Masanyiwa Mabula
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 954
- 983
Kumbuka watu waliachishwa kazi na wengine wapo jera ninavyoandika huu ujumbe. Hakuna cha blah blah hapo. Hak itendeke kwa wotehuwezi ukawa kiongozi kila unachoombwa na wajinga utoe,ina maana hata ukiambiwa unakibamia wewe utavua ili uthibitishe!!!!!!!!!!!!!!!
Pole sana, ndoto yako ya uraisi imekufa mtumia vyeti vya watu. NAJUA WAHALIFU WENZAKO WATAKULINDA TU NA HIYO NDIYO KAWAIDA YENU
NA SISI WANANCHI HATUTAKUTAMBUA KAMA MKUU WETU WA MKOA WA DSM. Hatuwezi kuongozwa na mhalifu bora ungetumia vyeti vyako vya 0 hapo ingekuwa hakuna tatizo. Tunacholalamikia kwann ww mhalifu wa vyeti ubakizwe wakati wenzako wametumuliwa?ww ni nani? DAWA NI KUKOKUTAMBUA TU KM MKUU WA MKOA