E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Inaitwa KOROMIJE... Jina la hiki kijiji limetokana na wasukuma kushindwa kutamka jina la mzungu mmoja alikuwa anaitwa Jonathan... Alikuwa na kisima cha maji pale kijijini, kila Wakija kuteka maji asubuhi wanamkuta kalala... Wakawa wanamind na jina likawa linawatatiza... Ndo akawaambia "Call me J" yaani muwe mnaniita J... Wao wakaita KOLOMIJE ikawa ndo jina la kijiji cha kina Bashite
Mbwanyeni mwanawa
Kumbe ndo hvo
 
Wenyewe wanasema "Form Four Failure Fit For Food Fight".
Kufeli kubaya sana jamani . Binafsi nili-discontinue UDSM so, I know how it feels.
Sorry aisee
Afu kuna bwege anaongoza dsm
 
20af328b5d69f0ae62d88269bb05611f.jpg
kiongozi wa wahuni [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Hii ishu simple sana, yaan haina haja ya kuzunguka kujibaraguza makanisani na misikitini huku unalia,

Ni kuweka vyeti tu hata huongei, vyeti ndio vitaongea

#weka_vyeti_acha_maneno
Cheti juu ya cheti tu
 
Umeeleweka sana mkuu ila naomba nikukumbushe kuwa kwa imani ya dhehebu analoamini mkuu Bashite ni kuwa kitabu kinacho waongoza kina sema mshahara wa dhambi ni mauti.

Kwahiyo tunachokitaka kwasababu aliwatendea dhambi wengine lazima na yeye apoteee!


Twende kazi Bashite kupona kwako lazima lete vyetiiii.

Onyesha vyako kwanza
 
Si ajabu anavyo kavitunza kabatini na mfukoni kachapika ile mbaya. Unakandia mtu aliyeko field kwa vitendo kisa una makaratasi umeyatunza kabatini!?
Muulize elimu ya Mwenyekiti wake uone atakavyotoa mapovu.
[emoji26] [emoji26] [emoji26]
 
Yaani sijaona kabisa tofauti ya Bashite na Hamorapa tena bora Hamorapa kiki zake zinamaana lakini Bashite kiki zake za kudhalilisha watu wengine sio kabisa
[emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Mwenyekiti wa CDM kuna wakati aliacha kujiita Freeman Aikaeli Mbowe kwani mbona unachanganya mambo hivi leo hata Yesu akirudi Bashite ataitika jina lipi si atasahaulika huyu
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Umeeleweka sana mkuu ila naomba nikukumbushe kuwa kwa imani ya dhehebu analoamini mkuu Bashite ni kuwa kitabu kinacho waongoza kina sema mshahara wa dhambi ni mauti.

Kwahiyo tunachokitaka kwasababu aliwatendea dhambi wengine lazima na yeye apoteee!


Twende kazi Bashite kupona kwako lazima lete vyetiiii.
Sana tu
 
Boss wao alitajwa na kweli anauza unga sasa alitaka kwakuwa kituo kilijitoa kutangaza kampeni ya Mti wangu asiguswe..Wanahabari wanafanya kazi ya Ibilisi na ipo siku watajuta
 
Back
Top Bottom