E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Mimi ninavyo jua kama yule kiumbe angekuwa na vyeti Orijinali mbona angesha wachoma watu sentro kitambo. Sasa kafoji vyeti mimachozi hiyo.
Afu mbona Mr.Majipu yupo kimya?
 
Habari wakuu

Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.

Amewakosea nini?
Ukiona hivyo ujue ni Unga men.Redio hiyo imetokea huko huko.
 
Afu mbona Mr.Majipu yupo kimya?
Ukitumbua tumbua ovyo kutafuta kiki inafika muda unakuta jipu limeota kwa kipenzi chako na unamuhurumia kwa yale maumivu atakayo yapata. Ndo maana kimya labda.
 
Ukitumbua tumbua ovyo kutafuta kiki inafika muda unakuta jipu limeota kwa kipenzi chako na unamuhurumia kwa yale maumivu atakayo yapata. Ndo maana kimya labda.
Na hapo ndo tunataka kuona muvi ikiendelea
 
Ni ngumu la lakin bora Mr bashite awake mambo hadharani ili kumaliza ili sekeseke mana bila ya ivo pressure itamuondoa
 
Ni ngumu la lakin bora Mr bashite awake mambo hadharani ili kumaliza ili sekeseke mana bila ya ivo pressure itamuondoa
Sahihi mkuu
Weka vyeti mezani maisha yaende
 
Hata tukiongea 24 hrs kuhusu Makonda hatutaletewa vyakula majumbani mwetu. Mleta mada uko sawa kabisa. Life has to go on, tufanye kazi na tuyaache ya Makonda.
Nani kakwambia watu hawafanyi kazi????

Tangu hizi habar zimeanza wapi umesikia wamekufa njaa kwa kuchart!?

Mwambieni alete vyeti! Hakuna atakaye muongelea

Vyeti mezani- discussions over
 
Back
Top Bottom