Dunia inajua mlima Kilimanjaro upo Kenya

Dunia inajua mlima Kilimanjaro upo Kenya

Kwa kawaida watanzania tuna urithi Mwingi sana kinacho tuharibu ni siasa zetu tunaziendesha kwa chuki na kupandikiziana sumu tumejaa unafiki na kuendekeza vyama vya siasa kuliko hata maendeleo .
Leo hii mtu wa chadema akimkuta mtu wa ccm Ana matatizo hawezi kumsaidia hata mtu wa ccm akimkuta wa upinzani Ana matatizo hawezi kumsaidia yaani tunafika point tunachukia mpaka nchi yetu Huyu aliyetuloga watanzania atafutwe kwa udi na uvumba
 
hahaha mii sihangai chochote hapa..siku moja tupo schipol airport huko netherlands, tukaulizwa nyie wa wapi, tukasema tanzania, jamaa pale wakasema..aahh thats in kenya right?. Tukakenua tuu!..T.T.B hamuitangazi nchi nje..

hao wazungu waliowaambia hivyo ni madunya,wazungu gani wanaojua nchi ipo ndani ya nchi???au nyinyi hamkuwaelewa,walimaanisha hiyo ni nchi jirani na kenya!!!
 
mtoa mada....hebu lete habari kamili kiongozi!hiyo habari inasemaje???maana mlima kilimanjaro unaambaa aamba mpaka pande za kenya,tatizo haupandiki ukitokea upande ule wa jirani labda yeye kafia pande hizo za kenya
 
Sherrif ni mkenya hyo usiumize kichwa kwake ni shangwe tupu
 
Sijui kwanini hii nchi inaonewa hivi; Ziwa Nyasa (lote) liko Malawi; Mt. Kilimanjaro uko Kenya; The Serengeti ni extension ya Tsavo ambayo iko Kenya; 10-mile coastal strip ni mali ya Sultan (Oman/Zanzibar); ukitaka Tanzanite utaipata Kenya; Tanzania hairuhusiwi kutumia maji ya the Victoria - mikataba inakataza; Olduvai Gorge (inapoaminika binadamu wa kwanza aliishi) iko Kenya; Mto Kagera ndio mpaka halali wa Uganda na Tanzania (Idd Amin naye huyo).

Listi inaendelea; skeleton ya mnyama mkubwa zaidi kuwahi kuwepo duniani iko kwenye jumba la makumbusho Ujerumani ikiingizia nchi hiyo mamilioni ya dola kutokana na utalii. Skeleton hii iliibwa Tanganyika. Vyura wa Kihansi (Tanganyika) wamepelekwa Marekani. etc. etc. etc.

Kwanini wengine wanadai sehemu ya Tanganyika au resources za Tanganyika ni mali yao? Sina kumbukumbu ya kinyume chake - Tanganyika ku-claim maeneo au vitu vya nchi nyingine.

Jamaa amesema hataki watalii. Kwahiyo kuwekeza huko ni kazi bure.
 
2168671d3d7f1f4733ca6d0fa7c90738.jpg


Naomba tuamke watanzania katika hili binafsi sijapendezwa hata kidogo Mimi sikuwai kufuatilia hizi habari japo zilivuma sana lakini hili gazeti limenitisha kidogo, wakuu wa nchi ni vizuri kupitia na kufanya kazi.

Kama mambo yenyewe kabla ya huo muunganiko ni hivi..vipi kama tukiungana?
Mh. Rais naomba ulichungulie hili swala kwa ukaribu (kikulacho ki nguoni mwako)

Maswali ya msingi kwa watanzania;
1. Kwanini taarifa iseme Kenyan mount?
2. Je serikali ya Kenya kwa habari kama hii lini iliwahi kukanusha?
3. Je sisi kitu gani Dunia inatutambua kwa kutusisngizia kama chetu lakini sio?

Viongozi wetu kama mtaliachia hili bila kusema chochote basi watanzania tumelogwa (huo ni mtazamo wangu)
Na Ndege zote za Kenya airways wametupia chata ya '' Mount Kilimanjaro''.
images

Tatizo sisi waTZ usingizi mwingi sna.
 
Nawezaje kupata namba ya simu ya ikulu? Au Barua zitafika?

Naombeni msaada
 
2168671d3d7f1f4733ca6d0fa7c90738.jpg


Naomba tuamke watanzania katika hili binafsi sijapendezwa hata kidogo Mimi sikuwai kufuatilia hizi habari japo zilivuma sana lakini hili gazeti limenitisha kidogo, wakuu wa nchi ni vizuri kupitia na kufanya kazi.

Kama mambo yenyewe kabla ya huo muunganiko ni hivi..vipi kama tukiungana?
Mh. Rais naomba ulichungulie hili swala kwa ukaribu (kikulacho ki nguoni mwako)

Maswali ya msingi kwa watanzania;
1. Kwanini taarifa iseme Kenyan mount?
2. Je serikali ya Kenya kwa habari kama hii lini iliwahi kukanusha?
3. Je sisi kitu gani Dunia inatutambua kwa kutusisngizia kama chetu lakini sio?

Viongozi wetu kama mtaliachia hili bila kusema chochote basi watanzania tumelogwa (huo ni mtazamo wangu)
Hivi ni kwa nini hapa huwa tunawalaumu wakenya badala ya kuwacheka hao wazungu kwa kutokujua Jiografia!
Mbona ukimuuliza Mtz kuwa mji mkuu wa Zambia ni upi akakwambia ni Nairobi unamcheka kwamba ni mjinga lakini kwa wazungu tunakuwa hivi!?
 
Hao walio sema Kilimanjaro ipo Kenya
Nipuuzi na hawajaenda shule kusoma kweli
Wali kalili
 
Huyu Mkenya sijui anataka nini, yaani anapotosha kwa makusudi kabisa, Waziri wa Utalii inabidi aandikie barua Associated Press. Kama hawezi mwambie anipe barua yenye letterhead ya Wizara mimi nitaandika

Duh, nimeipenda hiyo...lakini sidhani kama huyo Waziri wa utalii anapitia humu JF...mimi nakushauri tafuta namba ya Wizara ya Utalii na uwapigie na ikibidi mpigie Waziri mwenyewe Prof. Maghembe au Katibu Mkuu Mj. Gen. Gaudence Milanzi...ila namwamini zaidi Maj. Gen. Milanzi anaweza akachukua hatua haraka kwa kuwaagiza vijana wake wa wizara lakini Prof. sina hakika naye...
 
Jamaa amesema hataki watalii. Kwahiyo kuwekeza huko ni kazi bure.


Hii ni comment ya ajabu kabisa kutolewa na Mtanzania...'comments nyepesi kwa masuala mazito'...ni wapi ulimsikia kuwa hataki watalii...
 
According to the Associated Press..."A South African trying to summit Kenya's Mt Kilimanjaro...has died"

First and foremost, condolesence to the South African family.

Second, let there be no confusion that the deceased died in Tanzania.

And last, we Tanzanians and Africans as a whole demand retraction and apology from Cara Anna of the Associated Press for misleading the world as to the actual country where Mt Kilimanjaro is located.
CARA ANNA....
images

ona hiyo. Wakenya Kiboko kwa wizi.
 
Back
Top Bottom