Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,609
Sijui una maana gani unaposema bado naamini Trump atakwama, nilichosema ni kwamba Trump atapata wakti mgumu kuliko aliowahi kupata hata huyo Obama aliyemtangulia.
Tatizo ni kwamba wengi wenu mna-underestimate feeling iliyopo mtaani following Donald Trump win. Wengine wenu yawezekana mnaishi hata Marekani lakini nina wasi wasi kama kweli mnajua hisia za walio wengi na wanavyojuta kumpa mwanya huyo bwana.
Tofauti ni kwamba huko Marekani, watu wanapokuwa disappointed hawakai kimya, watapaza sauti zao na wataonesha hisia zao kwa matendo.
Nafikiri mnasahau Tea Party ya Republicans baada ya ushindi wa Obama lakini nawahakikishia safari hii mambo ni tofauti kidogo. Jamaa wanasubiri Trump aapishwe halafu naomba turudi hapa jamvini tupashane yanayojiri.
Keep betting against the Trumpster!