Dah sisi hatujui hilo km anataka amalize mjadala aweke vyetiKazungumza nawandishi wahabali kuhusu kakaake kwanini anamuo ngelea mabaya mkuu wa mkowa Paul makonda kama alikuwa anajuwa tokea mwanzo kuwa Paul makonda ana vyet feki kwanini hakusema tokea mwanzo baada ya kutajwa kwenye sakata la madawa ndo akasema kwahiyo mdogo wake anasema kuwa n.gwajima apuuziwe
Unajua siyo kwamba watu hawagushi vyeti,tena wapo wengi sana sema wapo kimya ndo mana hawafatiliwi,sasa huyu bashite amekua na misifa sana ndo mana watu wamemtolea uvivuMTU mwenye uzalendo na nchi yake hawezi kufatilia maswala ya vyet tunaa ngali kazi tu
Nipo mzee wa koromijeMzee wa bashite bashite upo?