Hapo itakuwa forgery mungu ni mwenye hakiEee bhana
Mungu anaweza yote
Ndivyo ilivyotakiwa lakini hana. Ataonyesha nini?Cha msingi aonyeshe vyeti ili kufuta maneno ya watu
Mwambieni uungwana ni vitendo atoe vyeti tu, Umaskini,Mapambano ya nn sijui? kulia n.k havimpi uhalali wa kumiliki vyeti visivyo vyake mi naona hata hiyo kambi wangemwekea mlangoni kwake ili aone keroKweli mkuu,ila hao efm ni kama wameweka kambi ya vita
Hapa nasikiliza efm,bado wanapiga nondoMwambieni uungwana ni vitendo atoe vyeti tu, Umaskini,Mapambano ya nn sijui? kulia n.k havimpi uhalali wa kumiliki vyeti visivyo vyake mi naona hata hiyo kambi wangemwekea mlangoni kwake ili aone kero
Wapige mpaka shetani atoke huko pangoni aliko kimbiliaHapa nasikiliza efm,bado wanapiga nondo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Said Nape nnauye
Likizo Miezi miwili,siku sitini,ile mbegu ya mahindi ya muda mfupi atayakupa tayari yashakomaaYani km vita ya dunia
Kaukimbia mji wake sasa alisema anaweza kumhamisha mtu sasa kahamishwa yeye[emoji123] [emoji123] [emoji123]