Duh... Netanyahu kayakanyaga aisee!

Duh... Netanyahu kayakanyaga aisee!

20250624_212725.jpg
 
Hivi ushindi wa Iran kwenye hii vita ni ui?
Kwenye mchezo wa ndondi, ikitokea upande wa bondia mmoja aliyezidiwa na mashambulizi ya ngumi ukitupa taulo; pigano linasitishwa!
Vivyo hivyo kwenye mieleka! Mpinzani wako akikukaba vizuri chini na kushindwa kujinasua, ukinyoosha tu mkono! Shindano linasitishwa. Maana yake umepigwa.

Jambo hili ndilo lililofanywa na Marekani pamoja na mtoto wake Israel. Kiufupi walivamia mzinga wa nyuki.
 
Kwenye mchezo wa ndondi, ikitokea upande wa bondia mmoja aliyezidiwa na mashambulizi ya ngumi ukitupa taulo; pigano linasitishwa!
Vivyo hivyo kwenye mieleka! Mpinzani wako akikukaba vizuri chini na kushindwa kujinasua, ukinyoosha tu mkono! Shindano linasitishwa. Maana yake umepigwa.

Jambo hili ndilo lililofanywa na Marekani pamoja na mtoto wake Israel. Kiufupi walivamia mzinga wa nyuki.
Lengo lao ilikuwa kuharibu vinu vya nukes vya Iran na wamefanikiwa!

Sasa hapo mshindi ni nani
 
Lengo lao ilikuwa kuharibu vinu vya nukes vya Iran na wamefanikiwa!

Sasa hapo mshindi ni nani
Wenye hivyo vinu vyao wamekataa kwa kusema havijaharibiwa! Na hapo tumuamini nani, mmiliki au mvamizi!!
 
Niaje waungwana

Nafikiri mashambulizi ya mwaka jana kati ya Iran na Israel, yalimpofusha sana Netanyahu kwa kuamini kwamba Iran ilikuwa na silaha chache, na dhaifu kwa kuweza kufanya maangamizi katika ardhi ya Israel.

Ikumbukwe kwamba katika mashambulizi yale Iran alitumia makombora ya kawaida na ya masafa mafupi, hivyo hata madhara na uharibifu wake huko Israel haukuwa mkubwa kivile, hali iliyomfanya Netanyahu aamini kwamba Iran haina silaha za maana za kupambana nae, lakini pia aliamini kwamba Iron dome na Thaad zikiongezwa na kurekebishwa vizuri, basi muajemi atachapika vizuri bila kurusha au kuingiza chochote katika ardhi ya Israel.

Masikini, jamaa hakujua kwamba Ayatollah alikuwa anampimia upeo wake wa akili ulipoishia. Akaenda Marekani kuonana na Trump kisha wakapanga namna watakavyoivamia Iran, kutawala anga, na kuzuia kombora kurushwa nchini kwao Israel.

Waswahili wanasema usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Neta akaanza uvamizi kwa mashambulizi ya kushtukiza huku wakiwa wameshajipanga na Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na washirika wengine kuzuia mashambulizi ya Iran kwenda Israel. Mpaka hapo walikuwa wanajua Iran haina silaha au makombora ya maana ya kupenya ulinzi wao. Kwa bahati mbaya hali ikawa tofauti na walivyotarajia.

Vinu vikaanza kutumwa Israel katika speed na nguvu ya ajabu kiasi ya kwamba Iro dome na Thaad zao zikabaki kama maonesho tu au mavyuma ya kukamatia kumbi kumbi. Iron dome balada ya kuzuia kombora, inazuia nzi na upepo.

Netanyahu akaona maji yamezidi unga, kinachozuiwa hakionekani, akamwambia baba yake Trump aingilie kati. Baba na yeye kuingilia kati kaishia kupiga hewa, huku mzigo ukiwa umeshahamishwa zamani. Baada ya hapo wakafikiri hilo tukio linamfanya muajemi aogope au kusalimu amri, badala yake ikawa kama vile wamempeleka mzaramo mkoleni. Yani ndo amezidisha mashambulizi na kuigeza Tel Aviv kama Mogadishu.

Baada ya plan kushindwa eti wameamua kuomba poo kwa kutaka vita isimame. Muajemi hataki kusikia hilo, bado anaendeleza kipondo tu huko Israel. Japo wao ni mabingwa wa kuficha taarifa, lakini ukiona Trump anakimbilia kutaka mapigano yasitishwe au vita iishe basi ujue ameona madhara makubwa mno yaliofanywa na Iran huko Israel. Maana ni yeye ndio alikuwa anasema eti waachwe waendelee kuchapana. Sasa imekuaje tena kutaka vita isimame. Za kuambiwa changanya na zako.

Vita sio poa. Nina imani Netanyahu anajuta kuanzisha huu mzozo na vita ikisimama naamini hatokuja tena kuigusa Iran kindezi ndezi vile.

Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo. Fikiria leo hii Trump anapambana ili vita iishe. Ujue kuna jambo kubwa limetokea huko Israel halitakiwi kusemwa 🤣🤣🤣
Muajemi ni noma
 
Kwahio kuanzia Leo tusijekusikia Iran ana nyuklia Tena kwakua kazi mumeimaliza sawa,? Tukisikia mna anzisha maneno maneno maana yake mnatafuta kingine Iran hana nyuklia na program imefungwa rasmi.
Iran itashambuliwa tena na huyo Ayatollah atauwawa kama Rais Ebrahim Raisi alivyokufa kifo cha kutatanisha milimani uko.
Hii itakuwa endapo Iran itagawa silaha kwa wanamgambo ili iishambulie Israel.

Maana sera kuu ya kimataifa ya Iran ni "Death to Israel". Sasa kabla Israel haijauwawa na Iran, inabidi Israel ijipambanue kiulinzi.
 
Regime change vip au ngonjera nyingi vitendo zero
Ukimtoa Ayatollah ikatoa chaos hapo Iran nani atapokea wakimbizi? Huoni wa Syria wameanza kurudishwa kwao. Maana Iranians wenyewe wanaendeshwa na mkono wa chuma kuna wengine wanataka kujitenga.

Hii risk sio ya lazima. Labda warudie vita na ionekane tatizo kubwa ni msimamo wa Ayatollah.
 
Ukimtoa Ayatollah ikatoa chaos hapo Iran nani atapokea wakimbizi? Huoni wa Syria wameanza kurudishwa kwao. Maana Iranians wenyewe wanaendeshwa na mkono wa chuma kuna wengine wanataka kujitenga.

Hii risk sio ya lazima. Labda warudie vita na ionekane tatizo kubwa ni msimamo wa Ayatollah.
Hizi sasa ni ngonjera
 
Niaje waungwana

Nafikiri mashambulizi ya mwaka jana kati ya Iran na Israel, yalimpofusha sana Netanyahu kwa kuamini kwamba Iran ilikuwa na silaha chache, na dhaifu kwa kuweza kufanya maangamizi katika ardhi ya Israel.

Ikumbukwe kwamba katika mashambulizi yale Iran alitumia makombora ya kawaida na ya masafa mafupi, hivyo hata madhara na uharibifu wake huko Israel haukuwa mkubwa kivile, hali iliyomfanya Netanyahu aamini kwamba Iran haina silaha za maana za kupambana nae, lakini pia aliamini kwamba Iron dome na Thaad zikiongezwa na kurekebishwa vizuri, basi muajemi atachapika vizuri bila kurusha au kuingiza chochote katika ardhi ya Israel.

Masikini, jamaa hakujua kwamba Ayatollah alikuwa anampimia upeo wake wa akili ulipoishia. Akaenda Marekani kuonana na Trump kisha wakapanga namna watakavyoivamia Iran, kutawala anga, na kuzuia kombora kurushwa nchini kwao Israel.

Waswahili wanasema usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Neta akaanza uvamizi kwa mashambulizi ya kushtukiza huku wakiwa wameshajipanga na Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na washirika wengine kuzuia mashambulizi ya Iran kwenda Israel. Mpaka hapo walikuwa wanajua Iran haina silaha au makombora ya maana ya kupenya ulinzi wao. Kwa bahati mbaya hali ikawa tofauti na walivyotarajia.

Vinu vikaanza kutumwa Israel katika speed na nguvu ya ajabu kiasi ya kwamba Iro dome na Thaad zao zikabaki kama maonesho tu au mavyuma ya kukamatia kumbi kumbi. Iron dome balada ya kuzuia kombora, inazuia nzi na upepo.

Netanyahu akaona maji yamezidi unga, kinachozuiwa hakionekani, akamwambia baba yake Trump aingilie kati. Baba na yeye kuingilia kati kaishia kupiga hewa, huku mzigo ukiwa umeshahamishwa zamani. Baada ya hapo wakafikiri hilo tukio linamfanya muajemi aogope au kusalimu amri, badala yake ikawa kama vile wamempeleka mzaramo mkoleni. Yani ndo amezidisha mashambulizi na kuigeza Tel Aviv kama Mogadishu.

Baada ya plan kushindwa eti wameamua kuomba poo kwa kutaka vita isimame. Muajemi hataki kusikia hilo, bado anaendeleza kipondo tu huko Israel. Japo wao ni mabingwa wa kuficha taarifa, lakini ukiona Trump anakimbilia kutaka mapigano yasitishwe au vita iishe basi ujue ameona madhara makubwa mno yaliofanywa na Iran huko Israel. Maana ni yeye ndio alikuwa anasema eti waachwe waendelee kuchapana. Sasa imekuaje tena kutaka vita isimame. Za kuambiwa changanya na zako.

Vita sio poa. Nina imani Netanyahu anajuta kuanzisha huu mzozo na vita ikisimama naamini hatokuja tena kuigusa Iran kindezi ndezi vile.

Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo. Fikiria leo hii Trump anapambana ili vita iishe. Ujue kuna jambo kubwa limetokea huko Israel halitakiwi kusemwa 🤣🤣🤣🤣
 
Mzayuni hawezi toboa miezi miwili mtu bee na muajemi. Amshkuru US Kwa kumkingia kifua kila mara Hali ingekua mbaya zaidi, mkubwa Mpishe zayuni kazi yake ni tuvikundi tuu kama Hamas.
Sifa nyingi kumbe hana lolote bila Marekani! Hata mimi nimeshangaa!, Wanayemtaja kuwa Rais wa Dunia anaomba vita iishe! Huko kuna jambo kubwa!
 
😂 😂 😂 Kobaz bhana!

Mbona malengo ya Israel anajulikana na 98% ameyatekeleza?
Malengo gani mzee😂?

Iran anaendelea na mpango wake wa nyuklia as usual kitu ambacho Marekani na washirika wake walikuwa hawataki. Wamefeli.

Mfumo wa kurusha makombora upo stable kitu ambacho Marekani na washirika wake walidhamiria kuuondoa. Wamefeli.

Kuubadilisha utawala wa Iran na kupachika kibaraka wao. Wamefeli.

Hapo ni malengo gani yaliyotimia?
 

Attachments

  • Screenshot_20250625_071427_Facebook.jpg
    Screenshot_20250625_071427_Facebook.jpg
    329.7 KB · Views: 10
😂 😂 😂 Kobaz bhana!

Mbona malengo ya Israel anajulikana na 98% ameyatekeleza?
Jisomee taarifa kutoka chanzo cha kuaminika DW ambao ni Wajerumani wakinukuu maafisa wa usalama wa Marekani wakisema mpango wa B-2 bunker buster kuangamiza vinu vya nyuklia vya Iran ulifeli.
 

Attachments

  • Screenshot_20250625_071402_Facebook.jpg
    Screenshot_20250625_071402_Facebook.jpg
    508.2 KB · Views: 10
Waisrael weusi kama oil chafu kutoka Masulumpweta jisomeeni taarifa ya shirika la ujasusi la Marekani.

Halafu jiulize wewe kilaza usiyejua kitu na watu waliobobea kwenye ujasusi nani aaminike.
 

Attachments

  • Screenshot_20250625_071402_Facebook.jpg
    Screenshot_20250625_071402_Facebook.jpg
    508.2 KB · Views: 9
  • Screenshot_20250625_071427_Facebook.jpg
    Screenshot_20250625_071427_Facebook.jpg
    329.7 KB · Views: 11
Hakuna vita ilikua muhimu Kwa Iran na Iran amefaidika nayo Kama hii, Hata Kama vinu vyote vingipasuliwa akabaki mweupe Bado anamshumuru Sana aliyeanzisha, kitendo Cha Iran kugundua mtandao wa moles inside nyie ni ushindi mkubwa mno maana je angekuja kugundua miaka mbele kiasi Kwamba nchi ilikua inaondoka wako wengi mno maagent fake, haraka haraka za Netanyau ndio zimeikoa Iran, US hesabu zake zilikuz Bado kabisa kui attack Iran, Iran sasa akifanya clean up si rahisi kabisa kumpigia kutokea nje ni sawa na never!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom