Ungemjibu "No, Tanzania is an independent country bigger than Kenya geographically. Do you guys learn geography in your schools? "hahaha mii sihangai chochote hapa..siku moja tupo schipol airport huko netherlands, tukaulizwa nyie wa wapi, tukasema tanzania, jamaa pale wakasema..aahh thats in kenya right?. Tukakenua tuu!..T.T.B hamuitangazi nchi nje..
Weweeeeee!Kweli lkn hata Kenya wanamiliki sehemu ya mlima huu.
Hata sijaona tulipoonewa, tunajionea wenyewe, tuko bize na vitu visivyo na tija, sasa kwa nini wengine wasitumie opportunities?Sijui kwanini hii nchi inaonewa hivi; Ziwa Nyasa (lote) liko Malawi; Mt. Kilimanjaro uko Kenya; The Serengeti ni extension ya Tsavo ambayo iko Kenya; 10-mile coastal strip ni mali ya Sultan (Oman/Zanzibar); ukitaka Tanzanite utaipata Kenya; Tanzania hairuhusiwi kutumia maji ya the Victoria - mikataba inakataza; Olduvai Gorge (inapoaminika binadamu wa kwanza aliishi) iko Kenya; Mto Kagera ndio mpaka halali wa Uganda na Tanzania (Idd Amin naye huyo).
Listi inaendelea; skeleton ya mnyama mkubwa zaidi kuwahi kuwepo duniani iko kwenye jumba la makumbusho Ujerumani ikiingizia nchi hiyo mamilioni ya dola kutokana na utalii. Skeleton hii iliibwa Tanganyika. Vyura wa Kihansi (Tanganyika) wamepelekwa Marekani. etc. etc. etc.
Kwanini wengine wanadai sehemu ya Tanganyika au resources za Tanganyika ni mali yao? Sina kumbukumbu ya kinyume chake - Tanganyika ku-claim maeneo au vitu vya nchi nyingine.
According to the Associated Press, "A South African trying to summit Kenya's Mt Kilimanjaro...has died". First and foremost, condolences to the South African family.
Second, let there be no confusion that the deceased died in Tanzania.
And last, we Tanzanians and Africans as a whole demand retraction and apology from Cara Anna of the Associated Press for misleading the world as to the actual country where Mt Kilimanjaro is located.
CARA ANNA... #GetYourFactsRight
![]()
Naomba tuamke watanzania katika hili.
Binafsi sijapendezwa hata kidogo. Mimi sikuwai kufuatilia hizi habari japo zilivuma sana lakini hili gazeti limenitisha kidogo, wakuu wa nchi ni vizuri kupitia na kufanya kazi.
Kama mambo yenyewe kabla ya huo muunganiko (Jumuiya ya Afrika Mashariki) ni hivi.. vipi kama tukiungana?
Mhe. Rais naomba ulichungulie hili swala kwa ukaribu (kikulacho ki nguoni mwako)
Maswali ya msingi kwa watanzania;
1. Kwanini taarifa iseme Kenyan mount?
2. Je, serikali ya Kenya kwa habari kama hii lini iliwahi kukanusha?
3. Je, sisi kitu gani Dunia inatutambua kwa kutusisngizia kama chetu lakini sio?
Viongozi wetu kama mtaliachia hili bila kusema chochote basi watanzania tumelogwa (huo ni mtazamo wangu).
Hii ni too much...
Na VAT tuliyoweka kwenye utalii ndo itakuwa balaa tupu...Manyang'au yatatumia kama loop hohle ya kuhujum sekta ya utalii ya Tz
Wanaishia kunawa si ndio ? Hata hapa wapo wanaishia kunawa tu, tatizo sio hilo, JE KILIMANJARO IPO TZ AU KE ? HILO HAPO SWALI LA MSINGI , la kuonekana hapa halina mashiko !!! [emoji15]Poleni sana! Best of both worlds. Enjoying Mt Kilimanjaro without setting foot in Tanzania. Mzungu mwerevu anafika Amboseli anafurahia kuona wanyama na Mt Kilimanjaro bila kulipa VAT na kupambana na Utanzania.![]()
Mlima upo ndani ya TZ. Uzuri wake Kenya.Wanaishia kunawa si ndio ? Hata hapa wapo wanaishia kunawa tu, tatizo sio hilo, JE KILIMANJARO IPO TZ AU KE ? HILO HAPO SWALI LA MSINGI , la kuonekana hapa halina mashiko !!! [emoji15]
Kweli lkn hata Kenya wanamiliki sehemu ya mlima huu.
Ndugu ...Mbona LESOTHO ipo ndani ya nchi nyingine au haulijui hilo!!??hao wazungu waliowaambia hivyo ni madunya,wazungu gani wanaojua nchi ipo ndani ya nchi???au nyinyi hamkuwaelewa,walimaanisha hiyo ni nchi jirani na kenya!!!