Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

Wanakudanganya mwayego! yaan hilo dushe mpaka mwisho wa mwaka kwa ukuaji huo ,jiandae kupelekwa Selian hosp au Ccbrt maana fistura itakuwa imesha kumaliza,itakuwa ka Gari inayochanganya oil na dizel moshi mweuuuupe ka gari inatumia kuni vile,Nahis hata nyumba ya uzaz ashaiharibu hyo!
 
mlongo wamngu pooole kamwali!
mwenyee kadoda huyo atumii niini wengo?
ingekuwa ni ukubwa tu wa kimaumbile like kuwa umemkuta tu yuko hivyo ningekushauri vinginevyo mdogo wangu
ila midhali anazidi kukua kila baada ya muda na mwenywe amekiri kabisa kuwa hata haelewi tatzio ni nini hapa huna namna nyingne!

nenda kwa shangazi umwambi tatizo!
maana hata kutoa jibu la hiyo posa ni yeye ndiye atakayepeleka kwa baba yako si wewe!
so nenda kwa shangazi yako kaa nae chini umwambie tatizo na maamuzi yako juu ya posa hiyo!

Du hii noma wakwetu nimerudishwa kunyumbaa basi mi kutabasamu tuu
Mlongowangu kweli nyumba hii bombi hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom