Dunia ni mortgage: Nadharia hii kuhusu sababu ya binadamu kuletwa duniani inafikirisha sana

Unajuaje Mungu yupo kweli na hiyo habari nzima ya kuwapo Mungu si hadithi ya uongo tu?

Hujajibu swali hili.

Prove huyo Mungu wako yupo kweli kwa njia yoyote unayojua wewe, tuelezee hapa tuihakiki, maana ku prove kwa misingi niliyokupa umejaribu umeshindwa.
Swali lile lile unajibiwa una uliza Tena swali Hilo Hilo. Vipi mjomba?
 
Unajuaje Mungu yupo kweli na hiyo habari nzima ya kuwapo Mungu si hadithi ya uongo tu?

Hujajibu swali hili.

Prove huyo Mungu wako yupo kweli kwa njia yoyote unayojua wewe, tuelezee hapa tuihakiki, maana ku prove kwa misingi niliyokupa umejaribu umeshindwa.

Ukiweza kueleza namna ya kukithibitishia kinyago kuhusu uwepo wa MTU Alie kichonga itakuwa rahisi kwako kuthibitishiwa kuhusu uwepo wa Mungu Alie kuumba
 
Ukiweza kueleza namna ya kukithibitishia kinyago kuhusu uwepo wa MTU Alie kichonga itakuwa rahisi kwako kuthibitishiwa kuhusu uwepo wa Mungu Alie kuumba
Unaelewa "logical non sequitur" ni nini?

Nikishindwa kukithibitishia kinyago kuhusu uwepo wa aliyekichonga, hilo linathibitishaje Mungu yupo?

Unaelewa kwamba kushindwa kuthibitisha chochote hakuthibitishi Mungu yupo?

Unaelewa kwamba mpaka sasa hujathibitisha Mungu yupo? Umelazimisha imani yako bila uthibitisho tu?
 
Back
Top Bottom