Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,409
- 31,394
- Thread starter
- #281
TOOL LITLLE,TOO LATE
YA LEMA NA MAHAKAMA
Wazungu wana msemo huo wakimaanisha ''kinachofanyika hakitoshi na kimechelewa''
Mahakama imekaripia suala la kunyimwa dhamana la Mbunge wa Arusha
Serikali ikiondoa hoja zake dakika za mwisho
Kinachoonekana hakina maelezo bali ulikuwa utashi tu binafsi kutenda kinyume
Miezi 4 bila uhuru ni muda mrefu,sababu zilizotolewa zikizondolewa mwishoni inaeleza jambo. Kwamba, hakukuwa na sababu za kisheria bali nyingine nje ya hizo
Karipio la mahakama limekuja likiwa limechelewa na 'uharibifu' ukiwa umeshafanyika
Mahakama ilipaswa kuliona hili mapema kabisa na 'sensitivity' yake
Kwanini mahakama za chini hazikuweza kuliona hili?
Pengine ni kutokana na mamlaka ilizo nazo, inatosha kusema hatua zimechelewa
Zile hisia za mihimili kupoteza nguvu zilizozagaa vichwani mwa watu zinazidi kupata nguvu kutokana na kauli ya mahakama
Mambo kama haya yanajenga hisia kuhusu mihimili yetu na mamlaka zake
Yanajenga hisia zisizo za lazima kuhusu utawala wa sheria
Yanatugawa kama taifa na yanajenga hisia za ''uonevu'' zinazoweza kujengewa sababu
Miezi 4 magereza bila huru na bila hukumu nani atafaidia muda huo?
Na sababu gani zinazoweza kutolewa ku justify hali hiyo? Ilikuwa kukomoana?
Yes kwa mahakama lakini ni too little too late
Tusemezane
YA LEMA NA MAHAKAMA
Wazungu wana msemo huo wakimaanisha ''kinachofanyika hakitoshi na kimechelewa''
Mahakama imekaripia suala la kunyimwa dhamana la Mbunge wa Arusha
Serikali ikiondoa hoja zake dakika za mwisho
Kinachoonekana hakina maelezo bali ulikuwa utashi tu binafsi kutenda kinyume
Miezi 4 bila uhuru ni muda mrefu,sababu zilizotolewa zikizondolewa mwishoni inaeleza jambo. Kwamba, hakukuwa na sababu za kisheria bali nyingine nje ya hizo
Karipio la mahakama limekuja likiwa limechelewa na 'uharibifu' ukiwa umeshafanyika
Mahakama ilipaswa kuliona hili mapema kabisa na 'sensitivity' yake
Kwanini mahakama za chini hazikuweza kuliona hili?
Pengine ni kutokana na mamlaka ilizo nazo, inatosha kusema hatua zimechelewa
Zile hisia za mihimili kupoteza nguvu zilizozagaa vichwani mwa watu zinazidi kupata nguvu kutokana na kauli ya mahakama
Mambo kama haya yanajenga hisia kuhusu mihimili yetu na mamlaka zake
Yanajenga hisia zisizo za lazima kuhusu utawala wa sheria
Yanatugawa kama taifa na yanajenga hisia za ''uonevu'' zinazoweza kujengewa sababu
Miezi 4 magereza bila huru na bila hukumu nani atafaidia muda huo?
Na sababu gani zinazoweza kutolewa ku justify hali hiyo? Ilikuwa kukomoana?
Yes kwa mahakama lakini ni too little too late
Tusemezane