Unasema?Cjui kwani ulikuwaga WAP kipindi wanqchez afuu unaanza kusumbua wa2
Sent from my itel it1355 using JamiiForums mobile app
Punguza kutumiwa hipo siku utapangishiwa nyumba na kupewa pesa ya vochakuna redio flan,inajihusisha mno katika hili sakata la Mh.mkuu wa mkoa,kwa kumkejeli na kumponda,hii yote ni kutokana na vitu flan flan eti mabosi zao wapo ndani kwa inshu za dawa za kulevya,hii inakufanya wewe mtangazaji kujiingiza kwenye vitu vinavyomhusu bosi wako.ushauri wangu wewe mtangazaji nenda kazini kafanye kazi na si vinginevyo,achana kujiingiza kwenye mambo yasiyokuhusu,kama unataka kutangaza inshu hizo balance habari yako.
kuna redio flan,inajihusisha mno katika hili sakata la Mh.mkuu wa mkoa,kwa kumkejeli na kumponda,hii yote ni kutokana na vitu flan flan eti mabosi zao wapo ndani kwa inshu za dawa za kulevya,hii inakufanya wewe mtangazaji kujiingiza kwenye vitu vinavyomhusu bosi wako.ushauri wangu wewe mtangazaji nenda kazini kafanye kazi na si vinginevyo,achana kujiingiza kwenye mambo yasiyokuhusu,kama unataka kutangaza inshu hizo balance habari yako.
mnashida nyinyiKuna radio inamsifia mhalifu...
kuna redio flan,inajihusisha mno katika hili sakata la Mh.mkuu wa mkoa,kwa kumkejeli na kumponda,hii yote ni kutokana na vitu flan flan eti mabosi zao wapo ndani kwa inshu za dawa za kulevya,hii inakufanya wewe mtangazaji kujiingiza kwenye vitu vinavyomhusu bosi wako.ushauri wangu wewe mtangazaji nenda kazini kafanye kazi na si vinginevyo,achana kujiingiza kwenye mambo yasiyokuhusu,kama unataka kutangaza inshu hizo balance habari yako.