Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

kama hili


url
 
jamaniiiiiiiiiii wenzio wanayalilia hayo madubwana yawakabe, we tena wayakimbia, mweeeeee! hubby wangu Asprin asipite hapa!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: amu
Nalihisi Hilo, maana hawa wanaume wamekuwa HAWAJIAMINI kimaumbile ya du.du zao, usikute kashapaka/ kunywa mchina...

ila cha ajabu hata yeye, yuko frustrated na hali hiyo
wewe unataka size ipi? XL au XXL maana jamaa inaonyesha ni XXXL
 
Haya mkatae basi mie nilete barua yangu ya posa MAANA DUSHELELE LANGU LINAPUNGUA KADRI SIKU ZINAVYO YOYOMA .......!:love:

Mheshimiwa wewe hujipendi nini? Huyu mtani wa jadi ameshasuguliwa mwaka mzima na mzinga unaokuwa kila mwezi kwa urefu na unene halafu wewe unataka uingie na kibastola chako kinachopungua ukubwa!! Siku ya kwanza tu atakuja kuomba ushauri iwapo ni sahihi aolewe na mtu mwenye kibastola kinachopungua ukubwa kila mwezi.
 
Dii.. Kama haumwi na hakuna mkono wa binadamu basi wonders shall never end.

Pia nina wasiwasi.. Labda hakuandai vizuri au niseme mwili wako unakuwa hauko tayari ndio maana unasikia maumivu.

Pole sana

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kitu ambacho hujajua na wewe papuchi yako itazidi kuwa kubwa kadri muda utakavyoenda...Kama umesoma Physics utakumbuka kuwa action and reaction are equal but opposite forces
jamani mnanimaliza mbavu zangu mwe!
 
Nina Mchumba Wangu, nina uhusiano naye takribani mwaka sasa. Nampenda, na naamini ananipenda(si usemei moyo), kwa kuwa tunaishi kwa maelewano na upendo wa hali y juu. Mwezi Jana tu, alileta barua ya kishika uchumba hapa kwetu, na imepokelewa vizuri, lakini bado haijajibiwa. Na Mtu anaye kwamisha kujibiwa kwa barua hiyo ni mimi mwenyewe. Natamani nitoe jibu la NDIYO, lakini napata hofu juu ya hatma ya ndoa yangu. Kiukweli, Dushelele la bwana huyo, huwa nalihisi linaongezeka ukubwa kila kukicha, mwanzoni wakati tunaanza nilikuwa naona tuna match kwenye papuchi zetu. Lakini Kadri Siku Zinavyo songo mbele, naona dushelele lake linazidi kukuwa, kiasi ambacho naanza kusikia maumivu wakati wa mechi. Nimejaribu Kumuuliza, labda kama ametumia dawa, lakini amekataa, na kudai hata yeye mwenyewe hajui kwanini hali iko hivyo. Sasa Niko Njia Panda, Najiuliza Nikikubali Kuolewa Nae, Huko Kwenye Ndoa Mambo Yatakuwaje? Na kama nikikataa, je nitawapa sababu gani wazaz wangu??? Ndoa Naitaka, Lakini Mmmhh...?!!
sister eeh, mi naona mshikaji anaingiza mzigo mzima yani mpaka mayai mawili...!(mapumb.u) mwambie atleast iwe 50% alaf iwe sio speed sana!!!
 
Komba Nadhani una matatizo kwenye sehemu za uzazi. Wahi haraka hospitali umuone mganga wa magonjwa ya wanawake wakupime kwa ultra sound.

Grace Komba
 
There are currently 222 users browsing this thread. (45 members and 177 guests)


mie hapa nawasalimuuu nyotee pamoja na wageni loo.
Wanaume acheni kutumia viagra mwisho lake linapinda na litatepeta

Amu umenisahau na mimi nipo nafuatilia jinsi huyu mtani wa jadi anavyolalamikia silaha kubwa ya maangamizi.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Nina Mchumba Wangu, nina uhusiano naye takribani mwaka sasa.

Nampenda, na naamini ananipenda(si usemei moyo), kwa kuwa tunaishi kwa maelewano na upendo wa hali y juu.

Mwezi Jana tu, alileta barua ya kishika uchumba hapa kwetu, na imepokelewa vizuri, lakini bado haijajibiwa.

Na Mtu anaye kwamisha kujibiwa kwa barua hiyo ni mimi mwenyewe.
Natamani nitoe jibu la NDIYO, lakini napata hofu juu ya hatma ya ndoa yangu.

Kiukweli, Dushelele la bwana huyo, huwa nalihisi linaongezeka ukubwa kila kukicha, mwanzoni wakati tunaanza nilikuwa naona tuna match kwenye papuchi zetu.

Lakini Kadri Siku Zinavyo songo mbele, naona dushelele lake linazidi kukuwa, kiasi ambacho naanza kusikia maumivu wakati wa mechi.

Nimejaribu Kumuuliza, labda kama ametumia dawa, lakini amekataa, na kudai hata yeye mwenyewe hajui kwanini hali iko hivyo.

Sasa Niko Njia Panda, Najiuliza Nikikubali Kuolewa Nae, Huko Kwenye Ndoa Mambo Yatakuwaje?

Na kama nikikataa, je nitawapa sababu gani wazaz wangu???

Ndoa Naitaka, Lakini Mmmhh...?!!

Mwachie Mungu!
 
Pole sana dada, ukweli na uwazi ni kitu kizuri kwani humweka mtu huru hivyo basi ongea na mpenzi wako akwambie ukweli kama katumia dawa yoyote ya kuongeza maumbie, maana si rahisi maumbile kukua yenyewe baada ya kipindi cha barehe kupita. Inawezekana kwa namna moja ama nyingine alihisi akiongeza atakufaidi zaidi (hii ni tamaa na ubinafsi) akaamua kutafuta dawa.
Hata vivyo ni hatari kwa afya yenu wote, maana wewe utakosa kufurahia tendo la ndoa japo uke huwa una elasticity na hasa baada ya kujifungua unaweza kuonekana mpana kiaina kwa baadhi ya wanawake. Pia huwezi kujua mwisho wa huo uume kukua ni lini kama ndo unaongezeka kiasi hicho, inawezekana ukakua mpaka ukalingana na mkono mzima ama mguu, je utaweza vumilia? au yeye ataweza ubeba na kuendelea kuutumia.

Ushauri wangu ni umwombe akuambie ukweli na mwende kwa daktari athibitishe ukuaji huo na kutoa ushauri wa kitaalam.
Baada ya kupata ushauri wa daktari ndipo uamue kuolewa ama la! Kumbuka kwenye ndoa si mahala pa matazamio, muda wa matazamio ni sasa na hivyo maamuzi sahihi hupaswa kufanywa sasa. Ubarikiwe na kila la kheri.
 
Amu umenisahau na mimi nipo nafuatilia jinsi huyu mtani wa jadi anavyolalamikia silaha kubwa ya maangamizi.
mie hata nisingehitaji ushaurii ningetoka mbiooooo speed 150 vijana wanajua wanapendezesha kumbe wanaharibu mwisho bibie atatoka baru na kipichu mkononi siku moja looo.
 
Huo ni ugonjwa wa matende na mabusha...

Waweza kugusa popote hata kwenye minyonyo...lol!!

Babu DC!!
 
inawezekana ishalishwa amira hyooo...jipime mwenyewe kama upo tayar kuendelea na maumiv hadi itapofkia saiz sawa na mwili wake ama vip.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom