E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Na kuna nyingine inamlamba matako na kumsupport upuuzi wake kila mtu afanye atakalo wacha kuwapangia!!!
Mkuu punguza ukali wa maneno, wenzako hali yao mbaya, hawana pakutokea walishaanza kumwita Bashite Prince mwana wa Mfalme
 
Hao waliguswa na wanayotenda ya kuangamiza vijana.

Hata kodi ya pango tabu kulipa.

Makonda oyeeeeeeee
 
Mkuu punguza ukali wa maneno, wenzako hali yao mbaya, hawana pakutokea walishaanza kumwita Bashite Prince mwana wa Mfalme

Ha ha haaa Kama lemutuz nae namuona anatapatapa Leo alipost picha eti yuko masaki na Mkuu wa mkoa akajitapa na mwaliko wa siku ya wanawake kumbe wenzie wametangaza atakaimiwa na Mkuu wa wilaya ya kinondoni wacha adelete post upesi sana ha ha haaa nimecheka sana aisee
 
kuna redio flan,inajihusisha mno katika hili sakata la Mh.mkuu wa mkoa,kwa kumkejeli na kumponda,hii yote ni kutokana na vitu flan flan eti mabosi zao wapo ndani kwa inshu za dawa za kulevya,hii inakufanya wewe mtangazaji kujiingiza kwenye vitu vinavyomhusu bosi wako.ushauri wangu wewe mtangazaji nenda kazini kafanye kazi na si vinginevyo,achana kujiingiza kwenye mambo yasiyokuhusu,kama unataka kutangaza inshu hizo balance habari yako.
 
Wewe mpuuzi kweli mbona hukusema makonda anavyotumia hiyo hiyo radio nyingine na tv kushambulia watu!
Watanzania bila unafiki hatuendi acha waendelee kufanya yao ebooo!
 
Umekurupuka kurupuuuu vyeti ni ishu muhimu sana kwenye Nchi yetu ndio maana vita ya kwanza ilikua kuhakiki vyeti pamoja na wafanyakazi hewa kuondolewa .

Katika vita kama hiyo radio lazima ziwe mstari Wa mbele kupambana vinginevyo haitakua na tija kwa taifa.

Huyo mheshimiwa aweke vyeti hadharani ,na wewe unatetea uhalifu halafu ni great thinker.
 
huwezi ukawa kiongozi kila unachoombwa na wajinga utoe,ina maana hata ukiambiwa unakibamia wewe utavua ili uthibitishe!!!!!!!!!!!!!!!
Kumbe rais aliomba mpk wenye vbamia waonyeshe
Duh
 
Back
Top Bottom