Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,195
- 11,626
Changamoto zilizokua zimeibuliwa na wanainchi na kubebwa na upinzani kama agenda, zimetatuliwa sawa sawia na serikali ya awamu ya 6 ya CCM.
Kiu, matamanio na matarajio ya waTz yamefikiwa na kutekelezwa.
serikali sikivu ina zingatia sana sauti, mitazamo na maoni ya waTanzania kuhusu masuala mbalimbali wanayohitaji, ina ya chukua, inayachakata na kufanyiwa kazi sawasawa na matamanio ya wanainchi.
kwa ujumla matarajio ya wanainchi yametimizwa kwa kiasi cha kuridhisha, na Imani na matumaini ya waTanzania kwa serikali iliyopo madarakani, chini ya kiongozi imara sana, mwana Mama shupavu, madhubuti, mahiri na makini na mwenye maono ya mbali sana kwaajili ya waTz, Rais, comrade, Dr. Samia Suluhu Hassan ni kubwa mno 🐒
Tupo pazuri, tunaelekea pazuri zaidi uchaguzi serikali za mitaa baadae mwaka huu 2024. Nawasifu sana upinzani, kuiunga mkono na kuipongeza serikali kwa sehemu kubwa, inatia moyo, huo ndio ungwana na hiyo ndio Demokrasia komavu. Twendeni pamoja sasa 2025 na Dr SSH...
God bless Tanzania
Kiu, matamanio na matarajio ya waTz yamefikiwa na kutekelezwa.
serikali sikivu ina zingatia sana sauti, mitazamo na maoni ya waTanzania kuhusu masuala mbalimbali wanayohitaji, ina ya chukua, inayachakata na kufanyiwa kazi sawasawa na matamanio ya wanainchi.
kwa ujumla matarajio ya wanainchi yametimizwa kwa kiasi cha kuridhisha, na Imani na matumaini ya waTanzania kwa serikali iliyopo madarakani, chini ya kiongozi imara sana, mwana Mama shupavu, madhubuti, mahiri na makini na mwenye maono ya mbali sana kwaajili ya waTz, Rais, comrade, Dr. Samia Suluhu Hassan ni kubwa mno 🐒
Tupo pazuri, tunaelekea pazuri zaidi uchaguzi serikali za mitaa baadae mwaka huu 2024. Nawasifu sana upinzani, kuiunga mkono na kuipongeza serikali kwa sehemu kubwa, inatia moyo, huo ndio ungwana na hiyo ndio Demokrasia komavu. Twendeni pamoja sasa 2025 na Dr SSH...
God bless Tanzania