Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,857
hahahahaUtalii sio kipaumbele chetu. Na hao watalii hata wasije.
Tunajenga viwanda kwa sasa. Hatutaki usumbufu.
Una uhakika kwamba wanapandia Kenya ? Njia gani wanaitumia ? Naomba kueleweshwa tafadhaliUsichokijua ni kuwa watalii wengi wanapanda mlima kilimanjaro kupitia Kenya, sasa hao watalii unataka waseme ni mlima wa nchi gani! Halafu nyie mnajifanya nunda kwa juu pandisha vat ya utalii unafikiri wataacha kupitia Kenya!?
kivipi?kwa wapi?Kweli lkn hata Kenya wanamiliki sehemu ya mlima huu.
According to the Associated Press, "A South African trying to summit Kenya's Mt Kilimanjaro...has died". First and foremost, condolences to the South African family.
Second, let there be no confusion that the deceased died in Tanzania.
And last, we Tanzanians and Africans as a whole demand retraction and apology from Cara Anna of the Associated Press for misleading the world as to the actual country where Mt Kilimanjaro is located.
CARA ANNA... #GetYourFactsRight
![]()
Naomba tuamke watanzania katika hili.
Binafsi sijapendezwa hata kidogo. Mimi sikuwai kufuatilia hizi habari japo zilivuma sana lakini hili gazeti limenitisha kidogo, wakuu wa nchi ni vizuri kupitia na kufanya kazi.
Kama mambo yenyewe kabla ya huo muunganiko (Jumuiya ya Afrika Mashariki) ni hivi.. vipi kama tukiungana?
Mhe. Rais naomba ulichungulie hili swala kwa ukaribu (kikulacho ki nguoni mwako)
Maswali ya msingi kwa watanzania;
1. Kwanini taarifa iseme Kenyan mount?
2. Je serikali ya Kenya kwa habari kama hii lini iliwahi kukanusha?
3. Je sisi kitu gani Dunia inatutambua kwa kutusisngizia kama chetu lakini sio?
Viongozi wetu kama mtaliachia hili bila kusema chochote basi watanzania tumelogwa (huo ni mtazamo wangu).
Sasa unataka serikali ya Kenya ikanushe vipi? Tatizo ni la wao?. Sisi hatuna haja na mlima KilimanjaroAccording to the Associated Press, "A South African trying to summit Kenya's Mt Kilimanjaro...has died". First and foremost, condolences to the South African family.
Second, let there be no confusion that the deceased died in Tanzania.
And last, we Tanzanians and Africans as a whole demand retraction and apology from Cara Anna of the Associated Press for misleading the world as to the actual country where Mt Kilimanjaro is located.
CARA ANNA... #GetYourFactsRight
![]()
Naomba tuamke watanzania katika hili.
Binafsi sijapendezwa hata kidogo. Mimi sikuwai kufuatilia hizi habari japo zilivuma sana lakini hili gazeti limenitisha kidogo, wakuu wa nchi ni vizuri kupitia na kufanya kazi.
Kama mambo yenyewe kabla ya huo muunganiko (Jumuiya ya Afrika Mashariki) ni hivi.. vipi kama tukiungana?
Mhe. Rais naomba ulichungulie hili swala kwa ukaribu (kikulacho ki nguoni mwako)
Maswali ya msingi kwa watanzania;
1. Kwanini taarifa iseme Kenyan mount?
2. Je serikali ya Kenya kwa habari kama hii lini iliwahi kukanusha?
3. Je sisi kitu gani Dunia inatutambua kwa kutusisngizia kama chetu lakini sio?
Viongozi wetu kama mtaliachia hili bila kusema chochote basi watanzania tumelogwa (huo ni mtazamo wangu).