E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Yeye alifikiri hivyo sasa anaona mambo machungu.

Hatupingiki upambanaji wake bali njia aliyotumia.

Hope amejifunza sasa

Uongozi siyo sifa,ushabiki na kuona unaowaongoza ni vilaza
 
Unasema??
22881eb90bfb61bc571c26606a61a2af.jpg
 
Yeye alifikiri hivyo sasa anaona mambo machungu.

Hatupingiki upambanaji wake bali njia aliyotumia.

Hope amejifunza sasa
Madhara ya kuongoza watu kwa ajili ya kutafuta kiki ndo haya
 
Madhara ya kuongoza watu kwa ajili ya kutafuta kiki ndo haya
Amepata alichokuwa anakitafuta.

Alisema kuna phase Saba, bado nne sijui atamalizia hizo nne za mwisho ngoja tuone
 
Habari wakuu

Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.

Amewakosea nini?
We ulitaka wakomalie nini??
bashite ndio habari ya mjini sasa,
[HASHTAG]#WachaManenoWekaVyeti[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom