Duh... Netanyahu kayakanyaga aisee!

Duh... Netanyahu kayakanyaga aisee!

Kama Moosad wameshindwa kung'amua bomu lililotegwa na Hamas, basi hiyo taasisi imeshakuwa mdebwedo.

Huyu jamaa watamuua ,wayahudi hawapendi kushindwa🤣🤣 kawaambia kweli wamedundwa 🤣
1000103917.png
 
Huyu jamaa watamuua ,wayahudi hawapendi kushindwa🤣🤣 kawaambia kweli wamedundwa 🤣
View attachment 3382610
Kumuua boss wao?!!

Sio rahisi kuukata mkono unaokulisha mkuu. Huyu jamaa anajiamini sana. Nakuhakikishia kuwa hakuna kima yoyote wa Netanyahu atakaemgusa huyu mzee. Kwanza CIA wameshaichoka Israel, ndomaana kabla ya shambulio la Marekani kule Iran, CIA walitoa report inayosema kuwa Iran haijafikia hatua ya kutengeneza bomu la nyuklia kama anavyodai Netanyahu na genge lake.

Na hata taarifa zilizopo kwenye vyombo vyote vya habari vya magharibi ikiwemo Marekani yenyewe ni kwamba zile ndege hazikushambulia maeneo yenye nyenzo zinazotumika kutengeneza nyuklia.

So mpaka hapo Netanyahu na wayahudi wenzake wa mchongo, wameshapigwa chenga ya mwili na hawajui wafanye nini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom