Dunia ni mortgage: Nadharia hii kuhusu sababu ya binadamu kuletwa duniani inafikirisha sana

Sasa kumbe Je?

Nakuthibitishiaje kwamba Mungu yupo wakati haupo katika conscious level ya kuweza kuelewa? Nitatumia njia Gani kukuthibitishia kwamba Mungu yupo?

Ndio maana nilikuuliza MWANZO unataka nitumie standard ipi ya proof kukuthibitishia kuhusu uwepo wa Mungu ukashindwa kujibu...
Unajuaje Mungu yupo kweli na hiyo habari nzima ya kuwapo Mungu si hadithi ya uongo tu?

Nimeshindwa kujibu standard ya proof au unajiondoa akili tu?

Wapi niliposhindwa kujibu?
 
Mafundisho ya uislamu,ukristo Na uyahudi KUHUSU chanzo Na Sababu ya binadamu kuwepo katika sayari ya Dunia wote mnayajua so sipo hapa Kwa ajili ya kuyarudia..

Nipo hapa Kwa ajili ya kuelezea Nadharia KUHUSU chanzo Na Sababu ya Maisha ya binadamu ulimwenguni ambazo zilitolewa Na watu walio fikiri nje ya vitabu vya Dini hizo tatu.

Kwa ufupi Dini inapo mzungumzia Mungu Na chanzo cha Maisha katika sayari ya Dunia huwa inaanzia from the conclusion wakati philosophy Na science ina move toward the conclusion.

Relgion = from the conclusion

Philosophy and Science= Toward the conclusion.

Watu wa science wakifikia hatua ya kumjua Mungu basi watakuwa wamemjua Mungu kwelikweli Kwa Sababu watakuwa wamemtafuta mpaka wamempata. Nyakati hizo zikifika Dunia itageuka Na kuwa mbingu Kwa Sababu maswali yote magumu katika USO wa Dunia yatakuwa Na majibu yake.

Watu wa Dini wamefeli kuyafanya Maisha ya Duniani kuwa kama mbinguni Kwa Sababu wao tayari Wana assume kwamba wanamjua Mungu Kwa hiyo mtazamo WA mafundisho yao unaanzia kwenye conclusion ( kwamba wanamjua Mungu) Hatari ya Jambo hili Ni kwamba Kuna uwezekano mkubwa Sana watu wa Dini wakawa wanatoa maelekezo kutoka kwenye fikra zao wenyewe huku waki assume kwamba yanatoka Kwa Mungu.

Ndio maana Dini ndio zimekuwa chanzo cha matatizo mengi makubwa ulimwenguni..

BACK TO MY POINT

"DUNIA NI MORTGAGE" NI NADHARIA KUHUSU CHANZO NA SABABU YA BINADAMU KUWEPO DUNIANI AMBAYO INAFIKIRISHA SANA...

Nadharia HII inasema kwamba hili gimba linalo Elea angani ambalo linajulikana kama sayari ya Dunia Ni a mortgaged property ambayo Mwenyezi Mungu ametupangisha Sisi wanadamu Kwa consideration maalumu . Tukifanikiwa kukamilisha Deni tunalo Daiwa basi tutapewa rasmi kuimiliki sayari ya Dunia milele Na tutaishi DUNIANI milele kama mbinguni..

Ngoja nitumie mfano rahisi...

Ni hivi: Serikali imejenga nyumba kigamboni. Gharama ya nyumba Ni shilingi milioni Mia Moja Na ishirini. Nyumba imekamilika Ina Kila kitu ndani.

Serikali inakuuzia wewe nyumba hiyo Kwa mkopo.

Utaingia Na kuruhusiwa kuhamia kwenye nyumba hiyo bure Kwa makubaliano kwamba utakuwa unalipa shilingi milioni Kumi Kila mwezi.

Baada ya miezi Kumi Na mbili ukisha kamilisha Deni lako basi rasmi utapewa hati ya nyumba Na wewe utakuwa ndio mmiliki halali WA hiyo nyumba.

Ukisha kuwa mmiliki halali WA hiyo nyumba utakuwa Sasa Na uhuru wa kufanya chochote juu ya hiyo nyumba Kwa kuwa Sasa utakuwa mmiliki halali mwenye mamlaka kamili juu ya hiyo nyumba.

Hivi ndivyo ilivyo Kwa sayari ya dunia, Mungu Na wanadamu Kwa Mujibu wa nadharia hiyo..

NI HIVI

Mungu ameitengeneza sayari yetu ya Dunia Na ndani yake akaweka Kila kitu ( fully furnished )

Kisha akaitoa mkopo sayari hiyo kwetu Sisi wanadamu ili tupate kuimiliki ..

Ili tuweze kuimiliki sayari HII tunatakiwa kulipa gharama alizo tumia Mwenyezi Mungu kuitengeneza sayari HII ya Dunia Na vitu vyote vilivyomo ndani yake ikiwa Ni pamoja Na MIILI yetu ambayo raw materials zake zilitoka hapa hapa duniani( kumbuka Sisi Ni roho ambao tunaishi kwenye miili)

Tukisha maliza kulipa Deni ( gharama) alizo tumia Mwenyezi Mungu kuitengeneza sayari yetu basi Mungu atatupa funguo ( hati miliki) ZA kuitawala Dunia.

Tukisha fikia levo ya kumiliki funguo ZA kuitawala Dunia basi Mungu atashusha mbingu ( mfumo) Mpya duniani. Hakutakuwa na vifo, MAGONJWA , vita nakadhalika.

Kwa ufupi Dunia itakuwa Firdaus/Pepo/mbingu


JE NI NINI GHARAMA ALIZO TUMIA MWENYEZI MUNGU KUITENGENEZA DUNIA?

NI UPENDO. God created the world out of pure love. Kwa hiyo currency pekee ambayo Mungu anaitambua Ni " UPENDO". Hii ndio currency ambayo unaweza kuitumia kununua kitu chochote kutoka Kwa Mungu.

UPENDO NI NINI? UPENDO NI KUMPENDA BINADAMU MWENZAKO KAMA UNAVYO IPENDA NAFSI YAKO.. kama alivyo SEMA Yesu Masiha.

Binadamu tukifikia levo HII ya kuwa na UPENDO wa kiwango hiki ambao Ni collectively Dunia nzima basi tutakuwa tumelipa Deni letu Kwa Mungu Na Mungu hatokuwa Na Sababu ya kutokutupa hatimiliki( funguo) ZA kuitawala Dunia.

( UPENDO Huu utatakiwa kuwa collectively Yani watu wote dunia nzima kila MTU ampende mwenzake kama anavyo jipenda yeye mwenyewe ndani ya NAFSI yake)

Ni levo ya UPENDO ambayo mkristo atapenda muislamu kama anavyo jipenda yeye and vice versa.

Mzungu atampenda mwafrika, mchina,mwarabu,muhindi,myahudi etc and vice versa kama anavyo jipenda yeye mwenyewe.

Myahudi atampenda mpalestina and vice versa kama anavyo jipenda yeye mwenyewe.

Kila binadamu atampenda binadamu mwenzake kama.anavyo jipenda yeye mwenyewe Na atamtendea wema kama anavyo taka.kutendewa yeye mwenyewe..

Tukifikia levo HII basi Mungu wa Mbinguni atatupa funguo ZA kuitawala Dunia Na hakutakuwa Na MAGONJWA, vifo , vita Wala chochote kibaya katika Dunia HII..

We will become " PRIMUS INTER PARES WITH THE LORD "

NA HII NDIO SABABU YA TRUE MISSION OF CHRIST JESUS KUJA DUNIANI

Yesu alikuja duniani Kwa ajili ya kutukomboa wanadamu Kwa kutuletea ujumbe Huu kwamba TUWE NA UPENDO..

NI UPENDO PEKEE NDIO UTAKAO MKOMBOA MWANADAMU HAKUNA KINGINE CHOCHOTE...

NIMEZALIWA NA KUKULIA KATIKA UISLAMU LAKINI DHIMA YA KRISTO KWA WANADAMU NINA IELEWA PENGINE KULIKO MA ASKOFU NA WACHUNGAJI WENGI DUNIANI

INAPOSEMWA KUWA NA KRISTO MAANA YAKE NI KUWA NA ROHO YA UPENDO AMBAO NIMEUZUNGUMZIA HAPO JUU. UPENDO AMBAO ULI HUBIRIWA NA YESU MWENYEWE... UNAWEZA KUWA MUISLAMU AU MHINDU AND STILL UKAWA NA KRISTO NDANI YAKO . KRISTO NI UPENDO USIO NI MIPAKA. KUWAPENDA BINADAMU WENZAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.

NDIO MAANA HATA BIBLIA YENYEWE INASEMA KAMA HAUNA UPENDO ( KRISTO) WEWE HUFAI KITU KABISA...


Ndio maana Yesu anasema hatorudi duniani mpaka watu wote wawe wamehubiriwa habari zake . PENGINE alimaanisha mpaka watu wote wawe INCHRISTED"

Ni Kweli kabisa ukiwa Na KRISTO ndani yako hata Lucifer hawezi kukufanya kitu Kwa Sababu katika ulimwengu WA roho nguvu kubwa kuliko zote Ni nguvu ya KRISTO ( UPENDO)

Kwa nguvu ya KRISTO( UPENDO) unaweza ku conquer nguvu zote ZA kiroho hapa duniani...

Ndo maana Yesu aliwaambia wanafunzi wake ufalme wa Mungu ( KRISTO) umo ndani yenu. Kwamba Mungu ( KRISTO) anaishi ndani yenu Na Zaidi akawaambia utafuteni Kwanza ufalme wake Mungu ( KRISTO/UPENDO) Na mambo mengine yote mtazidishiwa...

Maandiko yanavyo SEMA " HAPO MWANZO KULIKUWA NA NENO NA NENO ALIKUWA KWA MUNGU VITU VYOTE VISINGE FANYIKA PASIPO HUYO NENO..

Huyo NENO Ni KRISTO ( UPENDO) Na kwamba bila Upendo MUNGU ASINGE UMBA CHOCHOTE DUNIANI..

Mungu anaposema huyo Ni mwana wangu mpendwa nilie pendezwa nae anamaanisha KRISTO( UPENDO )

Na Yesu anaposema Mtu haji Kwa baba bila kupitia kwangu Kwanza anamaanisha njia pekee itakayo ku connect Na MUNGU ni UPENDO ( KRISTO)

Hata Yesu anaposema " BABA IKIWA NI KWA MAPENZI YAKO BASI NAOMBA KIKOMBE HIKI KINI EPUKE " lakini Mungu hakumuepusha YESU ( MTU ALIE BEBA ROHO YA KRISTO/ROHO YA UPENDO) Na kikombe hicho tafsiri yake Ni kwamba YESU ALIKUWA ANA MUULIZA MUNGU JE KUNA NJIA NYINGINE YOYOTE ILE AMBAYO WANADAMU WANAWEZA KUKOMBOLEWA KWAYO? MUNGU AKAJIBU KWA VITENDO KWAMBA HAPANA NJIA NYINGINE ISIPOKUWA NJIA YA KRISTO( UPENDO) ndio maana akaruhusu Yesu amwage damu yake pale msalabani.

Tunaposema Yesu Ni Mwana wa Mungu tunamaanisha kwamba Roho ya upendo/KRISTO ni roho kutoka Kwa Mungu ambayo Mungu Ali IPA Hadhi Na kuifanya kuwa mwana wake. Na Yesu anaposema " MIMI NA BABA TU KITU KIMOJA" anamaanisha " MUNGU NA UPENDO NI KITU KIMOJA.MUNGU NI UPENDO NA UPENDO NI MUNGU"

Kwa mtazamo wangu, Mtume Paulo ndio Mwanafunzi wa Kweli wa Yesu . Pamoja Na kwamba Mtume Paulo Hakuwa miongoni mwa wale wanafunzi Kumi Na wawili wa Yesu Wala hakuwahi kukutana Na Yesu physically Bali yeye alijifunza habari za Yesu kupitia wanafunzi wa Yesu lakini yeye ndio Alie muelewa Yesu Ni Nani PENGINE kuliko Mwanafunzi mwingine YOYOTE wa Yesu ISIPOKUWA Petro ambae alimtambua Yesu kuwa KRISTO. Mtume Paulo kwenye kitabu cha Tito 2:13 anamtaja KRISTO KUWA NDIE MUNGU MKUU Na Ni ukweli kabisa MUNGU NDIO UPENDO MKUU UPENDO MKUU KUPITA KITU CHOCHOTE..

Wanaposema YESU NI MUNGU wanamaanisha KRISTO/UPENDO NI MUNGU. NA WANAPOSEMA MUNGU ANA NAFSI TATU WANAMAANISHA MUNGU NI BABA MWENYE ROHO TAKATIFU YENYE UPENDO MKUU.


Mfano IPO Mingi Sana ila Kwa leo inatosha hiyo


JE MTU BINAFSI. HAWEZI KUFIKIA LEVEL YA UPENDO UTAKAO MUWEZESHA KUPEWA FUNGUO ZA KUMILIKI DUNIA?

Jibu Lake Ni NDIO... WaPo watu walio fikia level ZA juu Sana ZA Englightenment kiasi kwamba duniani waliishi Na kuheshimika kama miungu Na kifo hakikuwa Na Sauti YOYOTE kwao. Baadhi ya watu Hao Ni kama BUDHA au hata YESU MWENYEWE ambae mwili wake ulitumika.kubeba roho ya KRISTO.

Je mbona watu Hao walikufa?

Yesu alikufa akafufuka Na mpaka Leo HII bado anaishi ( Yesu Yu Hai) Na BUDHA mpaka leo HII bado anaishi katika mioyo Na NAFSI ZA wabudha achilia Mbali kwamba BUDHA amekuwa re incarnated from time to time..

UPENDO. UPENDO UPENDO
Wewe ni shahidi wa jehova kwa mtazamo wako
 
Unajuaje Mungu yupo kweli na hiyo habari nzima ya kuwapo Mungu si hadithi ya uongo tu?

Nimeshindwa kujibu standard ya proof au unajiondoa akili tu?

Wapi niliposhindwa kujibu?

Majibu yako ya swali kuhusu standard of proof Yana proof kwamba hujui chochote kuhusu the art of proving. U was talking about things like consistency, logic etc . Those are the very pretty issues in the art of proving.

Brother, Proving is an art . Kuna watu wanakaa chuo miaka Minne kujifunza the art of proof and yet wanashindwa ku prove vitu vidogo...

By the way me najua unajua Mungu yupo ila huwa una changamsha genge Tu but at least now umejua kwamba Hakuna anae weza kukithibitishia kinyago kwamba kimechongwa na mtu
 
Mafundisho ya uislamu,ukristo Na uyahudi KUHUSU chanzo Na Sababu ya binadamu kuwepo katika sayari ya Dunia wote mnayajua so sipo hapa Kwa ajili ya kuyarudia..

Nipo hapa Kwa ajili ya kuelezea Nadharia KUHUSU chanzo Na Sababu ya Maisha ya binadamu ulimwenguni ambazo zilitolewa Na watu walio fikiri nje ya vitabu vya Dini hizo tatu.

Kwa ufupi Dini inapo mzungumzia Mungu Na chanzo cha Maisha katika sayari ya Dunia huwa inaanzia from the conclusion wakati philosophy Na science ina move toward the conclusion.

Relgion = from the conclusion

Philosophy and Science= Toward the conclusion.

Watu wa science wakifikia hatua ya kumjua Mungu basi watakuwa wamemjua Mungu kwelikweli Kwa Sababu watakuwa wamemtafuta mpaka wamempata. Nyakati hizo zikifika Dunia itageuka Na kuwa mbingu Kwa Sababu maswali yote magumu katika USO wa Dunia yatakuwa Na majibu yake.

Watu wa Dini wamefeli kuyafanya Maisha ya Duniani kuwa kama mbinguni Kwa Sababu wao tayari Wana assume kwamba wanamjua Mungu Kwa hiyo mtazamo WA mafundisho yao unaanzia kwenye conclusion ( kwamba wanamjua Mungu) Hatari ya Jambo hili Ni kwamba Kuna uwezekano mkubwa Sana watu wa Dini wakawa wanatoa maelekezo kutoka kwenye fikra zao wenyewe huku waki assume kwamba yanatoka Kwa Mungu.

Ndio maana Dini ndio zimekuwa chanzo cha matatizo mengi makubwa ulimwenguni..

BACK TO MY POINT

"DUNIA NI MORTGAGE" NI NADHARIA KUHUSU CHANZO NA SABABU YA BINADAMU KUWEPO DUNIANI AMBAYO INAFIKIRISHA SANA...

Nadharia HII inasema kwamba hili gimba linalo Elea angani ambalo linajulikana kama sayari ya Dunia Ni a mortgaged property ambayo Mwenyezi Mungu ametupangisha Sisi wanadamu Kwa consideration maalumu . Tukifanikiwa kukamilisha Deni tunalo Daiwa basi tutapewa rasmi kuimiliki sayari ya Dunia milele Na tutaishi DUNIANI milele kama mbinguni..

Ngoja nitumie mfano rahisi...

Ni hivi: Serikali imejenga nyumba kigamboni. Gharama ya nyumba Ni shilingi milioni Mia Moja Na ishirini. Nyumba imekamilika Ina Kila kitu ndani.

Serikali inakuuzia wewe nyumba hiyo Kwa mkopo.

Utaingia Na kuruhusiwa kuhamia kwenye nyumba hiyo bure Kwa makubaliano kwamba utakuwa unalipa shilingi milioni Kumi Kila mwezi.

Baada ya miezi Kumi Na mbili ukisha kamilisha Deni lako basi rasmi utapewa hati ya nyumba Na wewe utakuwa ndio mmiliki halali WA hiyo nyumba.

Ukisha kuwa mmiliki halali WA hiyo nyumba utakuwa Sasa Na uhuru wa kufanya chochote juu ya hiyo nyumba Kwa kuwa Sasa utakuwa mmiliki halali mwenye mamlaka kamili juu ya hiyo nyumba.

Hivi ndivyo ilivyo Kwa sayari ya dunia, Mungu Na wanadamu Kwa Mujibu wa nadharia hiyo..

NI HIVI

Mungu ameitengeneza sayari yetu ya Dunia Na ndani yake akaweka Kila kitu ( fully furnished )

Kisha akaitoa mkopo sayari hiyo kwetu Sisi wanadamu ili tupate kuimiliki ..

Ili tuweze kuimiliki sayari HII tunatakiwa kulipa gharama alizo tumia Mwenyezi Mungu kuitengeneza sayari HII ya Dunia Na vitu vyote vilivyomo ndani yake ikiwa Ni pamoja Na MIILI yetu ambayo raw materials zake zilitoka hapa hapa duniani( kumbuka Sisi Ni roho ambao tunaishi kwenye miili)

Tukisha maliza kulipa Deni ( gharama) alizo tumia Mwenyezi Mungu kuitengeneza sayari yetu basi Mungu atatupa funguo ( hati miliki) ZA kuitawala Dunia.

Tukisha fikia levo ya kumiliki funguo ZA kuitawala Dunia basi Mungu atashusha mbingu ( mfumo) Mpya duniani. Hakutakuwa na vifo, MAGONJWA , vita nakadhalika.

Kwa ufupi Dunia itakuwa Firdaus/Pepo/mbingu


JE NI NINI GHARAMA ALIZO TUMIA MWENYEZI MUNGU KUITENGENEZA DUNIA?

NI UPENDO. God created the world out of pure love. Kwa hiyo currency pekee ambayo Mungu anaitambua Ni " UPENDO". Hii ndio currency ambayo unaweza kuitumia kununua kitu chochote kutoka Kwa Mungu.

UPENDO NI NINI? UPENDO NI KUMPENDA BINADAMU MWENZAKO KAMA UNAVYO IPENDA NAFSI YAKO.. kama alivyo SEMA Yesu Masiha.

Binadamu tukifikia levo HII ya kuwa na UPENDO wa kiwango hiki ambao Ni collectively Dunia nzima basi tutakuwa tumelipa Deni letu Kwa Mungu Na Mungu hatokuwa Na Sababu ya kutokutupa hatimiliki( funguo) ZA kuitawala Dunia.

( UPENDO Huu utatakiwa kuwa collectively Yani watu wote dunia nzima kila MTU ampende mwenzake kama anavyo jipenda yeye mwenyewe ndani ya NAFSI yake)

Ni levo ya UPENDO ambayo mkristo atapenda muislamu kama anavyo jipenda yeye and vice versa.

Mzungu atampenda mwafrika, mchina,mwarabu,muhindi,myahudi etc and vice versa kama anavyo jipenda yeye mwenyewe.

Myahudi atampenda mpalestina and vice versa kama anavyo jipenda yeye mwenyewe.

Kila binadamu atampenda binadamu mwenzake kama.anavyo jipenda yeye mwenyewe Na atamtendea wema kama anavyo taka.kutendewa yeye mwenyewe..

Tukifikia levo HII basi Mungu wa Mbinguni atatupa funguo ZA kuitawala Dunia Na hakutakuwa Na MAGONJWA, vifo , vita Wala chochote kibaya katika Dunia HII..

We will become " PRIMUS INTER PARES WITH THE LORD "

NA HII NDIO SABABU YA TRUE MISSION OF CHRIST JESUS KUJA DUNIANI

Yesu alikuja duniani Kwa ajili ya kutukomboa wanadamu Kwa kutuletea ujumbe Huu kwamba TUWE NA UPENDO..

NI UPENDO PEKEE NDIO UTAKAO MKOMBOA MWANADAMU HAKUNA KINGINE CHOCHOTE...

NIMEZALIWA NA KUKULIA KATIKA UISLAMU LAKINI DHIMA YA KRISTO KWA WANADAMU NINA IELEWA PENGINE KULIKO MA ASKOFU NA WACHUNGAJI WENGI DUNIANI

INAPOSEMWA KUWA NA KRISTO MAANA YAKE NI KUWA NA ROHO YA UPENDO AMBAO NIMEUZUNGUMZIA HAPO JUU. UPENDO AMBAO ULI HUBIRIWA NA YESU MWENYEWE... UNAWEZA KUWA MUISLAMU AU MHINDU AND STILL UKAWA NA KRISTO NDANI YAKO . KRISTO NI UPENDO USIO NI MIPAKA. KUWAPENDA BINADAMU WENZAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.

NDIO MAANA HATA BIBLIA YENYEWE INASEMA KAMA HAUNA UPENDO ( KRISTO) WEWE HUFAI KITU KABISA...


Ndio maana Yesu anasema hatorudi duniani mpaka watu wote wawe wamehubiriwa habari zake . PENGINE alimaanisha mpaka watu wote wawe INCHRISTED"

Ni Kweli kabisa ukiwa Na KRISTO ndani yako hata Lucifer hawezi kukufanya kitu Kwa Sababu katika ulimwengu WA roho nguvu kubwa kuliko zote Ni nguvu ya KRISTO ( UPENDO)

Kwa nguvu ya KRISTO( UPENDO) unaweza ku conquer nguvu zote ZA kiroho hapa duniani...

Ndo maana Yesu aliwaambia wanafunzi wake ufalme wa Mungu ( KRISTO) umo ndani yenu. Kwamba Mungu ( KRISTO) anaishi ndani yenu Na Zaidi akawaambia utafuteni Kwanza ufalme wake Mungu ( KRISTO/UPENDO) Na mambo mengine yote mtazidishiwa...

Maandiko yanavyo SEMA " HAPO MWANZO KULIKUWA NA NENO NA NENO ALIKUWA KWA MUNGU VITU VYOTE VISINGE FANYIKA PASIPO HUYO NENO..

Huyo NENO Ni KRISTO ( UPENDO) Na kwamba bila Upendo MUNGU ASINGE UMBA CHOCHOTE DUNIANI..

Mungu anaposema huyo Ni mwana wangu mpendwa nilie pendezwa nae anamaanisha KRISTO( UPENDO )

Na Yesu anaposema Mtu haji Kwa baba bila kupitia kwangu Kwanza anamaanisha njia pekee itakayo ku connect Na MUNGU ni UPENDO ( KRISTO)

Hata Yesu anaposema " BABA IKIWA NI KWA MAPENZI YAKO BASI NAOMBA KIKOMBE HIKI KINI EPUKE " lakini Mungu hakumuepusha YESU ( MTU ALIE BEBA ROHO YA KRISTO/ROHO YA UPENDO) Na kikombe hicho tafsiri yake Ni kwamba YESU ALIKUWA ANA MUULIZA MUNGU JE KUNA NJIA NYINGINE YOYOTE ILE AMBAYO WANADAMU WANAWEZA KUKOMBOLEWA KWAYO? MUNGU AKAJIBU KWA VITENDO KWAMBA HAPANA NJIA NYINGINE ISIPOKUWA NJIA YA KRISTO( UPENDO) ndio maana akaruhusu Yesu amwage damu yake pale msalabani.

Tunaposema Yesu Ni Mwana wa Mungu tunamaanisha kwamba Roho ya upendo/KRISTO ni roho kutoka Kwa Mungu ambayo Mungu Ali IPA Hadhi Na kuifanya kuwa mwana wake. Na Yesu anaposema " MIMI NA BABA TU KITU KIMOJA" anamaanisha " MUNGU NA UPENDO NI KITU KIMOJA.MUNGU NI UPENDO NA UPENDO NI MUNGU"

Kwa mtazamo wangu, Mtume Paulo ndio Mwanafunzi wa Kweli wa Yesu . Pamoja Na kwamba Mtume Paulo Hakuwa miongoni mwa wale wanafunzi Kumi Na wawili wa Yesu Wala hakuwahi kukutana Na Yesu physically Bali yeye alijifunza habari za Yesu kupitia wanafunzi wa Yesu lakini yeye ndio Alie muelewa Yesu Ni Nani PENGINE kuliko Mwanafunzi mwingine YOYOTE wa Yesu ISIPOKUWA Petro ambae alimtambua Yesu kuwa KRISTO. Mtume Paulo kwenye kitabu cha Tito 2:13 anamtaja KRISTO KUWA NDIE MUNGU MKUU Na Ni ukweli kabisa MUNGU NDIO UPENDO MKUU UPENDO MKUU KUPITA KITU CHOCHOTE..

Wanaposema YESU NI MUNGU wanamaanisha KRISTO/UPENDO NI MUNGU. NA WANAPOSEMA MUNGU ANA NAFSI TATU WANAMAANISHA MUNGU NI BABA MWENYE ROHO TAKATIFU YENYE UPENDO MKUU.


Mfano IPO Mingi Sana ila Kwa leo inatosha hiyo


JE MTU BINAFSI. HAWEZI KUFIKIA LEVEL YA UPENDO UTAKAO MUWEZESHA KUPEWA FUNGUO ZA KUMILIKI DUNIA?

Jibu Lake Ni NDIO... WaPo watu walio fikia level ZA juu Sana ZA Englightenment kiasi kwamba duniani waliishi Na kuheshimika kama miungu Na kifo hakikuwa Na Sauti YOYOTE kwao. Baadhi ya watu Hao Ni kama BUDHA au hata YESU MWENYEWE ambae mwili wake ulitumika.kubeba roho ya KRISTO.

Je mbona watu Hao walikufa?

Yesu alikufa akafufuka Na mpaka Leo HII bado anaishi ( Yesu Yu Hai) Na BUDHA mpaka leo HII bado anaishi katika mioyo Na NAFSI ZA wabudha achilia Mbali kwamba BUDHA amekuwa re incarnated from time to time..

UPENDO. UPENDO UPENDO

Ninacho kusifu umejipinda kuandika gazeti kubwa lisilo eleweka kabla ya kupoteza muda ungejiuliza swali HUO UPENDO UTAPATIKANAJE? Ingekusaidia kutopoteza nguvu na muda ungeanza kujiuliza

KWA WAKIRISTO WANAYE MUAMINI KAJA KUWAFUNDISHA UPENDO NI YESU. HUYU KWA WAISLAM HAKUBALIKI HATA CHEMBE NA WAISLAM WANAHESABU WAFUASI WA YESU WOTE WAMEPOTEA

KWA WAISLAMU WANAYE MUAMINI KAJA KUWAFUNDISHA UPENDO NI MUHAMMAD (s.a.w) HUYU KWA WAKRISTO HAKUBALIKI HATA CHEMBE WANAMUONA MCHAWI NA WAKIRISTO WANAHESABU WAISLAM WOTE WAMEPOTEA.

Kwa mtizamo huo akili yako inakubali iko siku mkristo na muislam watakua na upendo wa dhati?

KWA UFUPI ELEWE BINAADAM HAKUUMBIWA KUJA KUISHI HUMU DUNIANI
Mwana Adam amekuja humu duniani by excuse na pia hapa duniani ni examination room ya Mwana Adam akifaulu mtihani kwa kumuabudu Mungu wake wa kweli alie umba mbigu na ardhi.ili mwishoni amuweke pale alipo mweka Adam na Hawa mwanzoni kabla ya kuwashusha katika tufe hili la dunia.
 
thread ndefu lakini nzuri sana .kama ni safari basi ni safari isiyochosha. achilia mbali nadharia hiyo lakini mtu mwenye upendo na watu wote duniani huwa ni mtu wa kipekee sana na ni watu wanaoishi maisha ya amani sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninacho kusifu umejipinda kuandika gazeti kubwa lisilo eleweka kabla ya kupoteza muda ungejiuliza swali HUO UPENDO UTAPATIKANAJE? Ingekusaidia kutopoteza nguvu na muda ungeanza kujiuliza

KWA WAKIRISTO WANAYE MUAMINI KAJA KUWAFUNDISHA UPENDO NI YESU. HUYU KWA WAISLAM HAKUBALIKI HATA CHEMBE NA WAISLAM WANAHESABU WAFUASI WA YESU WOTE WAMEPOTEA

KWA WAISLAMU WANAYE MUAMINI KAJA KUWAFUNDISHA UPENDO NI MUHAMMAD (s.a.w) HUYU KWA WAKRISTO HAKUBALIKI HATA CHEMBE WANAMUONA MCHAWI NA WAKIRISTO WANAHESABU WAISLAM WOTE WAMEPOTEA.

Kwa mtizamo huo akili yako inakubali iko siku mkristo na muislam watakua na upendo wa dhati?

KWA UFUPI ELEWE BINAADAM HAKUUMBIWA KUJA KUISHI HUMU DUNIANI
Mwana Adam amekuja humu duniani by excuse na pia hapa duniani ni examination room ya Mwana Adam akifaulu mtihani kwa kumuabudu Mungu wake wa kweli alie umba mbigu na ardhi.ili mwishoni amuweke pale alipo mweka Adam na Hawa mwanzoni kabla ya kuwashusha katika tufe hili la dunia.
K
 
Mkuu ukitaka straight answers jaribu na wewe kutoa majibu yaliyo straight..


Ebu tueleezee kidogo juu ya hayo uliyo yaandika hapo juu... Labda tutaanzia hapo.

Ni element zipi zilitumia/kuziweka kwenye hiyo coil?
Space ya mbali, ipi?
Space ipi hiyo ambayo inakuwa regarded kama heart of the universe?
soma tena upya. pia sentense ya mwisho nimesema nilisoma muda kidogo so sikumbuki vizur. pia hizi soze bado ni theory tumajaribu kutake assumption kadhaa
 
Una Pepo wewe
hizi ni theoriesww unatakiwa kuleta hoja zako sasa pepo limetoka wapi hapa. inaama ulicho andika ulitaka kila mtu aone kiko sawa. hii theory yako ulio leta hapa inakaroro nyingi sana na nimesha kueleza untakiwa ueleze kwa hoja kunipinga mm. sasa unaishia kutoa kauli mbovu mara pepo mara unaita watu mafurler kwa kwel inasikitisha sana.

Umsema dunia ni kwajli ya binadamu. Mm nikahijo wanadamu hao unasema dunia ni yao nao hawaijui mbona. nikakupa mifano kadhaa mmoja wapo ukiwa, Hatujui nani alie jenga zile pyramids za gaza. sasa utasemaje dunia ni yetu wakati thairi inaonesha ss ni wageni???

kwahiyo apo mm naonekana na pepo mara furler japo sijui unamaanisha nn.ila anyway ukiona kuna mlima ujue kunasehem kuna bonde.
 
hizi ni theoriesww unatakiwa kuleta hoja zako sasa pepo limetoka wapi hapa. inaama ulicho andika ulitaka kila mtu aone kiko sawa. hii theory yako ulio leta hapa inakaroro nyingi sana na nimesha kueleza untakiwa ueleze kwa hoja kunipinga mm. sasa unaishia kutoa kauli mbovu mara pepo mara unaita watu mafurler kwa kwel inasikitisha sana.

Umsema dunia ni kwajli ya binadamu. Mm nikahijo wanadamu hao unasema dunia ni yao nao hawaijui mbona. nikakupa mifano kadhaa mmoja wapo ukiwa, Hatujui nani alie jenga zile pyramids za gaza. sasa utasemaje dunia ni yetu wakati thairi inaonesha ss ni wageni???

kwahiyo apo mm naonekana na pepo mara furler japo sijui unamaanisha nn.ila anyway ukiona kuna mlima ujue kunasehem kuna bonde.
K
 
Majibu yako ya swali kuhusu standard of proof Yana proof kwamba hujui chochote kuhusu the art of proving. U was talking about things like consistency, logic etc . Those are the very pretty issues in the art of proving.

Brother, Proving is an art . Kuna watu wanakaa chuo miaka Minne kujifunza the art of proof and yet wanashindwa ku prove vitu vidogo...

By the way me najua unajua Mungu yupo ila huwa una changamsha genge Tu but at least now umejua kwamba Hakuna anae weza kukithibitishia kinyago kwamba kimechongwa na mtu
Unajuaje Mungu yupo kweli na hiyo habari nzima ya kuwapo Mungu si hadithi ya uongo tu?

Hujajibu swali hili.

Prove huyo Mungu wako yupo kweli kwa njia yoyote unayojua wewe, tuelezee hapa tuihakiki, maana ku prove kwa misingi niliyokupa umejaribu umeshindwa.
 
Wanadini wanasema Mungu ametuleta duniani ili tumuabudu, ilo ndio jukumu la Mungu kumleta mtu duniani kumsifu tu.

Kwa mujibu wa wafia dini
 
INSHA'ALLAH Kuna mtu mmoja niliwahi kumsikia Mahali akisema kuwa ili binadamu wawe kitu kimoja Ni lazima iletwe duniani race ya viumbe wengine ambao wako more advanced kiteknolojia kuliko binadamu . Ili kupambana Na race HII itatulazimu binadamu wote Duniani kuungana Na kuwa kitu kimoja.. hiyo inaweza kuwa hatua muhimu kuelekea kwenye hiyo level ya Englightenment.. so the guy was suggesting for an allien invasion over planet Earth.
Jins binadamu alivyo mnafiki mbona kuna wanadamu watawasaliti bindaadamu wenzao na kuungana nao
 
Back
Top Bottom