Duh... Netanyahu kayakanyaga aisee!

Duh... Netanyahu kayakanyaga aisee!

Hivi Kwa akili Zako Iran ni mijnga kiasi Gani kupiga bomu la nyuklia Israel ambayo ni Palestine? Wewe unafikiri ni kwanini Iran hajapiga kinu Cha nyuklia Cha Israel wakati yeye amepigwa kinu chake? Lakini alipga TU research center? Tumia ubongo
Bwana mdogo nakupa warning, unaweza kuargue bila kunitukana, sawa?

Wewe unajua kuwa kila bomu lina scale of impact au hujui?

Kwa hivyo Iran itashindwa nini?

Kama Iran haikusudii kumpiga Israel kwa Nuke, kwanini anasapoti hivyo vikundi vinavyompiga Israel kila mara? Lengo lake huwa ni nini?

Narudia, nakuonya kuwa makini na matusi yako sijakulazimisha kunijibu...!!!
 
Sawa, mleta mada hebu niambie Israel ameshaharibu sehemu zote alioona zilikuwa zikichangia kwa asilimia nyingi kumsaidia iran kukamilisha mpango wake wa Nuclear, na watu muhimu kawaondoa.

Sasa nakuuliza ulitaka apige makazi ya watu maana hicho ndicho kilichobakia! Mimi sioni kingine...

Na Labda hapa ungesema wameshindwa kumuondoa Ayatollah.

Na labda pia waIran hawakuwa na utayari kufanya mapinduzi.

Hayo mawili nafkiri yangeeleweka zaidi, yani Israel kucheza kwenye Anga la Irani akipiga kila anachotaka, na sijaskia kuna ndege ya Israel imedondoshwa, na huku Iran akimpiga Israel na kupiga anachopata nafasi ya kupiga, na unasema Iran mshindi?

Unafikiri Israel ingeenda kwa mfumo wa kubutua chochote anachokutana nacho huko Iran pangebaki salama?

Na Trump kashasema Kwamba Iran Hataweza Tena kutengeneza nyuklia Sasa challenge yangu kwako Kama haitaisha miaka miwili humu tuasikia malalamiko ya Trump Tena na mzayuni, hivyo Kama kazi imeisha tusije sikia Tena Iran Anazo sawa tukubaliane hapa.
******************************
🇮🇱🇺🇸🇮🇷 Trump:
“IRAN WILL NEVER REBUILD THEIR NUCLEAR FACILITIES!”

@Palestine_Updates
 
Hivi ushindi wa Iran kwenye hii vita ni ui?
Huoni Netanyahu amelazimika kuomba msaada kutoka kwa baba hadi kuchukuliwa hatua zinazokiuka misingi ya ushirikiano ya kimataifa. Uamuzi wa Marekani kuishushia Iran mabomu -clusters-bila kuwa na ugomvi wa moja kwa moja na Iran ndicho ushahidi Israel peke yake haiwezi tena kufurukuta dhidi ya Iran.
 
Lengo kuu la Israel kuingia kwenye hii vitani ni kuharibu mpango wa Iran kumiliki silaha za nukes ,sasa kama wamefanikiwa ku obliterate hizo nuclear plants kuna haja gani ya kuendelea kupigana vita? Ingawa waziri wa ulizi wa Israel ametoa amri ya kurespond kwa Israel kwenda Iran with full force soon baada ya Iran kuviolate cease fire agreement .
Netanyahu mwenyewe hajui Nyuklia za Iran zipo wapi na Ameapa kuziangamiza,

Nyuklia sio Ghala la maharage kwamba ilipuliwe halafu isisambae na kuleta madhara.
 
Bwana mdogo nakupa warning, unaweza kuargue bila kunitukana, sawa?

Wewe unajua kuwa kila bomu lina scale of impact au hujui?

Kwa hivyo Iran itashindwa nini?

Kama Iran haikusudii kumpiga Israel kwa Nuke, kwanini anasapoti hivyo vikundi vinavyompiga Israel kila mara? Lengo lake huwa ni nini?

Narudia, nakuonya kuwa makini na matusi yako sijakulazimisha kunijibu...!!!
Kiukweli sijaona tusi Mimi hapo nimesisitiza matumizi ya akili, ukweli ni Kwamba Iran anahitji mpalestina ampate haki yake ya kujitawala sidhani kama lengo ni kuifuta Israel Hata Kama ni kuifuta akipiga nyuklia wapalestine na wajordan,walebanon wataishije? Hio ni simple logic ambayo trump na wapumbavu wengine hawana, kushambulia kinu Cha nyuklia Kama kile Cha Iran mionzi ikipenya madhara yake ni makubwa mno ni sawa na kupigwa bomu TU, wajinga wamarekani na wazayuni
 
Sherehe za ushindi Leo join.

🇮🇷 Iran’s Revolutionary Guard Corps (IRGC):

• The 22nd wave of Operation “True Promise 3” was a historic and meaningful lesson for the Israeli enemy.

• The Israeli entity desperately begged its US partners for a ceasefire.

• The Iranian Armed Forces will continue to monitor enemy movements with precision and caution.

⭕️ A Victory Celebration will be held today at 6 PM in Revolution Square. (Iranian state TV)
 
Kiukweli sijaona tusi Mimi hapo nimesisitiza matumizi ya akili, ukweli ni Kwamba Iran anahitji mpalestina ampate haki yake ya kujitawala sidhani kama lengo ni kuifuta Israel Hata Kama ni kuifuta akipiga nyuklia wapalestine na wajordan,walebanon wataishije? Hio ni simple logic ambayo trump na wapumbavu wengine hawana, kushambulia kinu Cha nyuklia Kama kile Cha Iran mionzi ikipenya madhara yake ni makubwa mno ni sawa na kupigwa bomu TU, wajinga wamarekani na wazayuni
Unasema hujaona ulipotukana?

Kwamba unauhakika hapa wewe una akili timamu?

Nimekuuliza unajua kama mabomu yote kila moja lina scale of impact?
Unaelewa nachokuuliza kweli?

Hivi kwa akili ya mtoto tu huoni ni aibu Iran jinchi kuuubwaaa vile kukung'utwa na kanchi kadogo kama Israel, tena sio kukung'utwa tu, ni kukung'utwa kwa mahesabu.

Hapa Israel ikianza kutupa mabomu hovyo kama Iran anavyofanya nina uhakika atakayeumia zaidi ni Iran...
 
Trump anakula bangi nyie...

🇺🇸🇮🇷| Trump: China can now continue to buy oil from Iran.

I hope they buy a lot of oil from America as well. It was a great honor for me to make this happen!
 
Mwaraabu akili zimeanza kurudi
********
🇶🇦 | Emir of Qatar: The U.S. Al Udeid Air Base in Qatar will not be used for any military action against the Islamic Republic of Iran.

🔹@enemywatch
 
Alichokutana nacho hatathubutu tena kunyanyua mdomo kwa Iran hata kama USA kamuahidi kumlinda, Israel imevunjwa vunjwa siyo mchezo na wao wameshindwa kwenda kuharibu Uranium ya Iran japo ndo ilikua lengo ila wamefeli wameishia kupiga mahandaki matupu, Iran wanaenda kumiliki Nuclear ndani ya muda mfupi kwanzia sasa
 
Niaje waungwana

Nafikiri mashambulizi ya mwaka jana kati ya Iran na Israel, yalimpofusha sana Netanyahu kwa kuamini kwamba Iran ilikuwa na silaha chache, na dhaifu kwa kuweza kufanya maangamizi katika ardhi ya Israel.

Ikumbukwe kwamba katika mashambulizi yale Iran alitumia makombora ya kawaida na ya masafa mafupi, hivyo hata madhara na uharibifu wake huko Israel haukuwa mkubwa kivile, hali iliyomfanya Netanyahu aamini kwamba Iran haina silaha za maana za kupambana nae, lakini pia aliamini kwamba Iron dome na Thaad zikiongezwa na kurekebishwa vizuri, basi muajemi atachapika vizuri bila kurusha au kuingiza chochote katika ardhi ya Israel.

Masikini, jamaa hakujua kwamba Ayatollah alikuwa anampimia upeo wake wa akili ulipoishia. Akaenda Marekani kuonana na Trump kisha wakapanga namna watakavyoivamia Iran, kutawala anga, na kuzuia kombora kurushwa nchini kwao Israel.

Waswahili wanasema usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Neta akaanza uvamizi kwa mashambulizi ya kushtukiza huku wakiwa wameshajipanga na Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na washirika wengine kuzuia mashambulizi ya Iran kwenda Israel. Mpaka hapo walikuwa wanajua Iran haina silaha au makombora ya maana ya kupenya ulinzi wao. Kwa bahati mbaya hali ikawa tofauti na walivyotarajia.

Vinu vikaanza kutumwa Israel katika speed na nguvu ya ajabu kiasi ya kwamba Iro dome na Thaad zao zikabaki kama maonesho tu au mavyuma ya kukamatia kumbi kumbi. Iron dome balada ya kuzuia kombora, inazuia nzi na upepo.

Netanyahu akaona maji yamezidi unga, kinachozuiwa hakionekani, akamwambia baba yake Trump aingilie kati. Baba na yeye kuingilia kati kaishia kupiga hewa, huku mzigo ukiwa umeshahamishwa zamani. Baada ya hapo wakafikiri hilo tukio linamfanya muajemi aogope au kusalimu amri, badala yake ikawa kama vile wamempeleka mzaramo mkoleni. Yani ndo amezidisha mashambulizi na kuigeza Tel Aviv kama Mogadishu.

Baada ya plan kushindwa eti wameamua kuomba poo kwa kutaka vita isimame. Muajemi hataki kusikia hilo, bado anaendeleza kipondo tu huko Israel. Japo wao ni mabingwa wa kuficha taarifa, lakini ukiona Trump anakimbilia kutaka mapigano yasitishwe au vita iishe basi ujue ameona madhara makubwa mno yaliofanywa na Iran huko Israel. Maana ni yeye ndio alikuwa anasema eti waachwe waendelee kuchapana. Sasa imekuaje tena kutaka vita isimame. Za kuambiwa changanya na zako.

Vita sio poa. Nina imani Netanyahu anajuta kuanzisha huu mzozo na vita ikisimama naamini hatokuja tena kuigusa Iran kindezi ndezi vile.

Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo. Fikiria leo hii Trump anapambana ili vita iishe. Ujue kuna jambo kubwa limetokea huko Israel halitakiwi kusemwa 🤣🤣🤣
Huu ndio ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom