Kwa hili maza nakupa tano, utasikiliza wangapi? mtindo huu ulioasisiwa na marehemu haukuwa mzuri, tuna watendaji kibao kila ngazi, kuna wawakilishi wa Rais kibao - kama kweli wananchi wana matatizo hadi wanataka kumwona Rais pekee yake basi tukubali watanzania kwamba tuna mfumo mbovu wa utawala - na sisi tunaodai KATIBA MPYA nikweli tuna hoja ya msingi.