Tujiulize Clouds fm na TV mbona wanalificha hili la Bashite kwa nini??? Ujue kuna mahali hakuja balance kabisaaaaHabari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Yeye hajawahi kua na huruma na mtu,km angekua na huruma asinge gushi cheti.Jaman jaman kuweni na huruma bhasi , eeh wajameni sio vizuri mwenzenu amelia mpaka bhasi duuh mbona mnakuwa hamna ubinadamu jamen kamaliza makanisa yote kuanzia chalinze mpaka daresilama.. Mwanaume mzima katoa michoz oneni huruma jamaan ,,iiiiih sio vizuri kakosa kakubwa hvo ka kuwa na majina mengi ndio mumukalie shingoni eeeh oneni kahuruma..
Kajambe ndo urudi huku pumbaaaveeeee hujui Kuna wangapi wanateseka walivokumbwa na sekeseke la vyeti kama bashite halafu yeye anakula raha wenzie wameachishwa kazi... P***Mbavuuuu zako!!!!!!Hata tukiongea 24 hrs kuhusu Makonda hatutaletewa vyakula majumbani mwetu. Mleta mada uko sawa kabisa. Life has to go on, tufanye kazi na tuyaache ya Makonda.
Wale ma engenier ulio wafukuza kazi kwamba ni wazembe na hawana sifa...?
Walioba mtu mzima kama yule ulimpiga makofi ( laana hii ukamuombe radhi )
Atumbuaye wenzie naye atumbuliwe sasa zamuyako imefika
Mmmh bado Huyo hakuna kumsamehe Huyo kafiriWakuu tumejadiri mengi kuhusu mheshimiwa huyo, binafsi naona itoshe sasa.
Tuseme imetosha kwa sababu yale machozi ya jana ni kauli ya kuomba msamaha kwa namna moja au nyingine.
Ukiona mwanaume aliyekuwa jasiri na mwenyewe nyodo na majibu ya fedheha na kudharirisha analia , tena analia mbele za watu ujue amejutia makosa yake.
Naomba tuachane na habari za Makonda kama Makonda. Tuendelee na mengine, jamani ameshajifunza somo kubwa sana ninaamini atabadirika sana.
Nawe Bwana Paulo Makonda Maumivu uliyoyapata kwa tukio hili ndiyo waliopata wale ulikuwa unawatukana na kuwadharirisha mbele ya kamera, Mungu amekuonjesha sehemu ndogo sana, acha kutukana na kudharirisha watu.
Nilikwambia siku moja kama unakumbuka kuwa cheo ni dhamana.
Familia ya marehem Kabwe inakutazama kama wewe ndiyo sababisho la yote yaliyomtokea baba yule.
Acha uongozi wa mihemko, tubu kwa wote uliowadharirisha, akiwemo ,manji, mbowe, Gwajima , wema na wengine.
Narudia kuwasihi tena wanajf wenzangu itoshe kuhusu huyu mtu jamani.
Wanaoniunga mkono kwa hili Mungu awabariki sana.
Msiyoniunga mkono niwaombe mjaribu kuvaa uhusika japo kwa dakika moja. Najua mkisha uvaa uhusika kwa dakika moja mtanielewa na kuniunga mkono.
Asanteni.
Dawa jamaa ni kutumbuliwa tuWale ma engenier ulio wafukuza kazi kwamba ni wazembe na hawana sifa...?
Walioba mtu mzima kama yule ulimpiga makofi ( laana hii ukamuombe radhi )
Atumbuaye wenzie naye atumbuliwe sasa zamuyako imefika
We hujui bashite ni jina baya kuliko yote, bashite mwnyewe!Sawa bashite,nimekuelewa bashite