUT.
 
wabongo bwana taaabuuuu kweli kweli yaaani mteule wa Mh Rais anashinikizwa na kituo cha redio kinachosikika kwenye mkoa mmoja aonyeshe vyeti vyake hii dharauu ya karne hivi zaidi ya rais kuna nani mwingine mbona hatujitathmin tuache ushabiki ushabiki bila kujali protocol. Mh Makonda ni RC ambaye ameteuliwa na Mh Rais kwa kuzingatia vigezo vya ikulu na ikulu ni taasisi hivi mtu kateuliwa na marais wawili kwa nyakati tofauti hao wote hawakuliona hilo. jamani hebu tuheshimu mamlaka iliyomteua tuache ushabiki wa visilani na chuki binafsi.
 
Back
Top Bottom