Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,480
Unajuaje Mungu yupo kweli na hiyo habari nzima ya kuwapo Mungu si hadithi ya uongo tu?Sasa kumbe Je?
Nakuthibitishiaje kwamba Mungu yupo wakati haupo katika conscious level ya kuweza kuelewa? Nitatumia njia Gani kukuthibitishia kwamba Mungu yupo?
Ndio maana nilikuuliza MWANZO unataka nitumie standard ipi ya proof kukuthibitishia kuhusu uwepo wa Mungu ukashindwa kujibu...
Nimeshindwa kujibu standard ya proof au unajiondoa akili tu?
Wapi niliposhindwa kujibu?