Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

Kiukweli, ukubwa wa dushelele ni tatizo kwa mwanamke. Ikiwa kubwa sana inaumiza. Unaweza kuolewa na kuwa mvulivu wa maumivu na ukita kuenjoy, unamwambia asitumie dushelele
 
Lait aipate mpenzi wangu wa zamani. alisema mimi nina ndogo, haimoshi. Siku moja tunafanya maombi ya kawaida usiku akataja tatizo hilo kwenye maombi eti Mungu aikuze ninihii yangu bila kuomba na ya kwake ipungue ili tuende sawa. WANAWAKE JAMANI WANAKATISHA TAMAA SANA
 
Mimi sidhani kwamba dushe linaongezeka kwa kasi kama unavyodhania! hivi tuseme hiyo ndushe huwa haiongezeki !! Nakuashauri usimuache huyo ndie anakufaa hata ikifikia wakati wa kupata watoto na nini yeye atakuhisi bado uko bikra kitu kipo tight!! lakini kamuone daktari isije ikawa umepata infection (fungus, UTI) au una matatizo mengine yanayochangia kupata maumivu wakati wa ku-do!!
 
Dada ndoa ni furaha
Kma ni furaha unatakiwa ufanye yale yanayotakiwa ufanye sasa

Kama ni kweli abudala anakua kila siku jaribuni kwenda hospital kujua nini zaidi lakini nanadhani atakuwa ametumia dawa tu huyo japokuwa anakataa

Mtakapokwenda hospital utajua ukweli,akikataa kwenda hospital utachagua mwenyewe uishi kwenye ndoa yenye mateso au ya furaha!
 
There are currently 222 users browsing this thread. (45 members and 177 guests)


mie hapa nawasalimuuu nyotee pamoja na wageni loo.
Wanaume acheni kutumia viagra mwisho lake linapinda na litatepeta
 
:help: mwenyewe ninakadusherere kanaendana na ww achana na jamaa njoo kwangu ww si unapenda vile ukikohoa tu kinatoka?:love:
 
Nina Mchumba Wangu, nina uhusiano naye takribani mwaka sasa.

Nampenda, na naamini ananipenda(si usemei moyo), kwa kuwa tunaishi kwa maelewano na upendo wa hali y juu.

Mwezi Jana tu, alileta barua ya kishika uchumba hapa kwetu, na imepokelewa vizuri, lakini bado haijajibiwa.

Na Mtu anaye kwamisha kujibiwa kwa barua hiyo ni mimi mwenyewe.
Natamani nitoe jibu la NDIYO, lakini napata hofu juu ya hatma ya ndoa yangu.

Kiukweli, Dushelele la bwana huyo, huwa nalihisi linaongezeka ukubwa kila kukicha, mwanzoni wakati tunaanza nilikuwa naona tuna match kwenye papuchi zetu.

Lakini Kadri Siku Zinavyo songo mbele, naona dushelele lake linazidi kukuwa, kiasi ambacho naanza kusikia maumivu wakati wa mechi.

Nimejaribu Kumuuliza, labda kama ametumia dawa, lakini amekataa, na kudai hata yeye mwenyewe hajui kwanini hali iko hivyo.

Sasa Niko Njia Panda, Najiuliza Nikikubali Kuolewa Nae, Huko Kwenye Ndoa Mambo Yatakuwaje?

Na kama nikikataa, je nitawapa sababu gani wazaz wangu???

Ndoa Naitaka, Lakini Mmmhh...?!!

pole sn grace kwa mshkemshke huo!(smtms dadaze2 mna mitihan migum...lol!).Km unampenda kwa dhat mshauri mwende hospitali jamaa akafungwe pini(uumeni) ili kupunguza urefu adi point inayokutosha!cfaham khs kupunguza unene wake bt nendeni2 hospitalin!
 
Kitu ambacho hujajua na wewe papuchi yako itazidi kuwa kubwa kadri muda utakavyoenda...Kama umesoma Physics utakumbuka kuwa action and reaction are equal but opposite forces
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom