Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,903
Sina mkuuNaomba # ya chichiemu
Sina mkuuNaomba # ya chichiemu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti bashite maduaraDah
Marehemu mzee sitta angekuepo asingemuelewa bashite maduara
Amen!!!Hilo suala la Makonda limebeba uzito mkubwa sana katika hatma ya uchaguzi Mkuu unaofuata.
Mheshimiwa Rais watu wanakuangalia na kukungojea kwa hamu.
Kwako Ndugu Makonda.
Kaka jifunze kuishi na watu kwa wema hasa ukijua na Wewe una madudu yako. Kinachowapa watu mukanri ya kukuponda ni tabia zako za kutoheshimu watu na kukosa busara. Kuwaita watumishi wa umma matahira, vichaa na wapumbavu hayakupendeza watu.
Ukiwa kiongozi cha kwanza omba HEKIMA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hatari sana mkuu nakumbuka kuna bro angu wale waliopata division BASHITE alkua anawaita "Watoka NDUKI"[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji23] . Brother bana [emoji4] [emoji4]Alizungusha yani,aliga fafa zote yani
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
weeeeeeeeeeeee na wao siku hizi wamekuwa kimyaaaaaWanao mfariji na kumuhifadhi ni mawingu
Hawezi kukuelewaHilo suala la Makonda limebeba uzito mkubwa sana katika hatma ya uchaguzi Mkuu unaofuata.
Mheshimiwa Rais watu wanakuangalia na kukungojea kwa hamu.
Kwako Ndugu Makonda.
Kaka jifunze kuishi na watu kwa wema hasa ukijua na Wewe una madudu yako. Kinachowapa watu mukanri ya kukuponda ni tabia zako za kutoheshimu watu na kukosa busara. Kuwaita watumishi wa umma matahira, vichaa na wapumbavu hayakupendeza watu.
Ukiwa kiongozi cha kwanza omba HEKIMA.