Dudubaya ni ngangaripoa?

Dudubaya ni ngangaripoa?

sio kosa lake ,hiyo ndo shida yakuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri halafu kuwa mpenda siasa lzm kuna mambo uta pick side tu
Kwa mara ya kwanza namuona mshanajr akishindwa kuwa focused kwa kile anachokitetea,na amebaki kutapatapa kama mfa maji.Sio kwamba namtetea dudubaya ila ,nimeshindwa kuelewa uyu mshana kasimama wapi,naona ata mifano anayotoa ni irrelevant.
 
mtoa uzi niwaz umekurupuka kwa mwenendo mzima ulivyo katika jiji lenu la mapunga hapo dar hata wew ni wazi unamnyooshea kidole nabii KONKI KONKI MASTER katka uzi huu uliolemea upande wa utetezi wa tabia hii yakishwain ya vijana wakiume kukatika kama panga-boi,, je na wewe ni ngangaripoa??watu kama konki ni watu ambao kila jamii inawahitaji na katika hili oil chafu isiyochafuliwa niwaz ameongea kwa sababu ni swala ambalo serikali ya mkoa wenu pendwa imeliweka kama tatizo natayar mkuu wa mkoa bashite alilifanyia mjadala nakuruhusu kutumiwa majina yamapunga wote nakuitaka jamii iwafichua wapakuliwa tope wote walio katka jiji lenu..hapo ndipo nabii KONKI alipoitumia fulsa kama mwanajamii kuwafichua wapakuliwa kimba wote anaowafahamu..na kwa kuwa yey alikua msanii mkubwa kwa nyakati fulani hivyo watu wa media wengi amefanya nao kaz na anaukaribu nao ns napata nguvu yakusema hoja za KONKI si za kubeza na yeyote anaekurupuka kama wew mkuu nakuanza kumshambulia konki kwa kejeli na maneno yakipunga kama yako ni wazi umeshikwa pabaya na hofu yakuumbuka imekufanya uje hadharan nakuwatetea wapakuliwa tope shame on you broo...!!!!
JF is never boring.... Badala ya KUJIBIWA hoja ni mwendelezo wa vijembe... Duu ndio jamii tuliyo nayo leo hii
 
Kwenye ulimwengu wa jinsia kuna vinasaba huwatambulisha watu jinsia zao. Vinasaba hivyo ni kama
> Sauti
> Mavazi
> Umbo
> Tabia
> Urembo

Mwanamke mzuri anayejiamini hana makeke wala vipodozi vingi lakini akipita mahali na wengine kumi ataangaliwa ama kupewa alama za juu yeye.

Mwanamke asiyejiamini ni shughuli pevu. Kwanza vipodozi kama vyote, mikogo na maringo ndio usiseme, mjuaji yeye na mkamilifu yeye. Huyu akiwa mahali atalazimisha atambulike uwepo wake.

Kujadili watu na maisha yao pamoja na bifu za kijinga sio sifa ya mwanaume. Haya mambo tumezoea kuyaona kwa ndugu zetu wa jinsia pinzani. Unapoona mwanaume kila wakati ni mgomvimgomvi, mpenda sifa, mjuaji, mnyooshea wengine vidole, mchambaji basi tambua fika huyo kuna udhaifu anauficha na anaufidia kwa kufanya mambo kama hayo. Ana dalili ya vinasaba vya ushoga.

Godfrey ana tabia zote hizo; kupenda kulazimisha umaarufu kisanaa lakini pia kwa mambo yasiyomhusu. Ana mwili mkubwa lakini asilimia ya medulla imepishina njia na asilimia ya mwili.


Ameibuka kwa staili mpya ya kutaja wanaotuhumiwa kujihusisha na ushoga. Sasa hivi yuko mitandaoni. What a comeback!

Anatajataja tu watu na jamii bila kutafakari kwa makini inarindima na midundo yake bila kufahamu kuwa anajidhalilisha na anatumika. Akija kukwaa kisiki cha mpingo jamii hiyohiyo iliyokuwa ikimshangilia ndio hiyohiyo itakuwa ya kwanza kumnanga.

Asijisahau kuwa yeye ni mwanaume na akumbuke kama mwanaume anapaswa kufanya nini na sio kupayukapayuka tu.

Hizi ni dalili za kuwa ngangaripoa[/QUO

Sasa wewe ndo wakili wao? acha wajitetee wenyewe,hata hivyo namwamini Konki Master kwani miongoni mwao fununua zilianza kusikika kitambo tu
 
Dah Kwahiyo kabla ya kuweka mada nilipaswa kuwa mtabiri wa kuandika kile kitakachowapendezeni nyie na si uhalisia wa mada husika... Kweli kazi tunayo


Mkuu shida ni kuwa watu humu wanakuheshimu sana kwa mada zako matata zenye akili. Lakini katika hili umetumia hisia zaidi kuliko akili jambo ambalo kwa mwanaume halitakiwi. Embu lifikirie tena then urudi.

Mkuu ishu zinazopingana na nature hazipaswi kutetewa hata kidogo. Kuzipinga zinaruhusiwa kwa namna yoyote ile kama alivyofanya Konki.
 
Mkuu shida ni kuwa watu humu wanakuheshimu sana kwa mada zako matata zenye akili. Lakini katika hili umetumia hisia zaidi kuliko akili jambo ambalo kwa mwanaume halitakiwi. Embu lifikirie tena then urudi.

Mkuu ishu zinazopingana na nature hazipaswi kutetewa hata kidogo. Kuzipinga zinaruhusiwa kwa namna yoyote ile kama alivyofanya Konki.
Hebu twende taratibu labda utanielewa
. Nimeanza kutaja tabia za wanawake kisha nikataja tabia za mwanaume
. heading haikuhukumu imehoji... Je hili hukuliona pia?
. Historia ya mlengwa imesimamia kwenye sifa mbaya au nzuri? Kuna yeyote amehoji kuhusu hilo?
. Je kwa kutaja tu wahusika ndio uhalisia na tatizo la ushoga litakuwa limekwisha na yeye kuonekana hero?
. Je tabia zake zinaakisi tabia za mwanaume kamili? (Kiini cha muktadha wa mada)
Nimekupa points muhimu... Njoo kwenye mjadala sasa
 
Ila kuambiwa umekosea pia ni moja ya vitu vitakavyokujenga. Mwenye hekima hukubali kuonywa akoseapo
Hapana mimi ni mnyenyekevu sana na hukubali kukosolewa na si mara moja au mbili nimeomba radhi kwa uwazi kabisa...
Lakini KAMWE sitafanya hivyo kwa mtu ama watu ambao hawajanielewa nilichoandika... Hili linakuwa ni tatizo Lao la uelewa kwanini nibebe mzigo mimi? Kwanini niwajibike mimi?
 
JF is never boring.... Badala ya KUJIBIWA hoja ni mwendelezo wa vijembe... Duu ndio jamii tuliyo nayo leo hii
mkuu ulitaka nikujibu kwamba nimekuunga mkono katika mawazo yako hafifu..??mtiririko wako wa mawazo katika hiki ulichoandika nakukiita hoja ni muono hafifu unao hitimisha safari yako fupi yakufikiri.. sio lazima utie neno kwa kila lipitalo mzee matokeo yake ndo hayo unakurupuka nakutetea mapunga..!!
 
Hapana mimi ni mnyenyekevu sana na hukubali kukosolewa na si mara moja au mbili nimeomba radhi kwa uwazi kabisa...
Lakini KAMWE sitafanya hivyo kwa mtu ama watu ambao hawajanielewa nilichoandika... Hili linakuwa ni tatizo Lao la uelewa kwanini nibebe mzigo mimi? Kwanini niwajibike mimi?


Basi wawajibike wao kwa hali zao. Ila jambo lolote linalodhalilisha wanaume kwa kweli linamdhalilisha Mungu. Ndio maana Sodoma na Gomora iliharibiwa. Mwanaume ni mfano wa Mungu
 
mkuu ulitaka nikujibu kwamba nimekuunga mkono katika mawazo yako hafifu..??mtiririko wako wa mawazo katika hiki ulichoandika nakukiita hoja ni muono hafifu unao hitimisha safari yako fupi yakufikiri.. sio lazima utie neno kwa kila lipitalo mzee matokeo yake ndo hayo unakurupuka nakutetea mapunga..!!
Kuna mahali nimeomba uniunge mkono? Ndugu VP uko salama kweli? Sihitaji kuungwa mkono nahitaji mjadala wenye hoja... Am sure yangekuwa mawazo hafifu usingeendelea kupoteza muda na kifurushi chako... Kadiri utakavyoendelea kustick hapa basi ni wazi unagain kitu
 
Sihitaji kusifiwa kwakuwa sitafuti sifa na sifahamiki na wengi... By the way KUDHARIRISHA ndio msamiati gani? Au una shida kidogo kati ya R na L?
Asante kwa masahihisho, ila najua sikio la kufa halisikii dawa.
 
Mleta mada ni mkurupukaji mzuri sana,kila jambo likiwa ni habari iliyo kwenye chat basi atakimbilia kulianzishia thd bila kulifanyia utafiti ili tu apate attention ya watu,hii sio mara yake ya kwanza kukurupuka,unatetea mashoga unataka tukueleweje?
 
Mleta mada ni mkurupukaji mzuri sana,kila jambo likiwa ni habari iliyo kwenye chat basi atakimbilia kulianzishia thd bila kulifanyia utafiti ili tu apate attention ya watu,hii sio mara yake ya kwanza kukurupuka,unatetea mashoga unataka tukueleweje?
mkuu af huyu mtu hatak kukosolewa ni wazi fikra zake ni finyu na fupi kama zakayo
 
Kuna mahali nimeomba uniunge mkono? Ndugu VP uko salama kweli? Sihitaji kuungwa mkono nahitaji mjadala wenye hoja... Am sure yangekuwa mawazo hafifu usingeendelea kupoteza muda na kifurushi chako... Kadiri utakavyoendelea kustick hapa basi ni wazi unagain kitu
mkuu naona unaendelea na ugwiji wako wa kukurupuka nakupanic sasa mambo ya bando na kupoteza muda yanatoka wapi?? au ndo akili maandishi ubongo ziro...??nina pata kitu katika nyuzi zote mkuu na katika uzi wako wa leo nimejifunza kukurupuka kitandani nakuanza kutoa hoja juu ya vitu nisivyovifahamu kwa undani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom