Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

NDIO MAANA MKAAMBIWA MSIGONGWE AMA KUGONGA KABLA YA NDOA!! JE UMEONA MATOKEO? Pole sana wewe kubali tu,mpe semina akuandae kwanza sana tu kabala hajakudandia!

Wewe na we akili zako naona zimeganda hii thread inaonesha umuhimu wa kuonjana kabla ya ndoa we unatafsiri kinyume nyume.SASA WEWE UNATAKA AKAKUTANE NALO KISUPRISE HUKO NDOANI HUONI NDOA ISINGEDUMU.?
 
Hmmm. . . Labda yakwako ndio inakuwa ndogo kadri siku ziendavyo. . .Hehehehe

Nakuunga mkono mwanetu. Kwa nini uone kuwa ya kwake ndiyo inaongeka uasione ya kwako ndiyo inabana kila siku? Je, unayakumbuka yale mambo yenu ya kwanza kwanza? Ile sitaki bana nataka banaa? Ule uji uji ukatoka ukaifanya mtelezo? Huenda leo, kwa kuwa kakuzoea anakuja kashikilia mkononi hakuandai. Mlete hapa tumfunze
 
...kama hilo dushelele lake linaongezeka bila hata yeye kujua yaani Automatically basi litapungua kwa njia hiyo hiyo.

Ushauri kubali kuolewa,
 
Usije tegemea kuwa atakwambia alitumia mkuyati
 
Mshirikishe mama yako kwanza kama mpo karibu sana

hata awe karibu vp na mama, lazima baadae mama amwambie baba! Unadhani baba atakubali mwanawe mpendwa awe anakandamizwa dushelele la Mandingo? Tena akishao utakuta jamaa anaanza kutoa dozi kubwa kubwa na baadae anaanza kuomba tigo! Balaaa!
 
hata awe karibu vp na mama, lazima baadae mama amwambie baba! Unadhani baba atakubali mwanawe mpendwa awe anakandamizwa dushelele la Mandingo? Tena akishao utakuta jamaa anaanza kutoa dozi kubwa kubwa na baadae anaanza kuomba tigo! Balaaa!

sure mkuu!
 
Nendeni hospitali mpate ushauri. Kama ni "over size" atawekewa rubber ili asiingize zaidi
 
Hapana... Nakumbuka Mwezi Wa june, Niliipima Size Ya Dushele Lake, Nikarudia tena mwezi july, na nimeipima tena mwezi huu august, huwezi AMINI kila mwezi inaongezeka urefu kati ya 1.3cm na 2cm, upana na unakuwa kwa taratibu kama 0.3 kwa mwezi..

Duuh! Kwa ukuaji huo, ikifika disemba atakuwa anauviringisha kiunoni.
 
Kuna ile Law of Use and disuse , kiungo kinapotumika ndo kinakua na kisipotumika basi hunywea na kutokomea Kabisa

My Take
Umekuwa ukimbania bania huyo Bwana, Na yeye ameamua kujichukulia cha Kando, Dushelele linakua na Papuchi yako inazidi Kuwa Ndogo na itaziba tu very Soon.

Nendeni Hospitali aisee
 
Atawekaje wazi wakati wazazi amewaambia hawajawai kuonjana??

Hii haichekeshi lakini imenibidi nicheke, anyway pole sana dada!

Kwa mtazamo wangu nafikiri ni busara kabisa kuweka tatizo hili wazi kabla hamjaingia kwenye commitment kubwa kama ndoa. Sasa kwa kuwa umemuuliza na yeye amekiri kwamba ni kweli mambo hayako sawa na yeye pia hajui tatizo, ni bora mkawaona wataalam wa afya ili waweze kuwapa majibu ya kitaalamu yanayoeleweka ambayo ndiyo yatakayowapa mustakabali wa kuendelea kwa ndoa yenu ama la.

Naamini mapenzi hasa tendo la ndoa ni furaha sasa linapogeuka kuwa karaha sidhani kama ni kitu cha kukaa nacho kimya. Kabla ya wazazi hawajakuuliza sababu hasa ya wewe ku hold back, mshauri mwenza wako mkaonane na madaktari ili kuona kama kuna ufumbuzi wa tatizo lake, isije kuwa unajifanya unavumilia mara kitu kikatokea mdomoni siku moja bure.

Ni hayo tu dada Grace Komba, pole though
 
Hmmm. . . Labda yakwako ndio inakuwa ndogo kadri siku ziendavyo. . .Hehehehe

Kuna ka ukweli kwenye bandiko lalo mkuu. Inawezekana pia kuna ukosefu wa maandalizi kabla ya mechi ili kuwe na utelezi.
 
Mmmhhhh kama unaona huwez mshedede bas kataa......wapo watakaohimili.
Haiwezekani kila siku unaongezeka sio kucha hizoo,inawezekana kuna kitu katumia!!!!

Hahahahahaaa...... sio kucha hizo....sasa ni nn?
 
Mmmhhhh kama unaona huwez mshedede bas kataa......wapo watakaohimili.
Haiwezekani kila siku unaongezeka sio kucha hizoo,inawezekana kuna kitu katumia!!!!

Hahahahahaaa...... sio kucha hizo....sasa ni nn? sasa nani atalihimili wakati umeambiwa linaongezeka kila cku?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom