Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
Mshana Jr leo jipange brother!! Umekurupuka period!!Heading inasemaje kwanza hebu tuanzie hapo... Imehoji? Imeuliza au imetoa taarifa?, ni muhimu sana kwanza kuelewa hilo
Pili maudhui yanasemaje, yamechambua? yamethibitisha? Yameweka mjadala? Ama yamehukumu?
Tatu hitimisho linasemaje? Hapo ndipo uliposhindiwa wewe na ndio ukaona nami mimeshindwa
Unashindwa kabisa kutetea hoja zako, unauliza kama dudu ni Ngangaripoa sijui una maana gani? Context ya andiko lako ni vitisho, kwamba ajiangalie sana, unasema anataja watu bila kutafakari kwa kina, nani amekudanganya hilo? Hao watu aliowataja kwanza wapo kwenye media, na majina yao kuhusishwa na ushoga hayajaanza leo wala jana..
Watoke front wakanushe, we unadai Konki anatumiwa, wewe je nani anakutumia kupitia jukwaa hili la JF? Jipange bro, hii ngoma ngumu
