E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

toa wewe hivyo vyeti vya mh.kama unavyo,au ukisikia tu unaamini
Pole sana. Huenda ww ni bashite. Haya bana najua mafisadi siku zote wanalindana.
KILA KITU KIPO UCHI KWAHIYO HAINA HAJA YA KUFICHA UOVU.
Kolomije wa kijani. Ni kawaida yenu.
HIZO NI SHITUMA KM SHITUMA ZINGINE ZA MADAWA YA KULEVYA. CCM WALIPOKUWA WANASHUKU WATU KUWA WANAUZA NGADA BILA KUWA NA UTHIBISHO MARA MOJA WALIENDA KUMKAMATA LK LEO MAMBO YAMEKUWA UPANDE WAO WANAVUTA SHARUBU TU.
Sina vyeti vya huyo mpuuzi, uchunguzi umefanyika kafoji vyeti.
*mwenyekiti wako kipindi kile alisema atayashughulikia magazeti yanayovumisha kuna njaa, mbona hili amekaa kimya? MBONA WAJACHUKUA HATUA YYTE KUHUSU CYBER CRIME? Mwanahalisi kaandika A-Z about Bashite mbona hawajachukuliwa hatua? Tena kiongozi mkubwa kbsa wa jiji la dar.
Hawa ndiyo vichaa tunaowatafuta wa vyeti feki. Mtambeba tu lkn ss wananch tutamkataa km rc wa dar
 
Habari wakuu

Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.

Amewakosea nini?
Kosa lake ni kama alivyo amua kuipendelea Clouds FM kwa maswala yote ya Chama na Serikali kuliko TBC na UHURU FM ... kibaya zaidi hata shughulu zake binafsi
 
Naunga mkono hoja,jamani itoshe sasa hii ni too much! Tukilala Makonda tukiamka Bashite wengine mpaka tunaota tupo koromije! Loh! Emu kuweni na huruma hata kiduchu.

Mbona yy hakuwa na huruma hata kidogo kwa wenzake au yy tu ndo anasura ya kuonewa huruma
 
Back
Top Bottom