Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 741
- 479
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Mary Chatanda amewataka Wanawake nchini kuendelea kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za Uongozi katika Maeneo yao kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu mwakani 2025.
Akizungumza katika Semina ya mafunzo kwa viongozi wanawake wa mikoa ya Kanda ya Ziwa iliyofanyika jana Machi 27, 2024 katika ukumbi wa Winterfell jijini Mwanza Mwenyekiti Chatanda ametoa hamasa kwa wanawake hao kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi.
"Niwaombe wanawake wote Nchini tunaimani kubwa na nyie wanawake kwa kuwa ndio waaminifu ,waadilifu na wenye uwezo mkubwa wa kuwatumikia wananchi katika maeneo mengi ya Nchi yetu"
🗓️ 27/3/2024
#UWTImara
#JeshiLaMamaSamia
#KaziIendelee
Akizungumza katika Semina ya mafunzo kwa viongozi wanawake wa mikoa ya Kanda ya Ziwa iliyofanyika jana Machi 27, 2024 katika ukumbi wa Winterfell jijini Mwanza Mwenyekiti Chatanda ametoa hamasa kwa wanawake hao kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi.
"Niwaombe wanawake wote Nchini tunaimani kubwa na nyie wanawake kwa kuwa ndio waaminifu ,waadilifu na wenye uwezo mkubwa wa kuwatumikia wananchi katika maeneo mengi ya Nchi yetu"
🗓️ 27/3/2024
#UWTImara
#JeshiLaMamaSamia
#KaziIendelee