Dunia inajua mlima Kilimanjaro upo Kenya

Mi sioni tatizo mtalii atakapofika Kenya kutaka kupanda mlima Kilimanjaro ndio atajuwa kama upo Kenya au Tanzania hili suala dogo sana hakuna haja ya kulumbana.
 
We kenyans have never claimed to own Kilimanjaro, we only state that the best views of Mt.Kilimanjaro are from kenya(many tourists usually view) while for those wishing to climb(which are few) should train in Loitoktok and thereafter go to Tanzania to climb :) :)
 
Sijui kwanini hii nchi inaonewa hivi; Ziwa Nyasa (lote) liko Malawi; Mt. Kilimanjaro uko Kenya; The Serengeti ni extension ya Tsavo ambayo iko Kenya; 10-mile coastal strip ni mali ya Sultan (Oman/Zanzibar); ukitaka Tanzanite utaipata Kenya; Tanzania hairuhusiwi kutumia maji ya the Victoria - mikataba inakataza; Olduvai Gorge (inapoaminika binadamu wa kwanza aliishi) iko Kenya; Mto Kagera ndio mpaka halali wa Uganda na Tanzania (Idd Amin naye huyo).

Listi inaendelea; skeleton ya mnyama mkubwa zaidi kuwahi kuwepo duniani iko kwenye jumba la makumbusho Ujerumani ikiingizia nchi hiyo mamilioni ya dola kutokana na utalii. Skeleton hii iliibwa Tanganyika. Vyura wa Kihansi (Tanganyika) wamepelekwa Marekani. etc. etc. etc.

Kwanini wengine wanadai sehemu ya Tanganyika au resources za Tanganyika ni mali yao? Sina kumbukumbu ya kinyume chake - Tanganyika ku-claim maeneo au vitu vya nchi nyingine.
Twiga Zeruzeru ni wakenya, alafu Mji wa Arusha hupo kenya aisee wakenya hatare, mpaka tuje kujielewa tutakuwa tumekwisha
 
QUOTE="ISIS, post: 16894684, member: 363774"]charity begins at home! tuanze kuipenda nchi yetu sio kuilaani na kuiita majina ya ajabu ajabu... tupendane sisi kwa sisi! tukiithamini nchi yetu![/QUOTE]
Ninyi mmeshindwa kujitambua wenyewe,Tanzanite hata kwa umbo uijui,mjusi yule mkubwa kuliko wote mlienda kumuwekeza nje,vyura wa kgansi wako nje,kwani uwepo wa mlima kilimanjaro hapa unamsaada gani kwako?ili hali shule zinazo uzunguka hazina hata madawati.
 
Hatakama wakisema mlima upo kenya mlima kilimanjaro kwajinsi ninavyo jua mm huwezi kuupanda bila kuja Tanzania japo hata kenya unaonekana
Lkini pamoja nahayo wizara ya mali asili na utalii nivizuri ichukue jukum la kutangaza vivutio mbali mbali vya nchi yetu kweny chanel kubwa kama cnn bbc nk ili kupata watalii wengi zaidi
 
Lakini pia kuna changamoto hapa
Kama sisi tumenyamaza hatutaki kutangaza mlima wetu ndio maana wengine wanafanya hivyo
Isitoshe hata hawa mabalozi wetu huko nchi za nje wanafanya nini
Ni vema wawakilishe mpangokazi wao kwa Rais ili mojawapo ya majukumu yao kutangaza utalii liwepo
 
Back
Top Bottom