Hahahahaa.... Amahakika mmeamua.Hatukuelewi tunachotaka ni vyeti vya bashite viwekwe mezani
Bahati mbaya?
Nzuri ndo ipi!
Au ndo ile ya kuwaita watu vichaa?
Acha maneno weka mziki !!!Punguza maneno mwambie RC aweke vyeti.
hahahah
Unafiki umewaumbua. Kusema wanashindwa, matokeo yake watu wanakiona ni kituo cha redio kinachokumbatia wahalifuMbona huulizi clouds kihere here chote cha kuomba ufafanuzi kutoka kwa mkuu wa mkoa kimewaisha!
Hata kudodosa hawataki
Sijui kama wamiliki wanaliona hilo au ni sera ya kituo?Kujipendekeza kubaya sana