Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,734
Njia/mbinu mojawapo ya kumshinda adui ni kuwa kinyume nae!.......E Fm wanataka kuwa kinyume na ile radio/tv ya mheshimiwa(cloud)!


Alimuweka selo Bosi wao na sasa kaachiwa acha wamjambishe tu mamaeeeeewaache tu maana alitaka kuwakatisha ulaji wao ndio sababu ataelewa tu..
Wamegundua kuwa ni kaa la moto?weeeeeeeeeeeee na wao siku hizi wamekuwa kimyaaaaa
mimi nacheka wanaposoma habri kwenye magazeti inayomuhusu bashite wanavyokazia, mfano juzi kuna gazeti moja liliandika "Makonda apatwa na kwikwi" kitenge ile habari aliirudia kama mara nne hivi...nilicheka sanaMziki mneneeee
Hiyo inaitwa crocodile tears ili aonewe hurumaMimi sioni kosa la Makonda, apeleke cheti(index number) chake utumishi kama walivyofanya watumishi wengine. Mbona wao hawakulia?
![]()
![]()
![]()
Hatari sana mkuu nakumbuka kuna bro angu wale waliopata division BASHITE alkua anawaita "Watoka NDUKI"
![]()
![]()
![]()
. Brother bana
![]()
![]()
Si ni kama Clouds na Bashite walivyo conspire kumkomalia CEO wa EFMHabari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Iliyo tupatia mkurugenzi wa kwenda mbele?Njia/mbinu mojawapo ya kumshinda adui ni kuwa kinyume nae!.......E Fm wanataka kuwa kinyume na ile radio/tv ya mheshimiwa(cloud)!![]()

Mbona watumishi wengine walipeleka? afanye hivyo na maisha yaendelee.Hiyo inaitwa crocodile tears ili aonewe huruma
yaaaan ni kwikwiiiiiiiiiii....Ila mziki mnene wamezidi mkuu
Nadhani ndo mana alikua analia kanisani mana bakora za efm ni shidaaa
Ninachokiona kutakuwa na viongozi wengi sana wenye matatizo ya vyeti, kumbe huu ukaguzi ilikuwa special kwa watu wa chini.Misifa ndo inamponza mkuu