Chief kaizer Richard
New Member
- Feb 27, 2017
- 3
- 5
EFM ni chombo cha habari, kuhoji na kuitaji kufaham * Daud Albart Bashite au Paul Christian Muyenga/Makonda jina halisi ni nani?
Udanganyifu ni kosa la Jinai
Udanganyifu ni kosa la Jinai
Huoni kosa lake? Kufoji cheji siyo kosa...Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Nenda kwa cv yake,karbu wabunge wengi huanika cv zao!!....jarb huko,Nauliza vya Mbowe kesha viweka Kwa hewa? Wewe hushangai yeye Kwanini halivalii njuga hili swala
Kwa bashite mchungu
![]()
![]()
![]()
Wewe apoKwani Mbowe ni ndugu na bashite,nani aliesema kila bahite atakachofanya na mbowe afanye?
Kuna sehemu umbea haupenyeziInaonyesha jina la bashite shilawadu wanaliogopa,wao si wanasema hatushindwiii
hahaha..Hujielewi....ndio hujui hata ujibu nn!!..sjui uko ahalf asleep!!!...?Wewe apo










Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Zero yani, alipiga zero yani,ziro yani
Bashite ndo brand kubwa hapa tz kwa sasa
We unakasirika nini?Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?




