kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,185
- 24,565
Nilivyokua nawaambia muajemi sio muarabu muwe mnaelewa, Toka jumamosi nilichagua kukaa kimya maana nilijua kabisa kuwa time will Tell.
Mmejionea wenyewe ubabe Wa Iran
Jamaa wanapiga kila mahali
Yako wapi mairon dome?Iko wapi patriotic? Iko wapi David Sling? Iko wapi.
Iko wapi THAAD?
Inaonekana Iran alijiandaa haswa.
Israel wanaelekea kuishiwa na missile za kutungulia makombora sijui itakuaje
Hii bado ngoma mbichi
Safari hii muajemi kaamua
Walivyokua wanasemaga kuna wajinga wawili humu mlikua mnawaita mbwa koko!!
Sasa kiko wapi!!
Mmejionea wenyewe nguvu ya muajemi na bado ana mpango wa kuanza kutumia ndege za kivita kushambulia Israel na base za marekani hata jana kafanya hivyo
Hii vita ndo kwanza episode one mpaka Washington na vibaraka wake wasalim amri
Mmejionea wenyewe ubabe Wa Iran
Jamaa wanapiga kila mahali
Yako wapi mairon dome?Iko wapi patriotic? Iko wapi David Sling? Iko wapi.
Iko wapi THAAD?
Inaonekana Iran alijiandaa haswa.
Israel wanaelekea kuishiwa na missile za kutungulia makombora sijui itakuaje
Hii bado ngoma mbichi
Safari hii muajemi kaamua
Walivyokua wanasemaga kuna wajinga wawili humu mlikua mnawaita mbwa koko!!
Sasa kiko wapi!!
Mmejionea wenyewe nguvu ya muajemi na bado ana mpango wa kuanza kutumia ndege za kivita kushambulia Israel na base za marekani hata jana kafanya hivyo
Hii vita ndo kwanza episode one mpaka Washington na vibaraka wake wasalim amri