Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
ahahaha wacha magumashi majizo si aliitwa central?Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Waulize na Mawingu nao.Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Naahangaaaaaa.... Atoe gamba turidhike![]()
![]()
![]()
Kwani sauzi kuna kolomije?
kabisa dawa ni vyeti sasa yeye aijishahu kuwa ana mdudu yake akaamua kujishaua tuuBila vyeti huyu jamaa hataeleweka ujue,tatizo misifa yake ndo inamponza
Naona a.k.a mpya mjini.Mzee kipara akiacha hii hatumuelewi kbs
Sky![]()
![]()
![]()
Hivi mawingu kwa English inaitwaje?