Duru za Siasa: Matokeo ya Uchaguzi Marekani

The whole thing has been shot down.

It was fake news.
Trevor Noah, jana alitabiri kitu gani kingetokea kwenye hii press conference na kila alichotabiri kimetokea utadhani Donald Trump alikuwa anafuata maelekezo yake...very interesting!
 
Bottom line ni kwamba uzushi wa jana ni fake news na CNN ndo ilikuwa mstari wa mbele.

Fake News Network
Hapa kuna mambo kadhaa yanachanganya katika habari nzima

1. Fake news ina maana hakukuwa na classsied information zenye nyongeza ya kurasa 35?
2. Kwanini Trump hakujibu moja kwa moja maswali yaliyohusiana na fake news hiyo?
3. Kwanini Trump anasema katika interview 'I think Russia hacked?
4. Tillerson naye kasema it was fair to say it was Russia?
5.Alioulizwa kama atasimama na kukana kuwa si yeye wala timu yake iliyohusika kwanini hakujibu swali hilo? Kama ni fake kwanini asiseme ni fake news
 
Hapa kuna mambo kadhaa yanachanganya katika habari nzima

1. Fake news ina maana hakukuwa na classsied information zenye nyongeza ya kurasa 35?
2. Kwanini Trump hakujibu moja kwa moja maswali yaliyohusiana na fake news hiyo?
3. Kwanini Trump anasema katika interview 'I think Russia hacked?
4. Tillerson naye kasema it was fair to say it was Russia?
5.Alioulizwa kama atasimama na kukana kuwa si yeye wala timu yake iliyohusika kwanini hakujibu swali hilo? Kama ni fake kwanini asiseme ni fake news
Duh...mazee....hivi umeangalia hiyo presser kweli?

Umefuatilia kwa umakini hizo habari za jana zilizodaiwa kuwa zina explosive info on Trump?

Unajua hizo explosive info ni zipi?

Umeyasikia mambo ya golden shower?

Everything was fake yesterday na McCain keshaanza kuji distance nazo na hata FNN nao washaanza kuji distance nazo.

Shameful
 
Duh...mazee....hivi umeangalia hiyo presser kweli?

Umefuatilia kwa umakini hizo habari za jana zilizodaiwa kuwa zina explosive info on Trump?

Unajua hizo explosive info ni zipi?

Umeyasikia mambo ya golden shower?

Everything was fake yesterday na McCain keshaanza kuji distance nazo na hata FNN nao washaanza kuji distance nazo.

Shameful
Nilikuwa nauliza tu, kuna uwezekano habari zingine zikawa zimenipita
Hata hivyo, ukweli kuhusu fake au real ni suala litakaloendelea kwa muda

Press nimeifuatilia na nina baadhi ya maswali na majibu nitashea nikiwa na muda
 
Nilikuwa nauliza tu, kuna uwezekano habari zingine zikawa zimenipita
Hata hivyo, ukweli kuhusu fake au real ni suala litakaloendelea kwa muda

Press nimeifuatilia na nina baadhi ya maswali na majibu nitashea nikiwa na muda
Got ya.

Ila ni aibu sana kwa major news organizations ku float rumors na innuendos kama CNN ilivofanya jana.
 
Got ya.

Ila ni aibu sana kwa major news organizations ku float rumors na innuendos kama CNN ilivofanya jana.
CNN wanasema wana uhakika na taarifa yao.

Wao hawaku publish info zao kama buzzfeed walivyofanya na wanasema Trump ana link CNN na Buzz wakati wana taarifa tofuati.

Naendele kufuatilia hoja. Malalamiko ya Trump ni ku leak kwa info ambazo ni classified
Katika interview alisema hawezi kuzungumzia classified info hadharani

Akasema IC ina leak info za 'dossier' . Hapa sijui ni info gani

Swali langu linabaki pale pale kuwa, je, si kweli kuwa kulikuwa na 35 pg katika ile taarifa aliyopewa?

Lakini pia anayesema hizo news ni fake ni Trump na Russia ambao ni ''accused''

With time tutajua nani Mkweli
 
CNN wanasema wana uhakika na taarifa yao.

Wao hawaku publish info zao kama buzzfeed walivyofanya na wanasema Trump ana link CNN na Buzz wakati wana taarifa tofuati.

Naendele kufuatilia hoja. Malalamiko ya Trump ni ku leak kwa info ambazo ni classified
Katika interview alisema hawezi kuzungumzia classified info hadharani

Akasema IC ina leak info za 'dossier' . Hapa sijui ni info gani

Swali langu linabaki pale pale kuwa, je, si kweli kuwa kulikuwa na 35 pg katika ile taarifa aliyopewa?

Lakini pia anayesema hizo news ni fake ni Trump na Russia ambao ni ''accused''

With time tutajua nani Mkweli

CNN lazima wajitetee.

Ulidhani watakiri hadharani kuwa wamechemsha?

Jana walikuwa wanaripoti kuwa eti kuna habari ambayo haijathibitishwa ambayo iko so explosive inayomhusu Trump.

Kwa maneno mengine walikuwa wanaripoti kuhusu rumors.

Sasa kwa nini chombo kikubwa cha habari kama hicho kiripoti uwepo wa taarifa ambazo hazina uthibitisho?

Trump gave it to them today. He cut them down to size.

Fake News Network [FNN].

Hata Russia wamekana uwepo wa hiyo dossier....
 
CNN lazima wajitetee.

Ulidhani watakiri hadharani kuwa wamechemsha?

Jana walikuwa wanaripoti kuwa eti kuna habari ambayo haijathibitishwa ambayo iko so explosive inayomhusu Trump.

Kwa maneno mengine walikuwa wanaripoti kuhusu rumors.

Sasa kwa nini chombo kikubwa cha habari kama hicho kiripoti uwepo wa taarifa ambazo hazina uthibitisho?

Trump gave it to them today. He cut them down to size.

Fake News Network [FNN].

Hata Russia wamekana uwepo wa hiyo dossier....
Hapana NN, usiku mzima baada ya Trump walikuwa wanaeleza nini walichokipata katika fukunyuku zao

Niliwaona wakisema wazi hawata publish report kwa uamuzi wa bodi yao ya wahariri

Ndio wao walioeleza mtiririko mzima wa habari ya hacking na ilivyotokea

Hivyo walitoa habari si kwamba walikuwa na rumors. Habari kuwa authenticated au la ni jambo jingine

Leo Trump baada ya kumtuhumu hakuwapa nafasi tena kama uliangalia kulikuwa na timbwili

Hoja kubwa ya Trump ni kuwa hizo ni fake, false news na kwamba IC ime leak info
Sasa IC inawezaje ku leak false news kwa maana anakataa lakini zilikuwa ndani ya dossier.

Hivyo CNN wanasimama na habari kuwa kulikuwa na added 35pg katika taarifa

Trump na Putin hawawezi kusema ni kweli wakiwa wanatuhumiwa

Tutapata ukweli wa hili suala kama ni uzushi au kuna kitu

Hakuna anayesema pg35 hazikuwepo, hapa ndipo nauliza, zilikuwepo hazikuwepo?
 
Hapana NN, usiku mzima baada ya Trump walikuwa wanaeleza nini walichokipata katika fukunyuku zao

Niliwaona wakisema wazi hawata publish report kwa uamuzi wa bodi yao ya wahariri

Ndio wao walioeleza mtiririko mzima wa habari ya hacking na ilivyotokea

Hivyo walitoa habari si kwamba walikuwa na rumors. Habari kuwa authenticated au la ni jambo jingine

Leo Trump baada ya kuatuhumu hakuwapa nafasi tena na kama uliangalia kulikuwa na timbwili

Hoja kubwa ya Trump ni kuwa hizo ni fake, false news na kwamba IC ime leak info

Hivyo CNN wanasimama na habari kuwa kulikuwa na added 35pg katika taarifa

Trump na Putin hawawezi kusema ni kweli wakiwa wanatuhumiwa

Tutapata ukweli wa hili suala kama ni uzushi au kuna kitu

CNN jana ime float fake news tena sensationally.

Na leo kimewatokea puani.

Leo hawairushi tena hiyo habari. Jiulize kwa nini?

Habari haina mashiko tena kwa sababu ni uzushi tu.

Ni mwendelezo ule ule wa fake news kama zile habari za Trump kuwasema vibaya Waafrika ambazo almanusra unikabe koo nilipoku challenge kuhusu ukweli wake.....hahahaaa unakumbuka?

(Reuters) - CNN, the news division of Time Warner Inc, said on Wednesday its decision to publish "carefully sourced reporting" on unverified intelligence documents concerning President-elect Donald Trump is "vastly different than BuzzFeed's decision to publish unsubstantiated memos."

CNN's statement came after Trump called the news outlet "fake news" and refused to take a CNN reporter's questions at his first formal news conference since his Nov. 8 electoral win.

BuzzFeed on Tuesday published a story about a dossier of documents it said were unverified and "potentially unverifiable" allegations of contact between Trump aides and Russian operatives.

Included in the documents were claims that Russian intelligence had compromising information about Trump.

BuzzFeed CEO Jonah Peretti in a memo to employees on Wednesday defended the decision to publish the dossier, referring to it as a "newsworthy document."


Throughout the news conference, Trump decried a CNN report on Tuesday that said U.S. intelligence officials had presented Trump with claims that Russian operatives said they had compromising personal and financial information about him.

Cheki maoni ya baadhi ya watu.....

  • fe56646f4a29d9e8ac534c031c35dba3_192.jpeg

    The_Enviro_Guy
    2 hours ago
    Spreading UNSUBSTANTIATED reports about anyone especially the President Elect is irresponsible at best and libel at worst. CNN is fake news.


  • alphatar_100x100_MM_ad.jpg

    Mike M
    2 hours ago
    The Clinton News Network is now paying the price for their past actions. Talking and making up trash, just like elections, have consequences.


  • alphatar_100x100_C_jl.jpg

    Cory
    2 hours ago
    CNN is the epitome of Fake News.


  • alphatar_100x100_Y_jl.jpg

    1975 Tomah
    2 hours ago
    CNN = Fake News


  • alphatar_100x100_M_ald.jpg

    Mitata
    2 hours ago
    CNN no longer has any credibility. What little the Clinton News Network had after the election is now totally gone.


  • alphatar_100x100_N_ald.jpg

    NoFreeRideForYou
    2 hours ago
    CNN is an America hating liberal media outlets that employees the same type lying trash!
    Irrelevant Comedy Central Network isn't worthy of press credentials for presidential press conferences!!

  • T
    spaceball.gif

    They Believed Gruber
    2 hours ago
    I see the Clinton News Network (CNN) is hard at it!


  • 28e55576d7e41db3c4eeb3c12325c4cc_192.jpeg

    Shawn Lee
    2 hours ago
    Show your cards CNN, we are all waiting


  • alphatar_100x100_W_ad.jpg

    WhoKnows
    2 hours ago
    CNN is just the Democrats in house news channel


  • alphatar_100x100_GN_kl.jpg

    George Norton
    2 hours ago
    about time someone put down our biased main st media lol
 
Nyani Ngabu

Kuna mambo mawili sijui kwanini unayachanganya

Kuna nyaraka ya buzzfeed ambayo si kwamba imetoka jana.
Imekuwa inazunguka kwa muda sasa. Hawa wali publisha report yao

Kuna hoja ya CNN, kuna taarifa zinazohusisha watu wa kampeni ya Trump na Russia

CNN walisema taarifa ya IC iliwasilishwa kukiwa na nyongeza ya summary
Nyongeza ilimaanisha kiambatanisho kingine kisichohusiana na taarifa kuu

CNN wakasema taarifa ya IC ikakabidhiwa kwa wote wawili, Trump na Obama

Katika mkutano wa leo ameulizwa swali kuhusu suala hilo mara mbili.

Mara ya mwisho mama mmoja alimuuliza kama anaweza kusimama na kusema si yeye wala mtu wa timu yake aliyewasiliana na Russia. Trump hakujibu swali hilo

Mwandishi wa CNN alipotaka kuuliza Trump alikataa kumsikiliza
Hii ni kwasababu Trump alishafanya taarifa mbili tofauti kuwa moja hakutaka maswali

Jioni hii DNI ameongea na Trump na kukana taarifa ya buzzfeed. Hakukan habari ya CNN
Director akaeleza masikitiko yake kuwa kumekuwa na LEAK ya habari

Kauli hii aliisema Trump kwamba akiwa na sec bado habari zina leak akihoji IC

Hakuna surrogate wa Trump anayesema taarifa ya IC haikuwa na nyongeza
Wote wanasema habari ni fake. Wakiliuzwa ni zipi fake maana zipo mbili, wanasema ni fake

Wakiulizwa kama hakuna nyongeza wanasema hilo ni suala la IC na classified info, lakini wanaweza kusema habari wasioiona ni fake. Hawakauiona kwasababu ni classified

Ndiyo maana namuuliza NN mara ya tano, je, hakukuwa na taarifa ya nyongeza ?
Trump analalamika nini kime leak kama habari zilikuwa fake?

Kwanini Trump hakujibu maswali ya waandishi wengine waliotaka kujua kuhusu Russia?

NN hili jambo limegusa hadi IC ndiyo maana DNI amezungumza na Trump.
Limegusa media kwa ujumla wake. Trump haelewi waandishi wa US si wa nchi masikini

Trump amekana kwa miaka mingi hatimaye leo kakiri Russia wame hack. Hajifunzi kitu hapo kweli?

Tuvute subira
 
Literary I don't know, may be I quoted him wrong (+/- t)

If my memory serves me correctly, he used to say hacking is ridiculous thing.
At least this time around he came to terms

He said he 'thinks' Russia did it.

And that is very different from 'Russia did it'.
 
"Nyani Ngabu, post: 19264228, member: 188"]CNN jana ime float fake news tena sensationally.Na leo kimewatokea puani.
Je, bado unasimama na kauli hii baada ya VP biden kuthibitisha kuwa ni kweli katika dossier kulikuwa na 2 pg synopsis.
Leo hawairushi tena hiyo habari. Jiulize kwa nini?
Wanairusha kwa kiburi sana maana DNI na VP Uncle Joe wamethibitisha kuwa walichosema kilikuwepo kama walivyoripoti
Habari haina mashiko tena kwa sababu ni uzushi tu.
Habari ya CNN ilikuwa kuhusu habari iliyoongezwa kama synopsis katika dossier ya kwanza.
Ni mwendelezo ule ule wa fake news kama zile habari za Trump kuwasema vibaya Waafrika ambazo almanusra unikabe koo nilipoku challenge kuhusu ukweli wake.....hahahaaa unakumbuka?
Well, ninajiuliza hata kama news ni fake, Trump anapaswa kulalamika?

Trump ni disingenuous genius,anaeza teka akili za watu na kumwamini hata kama atawaambia Jua hutoka kusini na kuzama magharibi

Kwanini ni genius
Baada ya habari kuvuma alijaribu tweets. Haikufanikiwa
Katika kuhakikisha anachanganya umma, alikusanya habari mbili tofauti kuwa moja

Habari ya Buzzfeed na CNN.
Buzzfeed ilikuwa published siku nyingi Washington. Si habari mpya

Habari ya CNN ilikanusha uhusiano na ile ya Buzz na kwamba hawata publish habari, wala hawatambui uhalali wa habari ya Buzzfeed

''Disingenuous''
Trump akaamua kufanya 'spin' akijua kuunganisha habari hizo kuwa moja na kuonekana ya Buzzfeed kuta discredit CNN. Leo ukweli umetoka kuwa kuna synopsi katika dossier

CNN walichosema hawana uhakika ilikuwa presented verbally,ukweli, dossier ilikuwa na synopsis.

DNI amethibitisha habari inayohusu usalama wa Taifa lazima Rais/Rais mteule wataarifiwe. Sasa ni habari gani! hapo ndipo classified info inapoingia

Nilimuuliza sana Nyani Ngabu kuhusu haya na mara zote hakujibu.

Niliuliza, je habari ya CNN na Buzzfeed zilikuwa pamoja?
Je, hakukuwa na nyongeza katika taarifa aliyopewa Obama na Trump?
News fake za CNN ni zipi?
Kama ni fake, zipi Trump anazosema zime leak kutoka IC?
Kwanini leak ya IC iwe mzigo kwa CNN ambao hawaku publish lolote

Nikamilizia kwa kusema tuvute subira.

Subira hiyo imeenda mbali kwani James Comey wa FBI alipohojiwa na kamati ya Bunge alisema hataweza kuthibitisha au kukataa sual linalochunguzwa au lisilochunguzwa na FBI.

Hapo akawa amenasa katika mtego, kwamba kama ni hivyo ilikuwaje akatoa habari za emails za Clinton mwishoni mwa uchaguzi? Uchunguzi umeanza

Uchunguzi utafuatiliwa kwa ukaribu kutokana na habari zilizofikishwa kwa Obama na Trump

Wingu la Russia litabaki kuisumbua serikali ya Trump kwa muda mrefu

Media zinatafuta ni akina nani walihusika kama ilikuwa hacking ya Russia na Trump camp
 
John Lewis: Trump isn't a legitimate president

"You know, I believe in forgiveness. I believe in trying to work with people. It will be hard. It's going to be very difficult. I don't see this president-elect as a legitimate president," Lewis said when asked if he would "forge a relationship" with the president-elect.

When pressed on why he believes Trump's presidency is illegitimate, Lewis pointed to intelligence reports of Russian interference in the election.

"I think the Russians participated in helping this man get elected. And they helped destroy the candidacy of Hillary Clinton," Lewis said.

"I don't plan to attend the inauguration. It will be the first one that I miss since I've been in Congress," Lewis said. "You cannot be at home with something that you feel that is wrong, is not right."

Somebody had to say it and now that somebody has to be Rep. John Lewis (D-Ga.)

 
Back
Top Bottom