Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,410
- 31,395
- Thread starter
- #221
TWAWEZA NA 'UTAFITI'
Kwa kawaida utafiti hupingwa kwa tafiti. Hivyo hatujafanya tafiti hatuwezi kupinga tafiti za Twaweza. Hii ni kanuni ya kawaida. Pamoja na ukweli huo hatuwezi kuzuia akili zkutafakari yanayotokana na tafiti kwa kiwango cha binadamu.
Tukishindwa kufanya hivyo tutakuwa robot na tafiti hazitatusaidia
Shaka za rafiti za Twaweza zinajengwa na ukweli kuwa zipo taasisi nyingine zilizowahi kutumika katika tafiti ambazo leo tunajua hazikuwa na nia njema
Kuna tafiti za taasi moja ya chuo kikuu DSM zilizoongozwa na msomi mmoja.
Imebainika msomi huyo ni kada wa kisiasa, tafiti zake zilikuwa na mikono mirefu ya chama na serikali
Tumeona wasomi wanavyosita kusimama na kusema ukweli hata kama ukweli huo upo 'uchi'. Wasomi wetu wamegundua njia rahisi ya kutoka kimaisha ni kuungana nao '...you can't beat join them'
Tumeona walivyomiminika Bungeni, wanavyozawadiwa teuzi za kisiasa n.k.
Hilo linaenda mbali na kugusa taasisi zote,kuna kila sababu za kuamini hivyo.
Hoja yetu ni kuwa taasisi zetu na wasomi wetu wamepoteza imani na hadhi ya usomi na ni haki kutilia shaka kila wanalofanya.
Kwa nchi za wenzetu kila jambo hufanywa kwa nyakati maalumu.
Ijumaa wiki hii kule Marekani idara ya twakwimu itatoa mwelekeo wa ajira.
Hili hufanyika kila ijumaa ya kwanza ya mwezi.
Kuna kalenda maalumu ya shughuli za biashara na uchumi.
Kwa mfano, leo wanajua 'Reserve bank' itakaa lini na tutegemee nini.
Makampuni yana muda wa kutoa mapato yao kwa quarter n.k.
Hii ni tofauti na haya tunayoona hapa nchini. Taarifa za benki kuu, idara ya takwimu na hizi za Twaweza hazina kalenda! Kuna kila shaka
Taarifa hizo kama ile ya BoT zina element za kisiasa.
Itaendelea
Kwa kawaida utafiti hupingwa kwa tafiti. Hivyo hatujafanya tafiti hatuwezi kupinga tafiti za Twaweza. Hii ni kanuni ya kawaida. Pamoja na ukweli huo hatuwezi kuzuia akili zkutafakari yanayotokana na tafiti kwa kiwango cha binadamu.
Tukishindwa kufanya hivyo tutakuwa robot na tafiti hazitatusaidia
Shaka za rafiti za Twaweza zinajengwa na ukweli kuwa zipo taasisi nyingine zilizowahi kutumika katika tafiti ambazo leo tunajua hazikuwa na nia njema
Kuna tafiti za taasi moja ya chuo kikuu DSM zilizoongozwa na msomi mmoja.
Imebainika msomi huyo ni kada wa kisiasa, tafiti zake zilikuwa na mikono mirefu ya chama na serikali
Tumeona wasomi wanavyosita kusimama na kusema ukweli hata kama ukweli huo upo 'uchi'. Wasomi wetu wamegundua njia rahisi ya kutoka kimaisha ni kuungana nao '...you can't beat join them'
Tumeona walivyomiminika Bungeni, wanavyozawadiwa teuzi za kisiasa n.k.
Hilo linaenda mbali na kugusa taasisi zote,kuna kila sababu za kuamini hivyo.
Hoja yetu ni kuwa taasisi zetu na wasomi wetu wamepoteza imani na hadhi ya usomi na ni haki kutilia shaka kila wanalofanya.
Kwa nchi za wenzetu kila jambo hufanywa kwa nyakati maalumu.
Ijumaa wiki hii kule Marekani idara ya twakwimu itatoa mwelekeo wa ajira.
Hili hufanyika kila ijumaa ya kwanza ya mwezi.
Kuna kalenda maalumu ya shughuli za biashara na uchumi.
Kwa mfano, leo wanajua 'Reserve bank' itakaa lini na tutegemee nini.
Makampuni yana muda wa kutoa mapato yao kwa quarter n.k.
Hii ni tofauti na haya tunayoona hapa nchini. Taarifa za benki kuu, idara ya takwimu na hizi za Twaweza hazina kalenda! Kuna kila shaka
Taarifa hizo kama ile ya BoT zina element za kisiasa.
Itaendelea